Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Yaan maisha magumu
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚
Hapo ndio umenena kwa moyo mmoja kabisa yajazayo moyo wa mwanamke.

Wanawake wengi siku hizi wanafuata wanaume kwasababu hiyo ya kupata unafuu wa maisha. MAISHA MAGUMUπŸ€£πŸ˜†πŸ˜Ž. Maisha YAKILAINIKA anakutifua mnaachana anaendelea na yake.

Kila mtu na apambane na maisha yake kwakweli.
 
We nae tuache
 
Mwanangu ningepigwa nimekwambia nikufiche nn, Ili ni kwangu ni kama Funzo.
Kununua Kiwanja kujenga, na umeme full, Bado kumkabidhi tu Dem kachomoa Betri,
Mtego wako umeuseti vizuri sana watanasa tu mkuu!
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Mtego wako umeuseti vizuri sana watanasa tu mkuu!
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Hapana Mzee Maisha, sio ushindani au umwamba, mm sijui kesho yangu. Pambana na Maisha usiweke mitego kwa watu
 
Sahihi sana, Chapa chapa tembea,
Wanawake wa kuwaonea huruma ni mama yako mzazi, dada zako na watoto wako.
Waliobakia siyo wa kuwaonea huruma hata mkeo. Usioe mwanamke kwa kumuonea huruma
 
Wanawake wa kuwaonea huruma ni mama yako mzazi, dada zako na watoto wako.
Waliobakia siyo wa kuwaonea huruma hata mkeo. Usioe mwanamke kwa kumuonea huruma
Uko sahihi sana, ndugu yangu.... Kwa sasa hii Kichwa sio poa.
 
Tayari kimeumana daa yaani mtu umemkuta ana watoto 3 alafu unaanza kuwekeza una roho ngumu sana mkuu bt huko unakoelekea utakuja kufa vibaya
 
Uko sahihi sana, ndugu yangu.... Kwa sasa hii Kichwa sio poa.
Mwanamke ana akili za kitoto, hana shukrani, kuhongwa na kuhudumiwa huwa anaona kama haki yake ya msingi.
Ulifanya vizuri sana kutomwambia km ungemjengea nyumba, hapo angebadilika na kuwa malaika, ila ungekamilisha nyumba na kumpa. Angekuwa shetani mkuu, ndiyo ingekuwa mwisho wa penzi lenu.
Siku zote mwanaume anayemhudumia mwanamke kwa 99%, kumuonea huruma, kumjali na kumpenda mwanamke, huonekana ni mafala, wajinga na wapuuz maana mwanamke huwa hastahili vyote. Fanya uchunguzi, wanaume wanaoteseka kwenye mapenzi na kwenye ndoa ni wale wenye upendo, na kuwaonea huruma
 
Tuendelee tu kupata burudani na utunzi JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…