Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote


Hahahahha wanawake wa mburahati hawa hahaha lazima ujute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Dame anayekupiga mizinga ni wa kutafuna futa mdomo kaa pembeni.

Hastaili kabisa kufanya naye maisha... simple
 
Kuna mdada nilimwaproach akanambia nimnunulie sumsung ya 600K kwanza baada ya hapo atanivulia pichu nikamwambia sawa kuna mdada mwingine nikamwaproach akakubali bila mashart nimekula mzigo karibu mwezi sijawahi sikia mizinga isipokuwa huwa nampa kiasi chochote na ananishukuru hata kuna siku nilimgonga nikampa buku bado alinishukuru basi majuzi kati nikamwita somewhere nikamnunulia simu ya 400k amenishukuru sana na muda si mrefu namtaftia friji maana yake lazima unapokula hela yangu ule kwa adabu siyo kibabe mara mashart pumbaaafu
 
Halafu wanaopiga mizinga, wengi wao huigiza kwenye mapenzi, kujiliza liza n.k
 
Laki nne hapa kwetu mtaani unapata dada poa wenye papuchi tofauti tofauti 40. Kwa 10 k kila papuchi kwa hiyo unapiga kwa mwezi moja na siku 10 kila siku unabadili nyingine mpya na miguno mpya style mpya what a enjoyment!!!!, jifuzene ufusika wa economy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…