Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako

Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
1735933246260.jpg

1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe
_
2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa,

3. Mkiingia guest msiandikishe majina yenu halisia,
_
4. Ukimpigia simu akakata usipige tena labda yupo na mumewe,

5. Usipende kumtumia sms za kimapenzi kila mara
_
6. Mume wake hata akisafiri usiende nyumbani kwake

7. Mume wake hata akisafiri usimruhusu alale kwako mwambie akalale kwake
_
8. Kama ni jirani yako usimzoee sana watu watawastukia

9. Usipende kupiga nae picha na kupost mtandaooni
_
10. Mahusiano yako usimshirikishe shoga yake wala rafiki yako

11. Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako,
Kwa ushauli Zaidi njoo in box ila uwe mwanamke.
 
View attachment 3191719
1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe
_
2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa,

3. Mkiingia guest msiandikishe majina yenu halisia,
_
4. Ukimpigia simu akakata usipige tena labda yupo na mumewe,

5. Usipende kumtumia sms za kimapenzi kila mara
_
6. Mume wake hata akisafiri usiende nyumbani kwake

7. Mume wake hata akisafiri usimruhusu alale kwako mwambie akalale kwake
_
8. Kama ni jirani yako usimzoee sana watu watawastukia

9. Usipende kupiga nae picha na kupost mtandaooni
_
10. Mahusiano yako usimshirikishe shoga yake wala rafiki yako

11. Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako,
Kwa ushauli Zaidi njoo in box ila uwe mwanamke.
Usitembee na mke wa mtu.
Usitembee na mume wa mtu. Ujumbe usiwe one sided tu.
 
Baba zingatia kutafuta mwanamke mtakaye Jenga maisha na familia...

Nimekuambia nakutumia ile hela mbona hunisikii....

Namba nimezipata.... Titii titii Hovering
Kaka Monetary doctor nashukuru nimeipata hii. Alicho andika Mdau naunga mkono hoja. Namba 1 na 4 nilifanya kazi sana kipindi hicho jamaa karudi lakini no. 7 Dah! Ndio kitu kilinishinda.
 
View attachment 3191719
1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe
_
2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa,

3. Mkiingia guest msiandikishe majina yenu halisia,
_
4. Ukimpigia simu akakata usipige tena labda yupo na mumewe,

5. Usipende kumtumia sms za kimapenzi kila mara
_
6. Mume wake hata akisafiri usiende nyumbani kwake

7. Mume wake hata akisafiri usimruhusu alale kwako mwambie akalale kwake
_
8. Kama ni jirani yako usimzoee sana watu watawastukia

9. Usipende kupiga nae picha na kupost mtandaooni
_
10. Mahusiano yako usimshirikishe shoga yake wala rafiki yako

11. Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako,
Kwa ushauli Zaidi njoo in box ila uwe mwanamke.
We Jamaa ni muhuni 😄
 
Hivi ingekuwaje mimba isingetoka mkuu
Kwanza mkuu kabla halijanikuta Mimi nilikua muumini mkubwa wa kupinga kula mke wa mtu au kutoa mimba. Ajabu nikaja kuwa subject kwenye Hilo.
Kuhusu swali lako Mzee. Nikama mwezi Moja tu mbeleni jamaa alikua anarudi hivo nahisi angeshikishwa tu na mkewe. Duh! Inanipa hata ugumu kuandika. Mungu alishaturehemu anyway 😂
 
Kwanza mkuu kabla halijanikuta Mimi nilikua muumini mkubwa wa kupinga kula mke wa mtu au kutoa mimba. Ajabu nikaja kuwa subject kwenye Hilo.
Kuhusu swali lako Mzee. Nikama mwezi Moja tu mbeleni jamaa alikua anarudi hivo nahisi angeshikishwa tu na mkewe. Duh! Inanipa hata ugumu kuandika. Mungu alishaturehemu anyway 😂
Nipo kama wewe kula mke wa mtu hiyo mazingira yakikaa inaweza japo nsharuka kihunzi....

