Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umekaa kitaalamu mzeeNi ya kwel unayoyasema lakin bado wanaume hatutakuelewa
Ajabu ni kuwa wapiga mizinga wengi ni watamu nako 6×6 wanamautundu mengi sana,huwez amini mimi na haya masikio yangu yalivyo machafu mtu anayanyonya mpaka ndani ya ngoma ya sikio.
Mimi ambacho huwa nafanya huwa naandika pesa anayoniomba mpiga vizinga,kila pesa naandika,nikiona imezidi laki 3 kwa mwezi ntavumilia kidogo afu namkimbia kama nipo.
Hhahahaha unafikiri kutumia losheni na sabuni ni kitu simple! Ile mambo God alifanya between thighs its un-imaginable[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],wewe umefanya hivyo? Au unamchuuza mwenzio?
Mizinga inaumiza
Mizinga unaipenda mkuu?Pole
kufanyana tu what else 🙄Ungekuwa karibu wewe, sijui ingetokea nini...
😂😂 nitakujakufanyana tu what else 🙄
Kugundua tatizo mapema, inasaidia kujihamiUkiona mwanamke kila week ukijumlisha mizinga anayokupiga inafika laki moja huyo kaa naye mbali, mbaya zaidi ww ukikwama ukimuomba hela hakupi hata sent tano, utasikia hela sina nimetumia hiki na kile bas kaa naye mbali kabisa kabisa huyo
Me pia wiki 2 tu nakua nimekujua ww ni mtu wa aina gn na ninakupiga chini fasta bila kufikiria mara 2..Fanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.
Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.
Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.
Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
kwendaaaaa na ubahili wako 😁😁😂😂 nitakuja
Kwa io damu yako akulelee nan?Mwanamke ukiende keza njaa lazima utazalishwa Tu na kutelekezewa kwakuwa akilizao wanacho amini wanaume tukiwapa Huduma tunawapenda
😂😂😂 sio bahili mkuu, tunaogopa ile mizinga iliyokomaa kama komborakwendaaaaa na ubahili wako 😁😁
mwanaume kuogopa mizinga huo ni umama 😂😂😂😂😂 sio bahili mkuu, tunaogopa ile mizinga iliyokomaa kama kombora
Haya siogopi tena...mwanaume kuogopa mizinga huo ni umama 😂😂
ewaaaaaa huo ni uanaume na nusu 😁Haya siogopi tena...
Utajijua mwenyewe maana ulikuwa kwangu kimaslai binafsi na starehe za kunikomoa kwaiyo ukishajifungua tuna punguza Mawasiliano
Pale mtoa ushauri anaposhindwa kuzingatia ushauri wake na kupigwa na kitu kizitoFanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.
Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.
Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.
Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
Haya mambo hayana ujuzi mkuuPale mtoa ushauri anaposhindwa kuzingatia ushauri wake na kupigwa na kitu kizito
🤣🤣🤣 Wanasema ushauri mzuri ni vigumu kuupata na ukiupata vigumu kuuzingatiaHaya mambo hayana ujuzi mkuu