Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

Swali ni je wanakuwa na malengo na hao wanawake as in watawaoa? Kama hawawaoi sasa kwanini wanataka wanawake ndiyo wajicommit kwenye hayo mahusiano?
Tofauti ya binadamu na wanyama, ni binadamu kustaarabika kuliko wanyama kwa kujiwekea utaratibu wa mahusiano; ila hisia za binadamu hazina tofauti na wanyama, chochote anachokiona mbele, kama kinamvutia kitamshawishi tu
 
Dah!,
Mimi nilipata mfanyakazi ila kwa vizinga yaani unaweza sema hana kazi lol,

Eti ndani ya mwezi mmoja mwanamke anataka macho 3

Nikamwambia nimeghairi mahusiano na wewe,na sina sababu kwanini nimeghairi...
Alafu siki Hizi hakuna na Cha anaefanya kazi wala asiefanyaaa yani wote ni kuombaa helaaa tuu.. Nlipata mfanyakazi akawa anajidai haiombi hela mwanzoni ikapita week aisee akaanza shida za 20K mara nikopeshe niongeze mtaji ooho.. Nikabwaga nikapata mchaga yani yeye mamaee mkikutana utasikia mwanaume anatakiwa amuhudumie mpenzi wake beib sasa wew unafanyaje kila ukimlaa anataka at least 30K yani ni sawa na unanunua utamu japo mnato anao sasa ni bora kununua Malaya tu ishu malaya huduma chap chap...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Alidai simu mwisho wa mwezi kama ameniona tena...
 
Ila we jamaa bhana yaani unavyolalamikaga utafikiri hujaoa! Kwani mmelazimishwa kuchepuka mkiona michepuko gharama si mtulie na wake zenu?

Na mimi nasema wanawake waendelee kukaza hivyo hivyo hakuna kulegeza kamba! Kwani na ninyi mkiacha hizo pesa zenu kuna nini kingine mnachowapa?

Msitegemee msaada wala mapenzi ya dhati kwa wanawake ambao hamna malengo nao wala hamuwezi kuwaoa hasa ninyi waume za watu! Tulieni na ndoa zenu!
Alokwambia Wanaume za watu tu ndo wanapigwa mizinga alikuona lofaa..
 
Tofauti ya binadamu na wanyama, ni binadamu kustaarabika kuliko wanyama kwa kujiwekea utaratibu wa mahusiano; ila hisia za binadamu hazina tofauti na wanyama, chochote anachokiona mbele, kama kinamvutia kitamshawishi tu
Hujajibu swali langu Mkuu
 
A wise man once said

"Avoid broke women at any cost".


Hapa alimaanisha broke women upande wa mtazamo, mindset na sio broke upande wa kifedha

Ukiona una date na mwanamke ana mtazamo negative, hajali kuhusu future, hakupi mawazo ya kimaendeleo wala haongelei chochote kuhusu business au investment anachotaka yeye ni attention tu hapo mwanaume kimbia mbio ndefu kuliko hata Hussein Bolt.
Haijalishi huyo mwanamke ni mchepuko au mchumba, kama ni mke mvumilie kwa sababu ulimuoa kwa ujinga wako mwenyewe [emoji41]

Mwanamke kua mchepuko hai guarantee awe na akili za kitoto au kipumbavu pumbavu.
 
Kaka ukikut
Fanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.

Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.

Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.

Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.

Fanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.

Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.

Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.

Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
Mwanangu wahuni tukikutana demu wa hivi huwa tunamwaga ulezi chini,wakat kuku anadonoa ulezi unapita nae shaaaa
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Huyo nae kaahh!![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]yaani kakufanya kibubu mwee!

In short kwa mtoto wa kike, mwanaume anaekupenda hutumii nguvu nyingi kuomba chochote,atakupa tu!atakuhudumia bila nguvu kuubwa kabisa!
Ila ukiona unatumia nguvu kubwa ujue sio wako huyo na hakuhitaji!!!

JamiiForums mobile app
Sio kwa usawa huu mlongo, utaishiwa kugalagazwa na huudumiwi, eti usiombe usubiri kupewa mbna had malaika watachoka kusujudu na kuabudu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila we jamaa bhana yaani unavyolalamikaga utafikiri hujaoa! Kwani mmelazimishwa kuchepuka mkiona michepuko gharama si mtulie na wake zenu?

Na mimi nasema wanawake waendelee kukaza hivyo hivyo hakuna kulegeza kamba! Kwani na ninyi mkiacha hizo pesa zenu kuna nini kingine mnachowapa?

Msitegemee msaada wala mapenzi ya dhati kwa wanawake ambao hamna malengo nao wala hamuwezi kuwaoa hasa ninyi waume za watu! Tulieni na ndoa zenu!
Hujawahi kukosea mommah, umepiga penyewe Pentagon kabisaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom