Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Kikosi cha mizinga hawajauona uzi bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu kwa kiasi tuKuna wenzetu hawana tofauti na chuma ulete
Enweiz mtupege tu hizo pesa Kwani mnatafuta kwa ajili ya Nani..!!!!🤣
Wamejificha baada ya kuona kuna silaha za maangamiziKikosi cha mizinga hawajauona uzi bado
Kaa karibu na soap halafi futa namba zoote za madem
Ni ya kwel unayoyasema lakin bado wanaume hatutakuelewa
Ajabu ni kuwa wapiga mizinga wengi ni watamu nako 6×6 wanamautundu mengi sana,huwez amini mimi na haya masikio yangu yalivyo machafu mtu anayanyonya mpaka ndani ya ngoma ya sikio.
Mimi ambacho huwa nafanya huwa naandika pesa anayoniomba mpiga vizinga,kila pesa naandika,nikiona imezidi laki 3 kwa mwezi ntavumilia kidogo afu namkimbia kama nipo.
Kawa too muchNilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana tukisha mzalisha mwanamke kama huyu lazima tumtelekezee yeye na mtoto ili aisome nambaKama ungekaa na huyu chuma ulete mwezi mzima, basi ungekuwa umetumia Mil 1,120000......, Smartphone laki 300000, matumizi yake na mtoto ni laki 300000, elfu 80000 ya nywele, hela ya kukombololea kabati Finca ni laki 200000, vocha tukadirie 60000, luku elfu 30000, mtoto anaumwa laki150000.…... Mkuu kimbiaaaa.
Vijana acheni kumwaga mbegu ovyo ovyo kama utitiriNdiyo maana tukisha mzalisha mwanamke kama huyu lazima tumtelekezee yeye na mtoto ili aisome namba
Mwanamke ukiende keza njaa lazima utazalishwa Tu na kutelekezewa kwakuwa akilizao wanacho amini wanaume tukiwapa Huduma tunawapendavijana acheni kumwaga mbegu ovyo ovyo kama utitiri
Kwa mwanaume inakuajeHuyo nae kaahh!![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]yaani kakufanya kibubu mwee!
In short kwa mtoto wa kike, mwanaume anaekupenda hutumii nguvu nyingi kuomba chochote,atakupa tu!atakuhudumia bila nguvu kuubwa kabisa!
Ila ukiona unatumia nguvu kubwa ujue sio wako huyo na hakuhitaji!!!
JamiiForums mobile app
Mi nakaaje maeneo hayo na wewe upo [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],wewe umefanya hivyo? Au unamchuuza mwenzio?
Acha woga Mangi[emoji855][emoji855][emoji855]Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww uliingiaje huko kwa single mama. Huyo naye alikukubalia maana Keshaona MtelezoNilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakaaje maeneo hayo na wewe upo [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
😂😂😂tafuta pesaa acha kulialia [emoji23][emoji23]
ATMNa wao wakae karibu na nini?
Mzee baba sijataka hata kujiuliza mara mbili ni ndukiiiii... Cha kushangaza hachoki kunitafuta mda wote anapiga tu simu sipokei na text sijibu... Imeisha hiyoooKama ungekaa na huyu chuma ulete mwezi mzima, basi ungekuwa umetumia Mil 1,120000......, Smartphone laki 300000, matumizi yake na mtoto ni laki 300000, elfu 80000 ya nywele, hela ya kukombololea kabati Finca ni laki 200000, vocha tukadirie 60000, luku elfu 30000, mtoto anaumwa laki150000.…... Mkuu kimbiaaaa.