Usithubutu kumshirikisha Ndugu kwenye Mafanikio yako, Utajuta. Yamenikuta

Usithubutu kumshirikisha Ndugu kwenye Mafanikio yako, Utajuta. Yamenikuta

USIMSHIRIKISHE NDUGU KWENYE MAFANIKIO YAKO HATA SIKU MOJA. ACHA AJE AJIONEE MWENYEWE SIKU IKIFIKA.
Hapa unataka kutoa conclusion kwa just only one sample space or only one event like a coin flip game umepata tail ukahitimisha kuwa coin ina tail pekee na sio head and tail.
Inabidi Kila mtu afanye ivyo kwa ndugu zake wote yaani watu wote duniani tuje kucheki average, median, range, mie Kuna ndugu yangu amenisaidia mtaji nikalipia fremu nilipomshirikisha wazo langu la kufungua biashara niliyo nayo.
Sasa hapa utasemaje kuhusu ndugu yangu,mie ndugu akanisomesha na mpaka kuniozesha mke wangu kwa gharama zake mwenyewe.
Labda na wengine walete shuhuda wa ndugu zao ili tufanye mathematics tutoe jibu Ila ubongo wako ama wangu unao flaws katika kufanya maamuzi na hitimisho. We need to measure what we're speaking and thinking.

Pia suala la mtu kuwa na tabia sio suala la ndugu ni suala la ubinadamu Kama mtu ni mwizi mbona mpaka anaibia mzazi wake ama mwanae, Kama mtu ni mzinzi anatembea mpaka na nduguze yaani Ile tabia yake ni kiu ama shetani lake huwa linamsukuma ajipatie kinywaji chake ili apumue, let say Kama mtu anabeti ama anakunywa mpaka anywe ili aridhike, Kama mtu anamsengenya mtu lazima afanye ivyo ili aridhike. Nishawahi kutana na binti mmoja akaniambia bila ya ku du na wanaume wawili per day hawezi lala
 
Ogopa sana Teknologia

"Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.

Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.

First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.

Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.

Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.

Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.

Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha

Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba

Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.

1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.

2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro"
JF kuna watunzi wa chai wa kutosha na ubaya hawana kumbukumbu kabisa.
 
Hapa unataka kutoa conclusion kwa just only one sample space or only one event like a coin flip game umepata tail ukahitimisha kuwa coin ina tail pekee na sio head and tail.
Inabidi Kila mtu afanye ivyo kwa ndugu zake wote yaani watu wote duniani tuje kucheki average, median, range, mie Kuna ndugu yangu amenisaidia mtaji nikalipia fremu nilipomshirikisha wazo langu la kufungua biashara niliyo nayo.
Sasa hapa utasemaje kuhusu ndugu yangu,mie ndugu akanisomesha na mpaka kuniozesha mke wangu kwa gharama zake mwenyewe.
Labda na wengine walete shuhuda wa ndugu zao ili tufanye mathematics tutoe jibu Ila ubongo wako ama wangu unao flaws katika kufanya maamuzi na hitimisho. We need to measure what we're speaking and thinking.

Pia suala la mtu kuwa na tabia sio suala la ndugu ni suala la ubinadamu Kama mtu ni mwizi mbona mpaka anaibia mzazi wake ama mwanae, Kama mtu ni mzinzi anatembea mpaka na nduguze yaani Ile tabia yake ni kiu ama shetani lake huwa linamsukuma ajipatie kinywaji chake ili apumue, let say Kama mtu anabeti ama anakunywa mpaka anywe ili aridhike, Kama mtu anamsengenya mtu lazima afanye ivyo ili aridhike. Nishawahi kutana na binti mmoja akaniambia bila ya ku du na wanaume wawili per day hawezi lala
Mkuu uko vizuri,inaonyesha Mtoa mada imemuumiza kwa ndugu yake wa damu kufanya hivyo,kiasi Cha kujumlisha kila ndugu wa mtu yoyote.Wengi tumepitia kwa ndugu, Mimi mmoja wapo Baada ya baba kufariki,nilisaidiwa sana na wajomba zangu,nao watoto wao niliwasaidia sana pia,imeenda binamu yangu Mmoja, mtoto wa huyo mjomba,kanilipia ada ya chuo mwanangu kwa kukosa mkopo.Wapo ndugu,marafiki wazuri na pia wapo ndugu,marafiki wabaya!Ni kuwa makini tuu.
 
Mkuu uko vizuri,inaonyesha Mtoa mada imemuumiza kwa ndugu yake wa damu kufanya hivyo,kiasi Cha kujumlisha kila ndugu wa mtu yoyote.Wengi tumepitia kwa ndugu, Mimi mmoja wapo Baada ya baba kufariki,nilisaidiwa sana na wajomba zangu,nao watoto wao niliwasaidia sana pia,imeenda binamu yangu Mmoja, mtoto wa huyo mjomba,kanilipia ada ya chuo mwanangu kwa kukosa mkopo.Wapo ndugu,marafiki wazuri na pia wapo ndugu,marafiki wabaya!Ni kuwa makini tuu.
Maisha ni coin flip game sema wengi hatutaki kuyakubali. Nashukuru mno kwa kunielewa nilichomaanisha. Kuna ndugu/marafiki/majirani hawataki/wanataka kukuona unafanikiwa , just elewa Maisha ama dunia ilivyo then move with it. Kuna hata mme/mke wako hataki utoboe
 
Ogopa sana Teknologia

"Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.

Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.

First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.

Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.

Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.

Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.

Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha

Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba

Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.

1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.

2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro"
The ultimate ignorance is the rejection of something you know nothing about yet refuse to investigate... umaskin unao affect Hadi akili unasumbua waafrika wengi wa aina yako..kwahio hapo umejisikia furaha sana na umekua tajiri? Sometimes usitumie nguvu kubwa kutafuta furaha kwenye kufanya ujinga na upumbavu
 
Ogopa sana Teknologia

"Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.

Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.

First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.

Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.

Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.

Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.

Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha

Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba

Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.

1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.

2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro"
Umefaidika nini kuandika hivyo wewe maiti mwenzangu mtarajiwa?
 
Msipende kuchukulia maandiko ya watu serious sana.
Huyu aliendindika ameonyesha kabisa Kwa juu kwamba amekopi mahali.
Watu mnamshambulia na kuleta maandiko yake ya nyuma
Kuna watu hukopi na kupaste humu iwe kama changamsha genge.
 
Msipende kuchukulia maandiko ya watu serious sana.
Huyu aliendindika ameonyesha kabisa Kwa juu kwamba amekopi mahali.
Watu mnamshambulia na kuleta maandiko yake ya nyuma
Kuna watu hukopi na kupaste humu iwe kama changamsha genge.
Anabidi kujitathimini maana kuna siku inaweza kutokea yupo na shida watu wakampuuza.

Ni vizuri kutumia platform za mitandao vizuri na sio kutafuta attention.
 
Imeandikwa na mdau toka Mbeya:-

Nilifungua Mini-Supermarket mahali ili kujikwamua kiuchumi.
Nikaona si mbaya kumshirikisha ndugu yangu wa kike wa damu wa kuzaliwa tumbo moja mafanikio yangu ili siku moja moja naye anaweza kuja kuniungisha kununua mahitaji hapa kwangu.

Alichokuja kunifanya huwezi amini.
Kila nikipost nimeleta bidhaa mpya katika page ya duka langu kule instagram nakutana na comment moja huwa inasema "wateja msijisumbue kwenda kwenye hiyo supermarket kwani bidhaa nyingi zilizopo humo ni expired . Nlikuwa mteja wake ila nimemuhama"

Ilikuwa kila nikipromote duka langu instagram nakutana na comment hio mara kwa mara na sikujua cha kufanya na wala sikumjua muhusika.

Mungu bwana hamfichi mja wake.

Siku hiyo nikakuta hiyo account inayonichafua iko tagged na account ingine ninayoifahamu kwenye page ingine. Ikabidi niende Dm kwenye hio page ingine ili nimuulize kama anaifahamu hiyo account inayonichafua na akasema anaifahamu kwani ni mtu anayemfahamu.

Nikaanza kujenga urafiki na hio account ili aje kuniambia huyo anayenichafua ni nani ila sikufanikiwa. Kwa kuwa account hiyo inayonichafua ilikuwa iko private ikabidi nifungue account ingine nijifanye mwanaume kisha niombe kumfollow huyo anayenichafua. Ile kunikubalia, katika kufungua picha nakuta ni yule ndugu yangu wa damu kumbe ndie aliyekuwa ana ni trush kule kwenye supermarket yangu.

Nikazama Dm kwake na kumuomba namba na baada ya kunipa sikuamini kwani sauti ni ya ndugu yangu kabisa (ilibidi niombe msaada wa rafiki yangu wa kiume ili kuongea sauti ya kiume)
Na mpaka picha aliyonitumia ni yake na amepiga nyumbani tunapoishi.

Niliishiwa nguvu na kulia sana.

Japo mpaka sasa sijamwambia lolote kuhusu yale maneno ya kuikashifu supermarket yangu kule kwenye page yangu.
Naumia kuona ndugu yangu wa damu akipambana mimi nianguke kiuchumi.
Nimeumia mno.

USIMSHIRIKISHE NDUGU KWENYE MAFANIKIO YAKO HATA SIKU MOJA. ACHA AJE AJIONEE MWENYEWE SIKU IKIFIKA.
Hapa umeleta story ya upande mmoja na sisi kama mahakimu tubaonba ndugu yako aje na story yake ndio tamko litoke.

Unajua wengi huwa tunafanya maamuzi kwa kusikiliza ilihali ukweli ndugu waujua
 
Imeandikwa na mdau toka Mbeya:-

Nilifungua Mini-Supermarket mahali ili kujikwamua kiuchumi.
Nikaona si mbaya kumshirikisha ndugu yangu wa kike wa damu wa kuzaliwa tumbo moja mafanikio yangu ili siku moja moja naye anaweza kuja kuniungisha kununua mahitaji hapa kwangu.

