π€£π€£πYaan maisha magumu
Waarabu wameliwezea sana hili. Na hata baadhi ya wasukuma wa vijijini huko.Mithali 31:3
Hawasomi, wakipigwa ndio wanakuja kusomaSema baadhi ya men humu ndo vichwa wazi tu, jamaa anaandika nyuzi karibia kila wiki humu na watu wanasoma ila bado watu wanaendelea kupigwa, dahh
Ila kama ni wa muda anakubali.Amekataa ataki mpangaji wa jf
πΉπΉπΉππΎIla kama ni wa muda anakubali.
Ni kama nilimsikia akisema HIT and RUN kwa sasa.π€£
We nae tuacheπ€£π€£π
Hapo ndio umenena kwa moyo mmoja kabisa yajazayo moyo wa mwanamke.
Wanawake wengi siku hizi wanafuata wanaume kwasababu hiyo ya kupata unafuu wa maisha. MAISHA MAGUMUπ€£ππ. Maisha YAKILAINIKA anakutifua mnaachana anaendelea na yake.
Kila mtu na apambane na maisha yake kwakweli.
Yeah nmekuwa exaitted hasa na swaga zako.Umeamua kuflirt kabisa Kwa Uzi wa watuπΉ
ππ Admire naonaY
Yeah nmekuwa exaitted hasa na swaga zako.
HahahaYupo wodini hajielewi kale kamashine kanatoa mlio kama kinataka kukata.Huwa analala kwenye vikao vya wanaume
Mtego wako umeuseti vizuri sana watanasa tu mkuu!Mwanangu ningepigwa nimekwambia nikufiche nn, Ili ni kwangu ni kama Funzo.
Kununua Kiwanja kujenga, na umeme full, Bado kumkabidhi tu Dem kachomoa Betri,
Saiv ni hit and run Amna kunasa mtu πΉMtego wako umeuseti vizuri sana watanasa tu mkuu!
π π π
Wanawake wa kuwaonea huruma ni mama yako mzazi, dada zako na watoto wako.Sahihi sana, Chapa chapa tembea,
Mwanamke ana akili za kitoto, hana shukrani, kuhongwa na kuhudumiwa huwa anaona kama haki yake ya msingi.Uko sahihi sana, ndugu yangu.... Kwa sasa hii Kichwa sio poa.
Tuendelee tu kupata burudani na utunzi JFSiko hapa kuonyeshana umwamba au ujuaji, kama umeona nilichoandika, ni Utunzi au niongo okey, sawa wewe uko sahihi. umeshinda mkuu.
Ila kwa wale ambayo watatumia kama Funzo naliweafunze ila Mimi, Binafsi niliandika kwa Nia ya Kujifunza kwa wengine wasipite njia niliopita Mimi.