Miss Natafutwa
Senior Member
- Dec 18, 2024
- 190
- 593
Imeandikwa na mdau toka Mbeya:-
Nilifungua Mini-Supermarket mahali ili kujikwamua kiuchumi.
Nikaona si mbaya kumshirikisha ndugu yangu wa kike wa damu wa kuzaliwa tumbo moja mafanikio yangu ili siku moja moja naye anaweza kuja kuniungisha kununua mahitaji hapa kwangu.
Alichokuja kunifanya huwezi amini.
Kila nikipost nimeleta bidhaa mpya katika page ya duka langu kule instagram nakutana na comment moja huwa inasema "wateja msijisumbue kwenda kwenye hiyo supermarket kwani bidhaa nyingi zilizopo humo ni expired . Nlikuwa mteja wake ila nimemuhama"
Ilikuwa kila nikipromote duka langu instagram nakutana na comment hio mara kwa mara na sikujua cha kufanya na wala sikumjua muhusika.
Mungu bwana hamfichi mja wake.
Siku hiyo nikakuta hiyo account inayonichafua iko tagged na account ingine ninayoifahamu kwenye page ingine. Ikabidi niende Dm kwenye hio page ingine ili nimuulize kama anaifahamu hiyo account inayonichafua na akasema anaifahamu kwani ni mtu anayemfahamu.
Nikaanza kujenga urafiki na hio account ili aje kuniambia huyo anayenichafua ni nani ila sikufanikiwa. Kwa kuwa account hiyo inayonichafua ilikuwa iko private ikabidi nifungue account ingine nijifanye mwanaume kisha niombe kumfollow huyo anayenichafua. Ile kunikubalia, katika kufungua picha nakuta ni yule ndugu yangu wa damu kumbe ndie aliyekuwa ana ni trush kule kwenye supermarket yangu.
Nikazama Dm kwake na kumuomba namba na baada ya kunipa sikuamini kwani sauti ni ya ndugu yangu kabisa (ilibidi niombe msaada wa rafiki yangu wa kiume ili kuongea sauti ya kiume)
Na mpaka picha aliyonitumia ni yake na amepiga nyumbani tunapoishi.
Niliishiwa nguvu na kulia sana.
Japo mpaka sasa sijamwambia lolote kuhusu yale maneno ya kuikashifu supermarket yangu kule kwenye page yangu.
Naumia kuona ndugu yangu wa damu akipambana mimi nianguke kiuchumi.
Nimeumia mno.
USIMSHIRIKISHE NDUGU KWENYE MAFANIKIO YAKO HATA SIKU MOJA. ACHA AJE AJIONEE MWENYEWE SIKU IKIFIKA.
Nilifungua Mini-Supermarket mahali ili kujikwamua kiuchumi.
Nikaona si mbaya kumshirikisha ndugu yangu wa kike wa damu wa kuzaliwa tumbo moja mafanikio yangu ili siku moja moja naye anaweza kuja kuniungisha kununua mahitaji hapa kwangu.
Alichokuja kunifanya huwezi amini.
Kila nikipost nimeleta bidhaa mpya katika page ya duka langu kule instagram nakutana na comment moja huwa inasema "wateja msijisumbue kwenda kwenye hiyo supermarket kwani bidhaa nyingi zilizopo humo ni expired . Nlikuwa mteja wake ila nimemuhama"
Ilikuwa kila nikipromote duka langu instagram nakutana na comment hio mara kwa mara na sikujua cha kufanya na wala sikumjua muhusika.
Mungu bwana hamfichi mja wake.
Siku hiyo nikakuta hiyo account inayonichafua iko tagged na account ingine ninayoifahamu kwenye page ingine. Ikabidi niende Dm kwenye hio page ingine ili nimuulize kama anaifahamu hiyo account inayonichafua na akasema anaifahamu kwani ni mtu anayemfahamu.
Nikaanza kujenga urafiki na hio account ili aje kuniambia huyo anayenichafua ni nani ila sikufanikiwa. Kwa kuwa account hiyo inayonichafua ilikuwa iko private ikabidi nifungue account ingine nijifanye mwanaume kisha niombe kumfollow huyo anayenichafua. Ile kunikubalia, katika kufungua picha nakuta ni yule ndugu yangu wa damu kumbe ndie aliyekuwa ana ni trush kule kwenye supermarket yangu.
Nikazama Dm kwake na kumuomba namba na baada ya kunipa sikuamini kwani sauti ni ya ndugu yangu kabisa (ilibidi niombe msaada wa rafiki yangu wa kiume ili kuongea sauti ya kiume)
Na mpaka picha aliyonitumia ni yake na amepiga nyumbani tunapoishi.
Niliishiwa nguvu na kulia sana.
Japo mpaka sasa sijamwambia lolote kuhusu yale maneno ya kuikashifu supermarket yangu kule kwenye page yangu.
Naumia kuona ndugu yangu wa damu akipambana mimi nianguke kiuchumi.
Nimeumia mno.
USIMSHIRIKISHE NDUGU KWENYE MAFANIKIO YAKO HATA SIKU MOJA. ACHA AJE AJIONEE MWENYEWE SIKU IKIFIKA.