Alichokuja kunifanya huwezi amini.
Kila nikipost nimeleta bidhaa mpya katika page ya duka langu kule instagram nakutana na comment moja huwa inasema "wateja msijisumbue kwenda kwenye hiyo supermarket kwani bidhaa nyingi zilizopo humo ni expired . Nlikuwa mteja wake ila nimemuhama"

Ilikuwa kila nikipromote duka langu instagram nakutana na comment hio mara kwa mara na sikujua cha kufanya na wala sikumjua muhusika.

Mungu bwana hamfichi mja wake.

Siku hiyo nikakuta hiyo account inayonichafua iko tagged na account ingine ninayoifahamu kwenye page ingine. Ikabidi niende Dm kwenye hio page ingine ili nimuulize kama anaifahamu hiyo account inayonichafua na akasema anaifahamu kwani ni mtu anayemfahamu.

Nikaanza kujenga urafiki na hio account ili aje kuniambia huyo anayenichafua ni nani ila sikufanikiwa. Kwa kuwa account hiyo inayonichafua ilikuwa iko private ikabidi nifungue account ingine nijifanye mwanaume kisha niombe kumfollow huyo anayenichafua. Ile kunikubalia, katika kufungua picha nakuta ni yule ndugu yangu wa damu kumbe ndie aliyekuwa ana ni trush kule kwenye supermarket yangu.

Nikazama Dm kwake na kumuomba namba na baada ya kunipa sikuamini kwani sauti ni ya ndugu yangu kabisa (ilibidi niombe msaada wa rafiki yangu wa kiume ili kuongea sauti ya kiume)
Na mpaka picha aliyonitumia ni yake na amepiga nyumbani tunapoishi.

Niliishiwa nguvu na kulia sana.

Japo mpaka sasa sijamwambia lolote kuhusu yale maneno ya kuikashifu supermarket yangu kule kwenye page yangu.
Naumia kuona ndugu yangu wa damu akipambana mimi nianguke kiuchumi.
Nimeumia mno.

USIMSHIRIKISHE NDUGU KWENYE MAFANIKIO YAKO HATA SIKU MOJA. ACHA AJE AJIONEE MWENYEWE SIKU IKIFIKA.
Mchawi wa kwanza kwenye maisha ni ndugu
 
Imeandikwa na mdau toka Mbeya:-

Nilifungua Mini-Supermarket mahali ili kujikwamua kiuchumi.
Nikaona si mbaya kumshirikisha ndugu yangu wa kike wa damu wa kuzaliwa tumbo moja mafanikio yangu ili siku moja moja naye anaweza kuja kuniungisha kununua mahitaji hapa kwangu.

Alichokuja kunifanya huwezi amini.
Kila nikipost nimeleta bidhaa mpya katika page ya duka langu kule instagram nakutana na comment moja huwa inasema "wateja msijisumbue kwenda kwenye hiyo supermarket kwani bidhaa nyingi zilizopo humo ni expired . Nlikuwa mteja wake ila nimemuhama"

Ilikuwa kila nikipromote duka langu instagram nakutana na comment hio mara kwa mara na sikujua cha kufanya na wala sikumjua muhusika.

Mungu bwana hamfichi mja wake.

Siku hiyo nikakuta hiyo account inayonichafua iko tagged na account ingine ninayoifahamu kwenye page ingine. Ikabidi niende Dm kwenye hio page ingine ili nimuulize kama anaifahamu hiyo account inayonichafua na akasema anaifahamu kwani ni mtu anayemfahamu.

Nikaanza kujenga urafiki na hio account ili aje kuniambia huyo anayenichafua ni nani ila sikufanikiwa. Kwa kuwa account hiyo inayonichafua ilikuwa iko private ikabidi nifungue account ingine nijifanye mwanaume kisha niombe kumfollow huyo anayenichafua. Ile kunikubalia, katika kufungua picha nakuta ni yule ndugu yangu wa damu kumbe ndie aliyekuwa ana ni trush kule kwenye supermarket yangu.

Nikazama Dm kwake na kumuomba namba na baada ya kunipa sikuamini kwani sauti ni ya ndugu yangu kabisa (ilibidi niombe msaada wa rafiki yangu wa kiume ili kuongea sauti ya kiume)
Na mpaka picha aliyonitumia ni yake na amepiga nyumbani tunapoishi.

Niliishiwa nguvu na kulia sana.

Japo mpaka sasa sijamwambia lolote kuhusu yale maneno ya kuikashifu supermarket yangu kule kwenye page yangu.
Naumia kuona ndugu yangu wa damu akipambana mimi nianguke kiuchumi.
Nimeumia mno.

USIMSHIRIKISHE NDUGU KWENYE MAFANIKIO YAKO HATA SIKU MOJA. ACHA AJE AJIONEE MWENYEWE SIKU IKIFIKA.
Kwa hiyo ndugu yako akiwa kilaza ,unalazimisha na ndugu wa wengine wawe vilaza kama huyo wa kwako?
 
Back
Top Bottom