Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Kumhudumia mwanamke kwenye huduma za msingi ni jukumu la mwanaume.
Sina shida na kutoa huduma kwa Mwanamke ikiwa kweli mimi haswa ndie ninaepaswa kufanya hivyo.
Changamoto ni unakuta mimi najikunja kuhudumia majukumu yake lakini nyuma yake tupo wanaume kibao na wote wanamhudumia kwa ukamilifu.
Hivi ndio imepalekea kuitwa wadangaji na kuwapelekea kwenye umaskini na ufukara wa hali ya juu sana.
Sina shida na kutoa huduma kwa Mwanamke ikiwa kweli mimi haswa ndie ninaepaswa kufanya hivyo.
Changamoto ni unakuta mimi najikunja kuhudumia majukumu yake lakini nyuma yake tupo wanaume kibao na wote wanamhudumia kwa ukamilifu.
Hivi ndio imepalekea kuitwa wadangaji na kuwapelekea kwenye umaskini na ufukara wa hali ya juu sana.