cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zama zimebadilika.zamani mwanaume alikuwa akiwa na mchepuko ule mchepuko ulikuwa tulizo la moyo hasa, ila siku hizi mambo yamebadilika
mchepuko imekuwa kaa la moto,