Usitumie hela nyingi kupata Ngono

Usitumie hela nyingi kupata Ngono

Habari zenu wakuu.

Nimekuwa naona nyuzi tofauti za Wanaume wenzangu wakijisifu kula wanawake fulani huku ndoano yao kubwa kuwavuta hao wanawake ni Pesa. Nikaona kuna wanaume wengine wanasema alitenga 100k, mwengine 200k, mwengine 700k n.k

NIKACHEKA SANA! [emoji23]

Wakuu kwa Dunia yasasa Ngono haipaswi kugharamiwa kiasi hicho HUO NI UZWAZWA

Yani unahangaika kutafuta hela kwa tabu halafu unakuja kununua penzi kwa Laki mbili? HUO NI UZWAZWA

Malaya hapaswi kula hela yako kiasi hicho, Toa pesa wape wazazi, wahitaji n.k na sio kula Malaya ambae unatumia kinga kumlala, anakuachia Laana na hana anachojali kuhusu wewe.


NB: MALAYA WANAPASWA KUISHI KWENYE UMASIKINI, USIWAPE PESA ZAKO KUBADILISHA MAISHA YAO.
Uko sahihi
 
Zamani tendo la ndoa, lilikua takatifu na ibada baina ya mungu na watu wake endapo litafanyika ki halali.

Lakini saivi ni kinyume watu wanalichukulia ni tendo la kawaida kama vitu vyengine, ndio maana walio wengi wana tembea na mikosi, nuksi na matatizo mengine ya kiroho kutokana na kujihsisha na tendo hili bila kufata kanuni.

Tujifikirie kwa kweli.
 
Habari zenu wakuu.

Nimekuwa naona nyuzi tofauti za Wanaume wenzangu wakijisifu kula wanawake fulani huku ndoano yao kubwa kuwavuta hao wanawake ni Pesa. Nikaona kuna wanaume wengine wanasema alitenga 100k, mwengine 200k, mwengine 700k n.k

NIKACHEKA SANA! [emoji23]

Wakuu kwa Dunia yasasa Ngono haipaswi kugharamiwa kiasi hicho HUO NI UZWAZWA

Yani unahangaika kutafuta hela kwa tabu halafu unakuja kununua penzi kwa Laki mbili? HUO NI UZWAZWA

Malaya hapaswi kula hela yako kiasi hicho, Toa pesa wape wazazi, wahitaji n.k na sio kula Malaya ambae unatumia kinga kumlala, anakuachia Laana na hana anachojali kuhusu wewe.


NB: MALAYA WANAPASWA KUISHI KWENYE UMASIKINI, USIWAPE PESA ZAKO KUBADILISHA MAISHA YAO.
Kuna mmoja humu kajiunga juzi juzi anadai madau mtoayo ni madogo, yani 50K tu 😁😁😂😂😁😁 bila shaka amepata ujumbe wake.
 
Back
Top Bottom