Kwenye mimba aseeh..... Naweza toa chozii ..... Sijui kwann sipend kusikia habari za kutoa mimba kaka
 
View attachment 3191719
1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe
_
2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa,

3. Mkiingia guest msiandikishe majina yenu halisia,
_
4. Ukimpigia simu akakata usipige tena labda yupo na mumewe,

5. Usipende kumtumia sms za kimapenzi kila mara
_
6. Mume wake hata akisafiri usiende nyumbani kwake

7. Mume wake hata akisafiri usimruhusu alale kwako mwambie akalale kwake
_
8. Kama ni jirani yako usimzoee sana watu watawastukia

9. Usipende kupiga nae picha na kupost mtandaooni
_
10. Mahusiano yako usimshirikishe shoga yake wala rafiki yako

11. Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako,
Kwa ushauli Zaidi njoo in box ila uwe mwanamke.
Acha support uzinzi ,watu watafute mahisiano stable wapoe
 
Nipo kama wewe kula mke wa mtu hiyo mazingira yakikaa inaweza japo nsharuka kihunzi....

Kwenye mimba aseeh..... Naweza toa chozii ..... Sijui kwann sipend kusikia habari za kutoa mimba kaka
Hahah! Ni vizuri kuwa hivyo kaka. Hio inakupa nguvu ya kuepuka kujiweka ktk mazingira hatarishi.
Mpango wangu kwa Recho ilikua kubutua kisha nipite hivi. Ila nikanasa kwenye mtego. Sometimes unakua hujapanga iwe hivo lakini by default tu unajikuta ni mhanga.
 
Hahah! Ni vizuri kuwa hivyo kaka. Hio inakupa nguvu ya kuepuka kujiweka ktk mazingira hatarishi.
Mpango wangu kwa Recho ilikua kubutua kisha nipite hivi. Ila nikanasa kwenye mtego. Sometimes unakua hujapanga iwe hivo lakini by default tu unajikuta ni mhanga.
Sometimes ukiwa na msosi huwazagi kama njaa inauma ama shida ndogo ndogo...

Samely kwenye kuchakata...,... Mnachakatana weeeh........

Sasa siku ndo umepata gono, au bibie kanasa kibendi akili inakuwa active

Lakini so mbaya kama hukuwa mgonjwa vizuri

Kuna mama mmoja nilikuwa Nina kazi zake basi huwa anakuambia njoo home..... Huyo niliekwambia niliruka kihunzi

Sasa nikafika ndo mara ya kwanza kufika kwake, namkuta kajifunga kikoii, Tena hivi vidogo..... Maza ni 65+

Sababu ya mpunga basi Yuko vyedii, na shepu analo hasa hips na tako aaah kajaaliwa....

Nilishutka kwanza..... Ni story ndefu
 
Sometimes ukiwa na msosi huwazagi kama njaa inauma ama shida ndogo ndogo...

Samely kwenye kuchakata...,... Mnachakatana weeeh........

Sasa siku ndo umepata gono, au bibie kanasa kibendi akili inakuwa active

Lakini so mbaya kama hukuwa mgonjwa vizuri

Kuna mama mmoja nilikuwa Nina kazi zake basi huwa anakuambia njoo home..... Huyo niliekwambia niliruka kihunzi

Sasa nikafika ndo mara ya kwanza kufika kwake, namkuta kajifunga kikoii, Tena hivi vidogo..... Maza ni 65+

Sababu ya mpunga basi Yuko vyedii, na shepu analo hasa hips na tako aaah kajaaliwa....

Nilishutka kwanza..... Ni story ndefu
Kaka leta hio kisa tujifunze tusioyajua. Bila shaka kwa Recho kumekufungulia code flani za Siri sana kaka.
 
Back
Top Bottom