Nashauri iundwe tume yenye wajumbe 10 kutoka bara na 10 kutoka visiwani Ili kuchunguza na kumaliza ugomvi wenu🤣Sime imekuwa bastola mwe. Watu wa bunda vijijini hawanaga bunduki tusidanganyane. Huko huwaga ni mwendo wa masime.
Mkataa kwao mtumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashauri iundwe tume yenye wajumbe 10 kutoka bara na 10 kutoka visiwani Ili kuchunguza na kumaliza ugomvi wenu🤣Sime imekuwa bastola mwe. Watu wa bunda vijijini hawanaga bunduki tusidanganyane. Huko huwaga ni mwendo wa masime.
Mkataa kwao mtumwa
[emoji23][emoji23][emoji23] huu ni upuuzi wakirudiana wewe lazma uonekane mbaya wao
Yani inatakiwa ukiona hata wamebebeana mashoka
We waambie PASUANENI
Hili jambo kuna watu wengi wanakubaliana nalo, lakini mimi nina mawazo tofauti. Tatizo kubwa la baadhi ya watu wanaojaribu kuamua ugomvi wa wapenzi ni kuwa wanajiingiza kwenye ugomvi na ku-take sides.Ndiyo ninachoenda Kukifanya sasa Mkuu.
Wengi wanakwenda kusuluhisha huku wakijaribu kutoa ushauri wa kuwataka waachane. Na mbaya zaidi hawakai na pende zote mbili kwa pamaoja bali husikiliza maneno ya upande mmojaUkisuluhisha mgogoro wa wanandoa,
Pambana waelewane bila kumlaumu yeyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutakua Kuna Jambo limemkuta,Tatizo ana andika pumba hana hoja na hajui kutetea anacho kiandika yani hasa hebu niambie alicho andika hapa leo ndio nini?
Mpaka huyo Mwingine akipona Ukichaa wake unaomsumbua na kudhani kuwa kwa Kunishobokea hapa JamiiForums kila mara ndiyo atapona.Nashauri iundwe tume yenye wajumbe 10 kutoka bara na 10 kutoka visiwani Ili kuchunguza na kumaliza ugomvi wenu🤣