Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Fanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.

Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.

Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.

Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa umegeuzwa kuwa fursa
 
Ni ya kwel unayoyasema lakin bado wanaume hatutakuelewa

Ajabu ni kuwa wapiga mizinga wengi ni watamu nako 6×6 wanamautundu mengi sana, huwezi amini mimi na haya masikio yangu yalivyo machafu mtu anayanyonya mpaka ndani ya ngoma ya sikio.

Mimi ambacho huwa nafanya huwa naandika pesa anayoniomba mpiga vizinga, kila pesa naandika, nikiona imezidi laki 3 kwa mwezi ntavumilia kidogo afu namkimbia kama nipo.
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo nae kaahh!![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]yaani kakufanya kibubu mwee!

In short kwa mtoto wa kike, mwanaume anaekupenda hutumii nguvu nyingi kuomba chochote,atakupa tu!atakuhudumia bila nguvu kuubwa kabisa!
Ila ukiona unatumia nguvu kubwa ujue sio wako huyo na hakuhitaji!!!

JamiiForums mobile app
 
Ni ya kwel unayoyasema lakin bado wanaume hatutakuelewa

Ajabu ni kuwa wapiga mizinga wengi ni watamu nako 6×6 wanamautundu mengi sana,huwez amini mimi na haya masikio yangu yalivyo machafu mtu anayanyonya mpaka ndani ya ngoma ya sikio.

Mimi ambacho huwa nafanya huwa naandika pesa anayoniomba mpiga vizinga,kila pesa naandika,nikiona imezidi laki 3 kwa mwezi ntavumilia kidogo afu namkimbia kama nipo.
Hiyo ni kununua huduma, sio mapenzi
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ungekaa na huyu chuma ulete mwezi mzima, basi ungekuwa umetumia Mil 1,120000......, Smartphone laki 300000, matumizi yake na mtoto ni laki 300000, elfu 80000 ya nywele, hela ya kukombololea kabati Finca ni laki 200000, vocha tukadirie 60000, luku elfu 30000, mtoto anaumwa laki150000.…... Mkuu kimbiaaaa.
 
Kama ungekaa na huyu chuma ulete mwezi mzima, basi ungekuwa umetumia Mil 1,120000......, Smartphone laki 300000, matumizi yake na mtoto ni laki 300000, elfu 80000 ya nywele, hela ya kukombololea kabati Finca ni laki 200000, vocha tukadirie 60000, luku elfu 30000, mtoto anaumwa laki150000.…... Mkuu kimbiaaaa.
Hiyo inaitwa mwanaume kufia vitani
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha uoga wa maisha kata pochi hilo au ulitaka amuombe nani km sio wew dear wake?
 
Back
Top Bottom