Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nyie mpo wengi sana JFHaaaaa, ndugu usidharau mtu usie mjua, Mimi nyumba yangu ya kwanza kujenga Nimejenga nikiwai na Miaka 22. brooo. Naamini ktk Biashara mkuu.( Sijawai kuajiriwa hata siku Moja)