Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako

Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako

Kaka leta hio kisa tujifunze tusioyajua. Bila shaka kwa Recho kumekufungulia code flani za Siri sana kaka.
Hahaha mama alikuwa anakaa uchi na kama tunafany kazi tunakuwa tupo zero distance mpk lile joto na li feel kaka nilikuwa nawaza namuingiaje, hapo ni rafiki wa mzee aaani alijua kunitia majaribuni ajuza...

Mpaka chumbani nimeingia 😂😂
 
Hahaha mama alikuwa anakaa uchi na kama tunafany kazi tunakuwa tupo zero distance mpk lile joto na li feel kaka nilikuwa nawaza namuingiaje, hapo ni rafiki wa mzee aaani alijua kunitia majaribuni ajuza...

Mpaka chumbani nimeingia 😂😂
Hapa Mzee usiseme huku mla. Haha!
Changamoto ya hizi mambo ni kama tu ajira. Ukiwa hujapata kazi utaangaika sana kupata fursa, ila ukishapata kazi ndio kazi nyingine au fursa zinafunguka.

Yani ukimla mke wa mtu mmoja. Wanaanza kuja wengine ambao hata hujatarajia. Usipokaza unajikuta ndio lifestyle.

Baada ya Recho nilipata mke wa kigogo flani mpaka leo siamini. Yule sasa ndio alifanya niandike ule Uzi wa vijana kama uliousoma.
 
Hapa Mzee usiseme huku mla. Haha!
Changamoto ya hizi mambo ni kama tu ajira. Ukiwa hujapata kazi utaangaika sana kupata fursa, ila ukishapata kazi ndio kazi nyingine au fursa zinafunguka.

Yani ukimla mke wa mtu mmoja. Wanaanza kuja wengine ambao hata hujatarajia. Usipokaza unajikuta ndio lifestyle.

Baada ya Recho nilipata mke wa kigogo flani mpaka leo siamini. Yule sasa ndio alifanya niandike ule Uzi wa vijana kama uliousoma.
Nshaisoma...... Pia

Mnataka kusikia bii kizee tuliingia kwenye huba zito ......

Mara atake tusepe wote, mara we ni handsome boy, unakunywa pombe 😂😂 alikuwa na maswali utafkr mm ni demu aani

Ety inabidi upige zoezi kidogo ujazie aaah hapo ndo alinimaliza kabisa ety hata late mme wake alimshauri aanze zoezi mara Mimi na mumewe tuko sawa...... Tunafanana
 
Nshaisoma...... Pia

Mnataka kusikia bii kizee tuliingia kwenye huba zito ......

Mara atake tusepe wote, mara we ni handsome boy, unakunywa pombe 😂😂 alikuwa na maswali utafkr mm ni demu aani

Ety inabidi upige zoezi kidogo ujazie aaah hapo ndo alinimaliza kabisa ety hata late mme wake alimshauri aanze zoezi mara Mimi na mumewe tuko sawa...... Tunafanana
Sijawah isoma hii,mnitag
 
Mke au mme wa mtu ni bomu linalohesabu muda wa kulipuka tu utafurahia kwa muda mfupi utamu wake, ila malipo yake sote hapa tunafahamu huwa ni mabaya sana kulinganisha na raha uliyokuwa unapata, kwenye maisha kijana mwenzangu hakujawahi kuwa na sababu yoyote ile ya msingi chini ya jua ambayo itakufanya ueleweke mbele za watu kwamba umetembea na mke wa mtu au mme wa mtu, kumbuka ni rahisi kwa mwizi wa mali kusamehewa ila sio mwizi wa mme/mke wa mtu, malipo lazima uyalipe tu usipolipa wewe basi kizazi chako kitalipa, kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom