Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
😂😂SIMPS(Weak men) wanashida sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂SIMPS(Weak men) wanashida sana.
Brain is not braining anymore 😂😂Mbona ulitusimulia mkuu,au ulisahau?
Halafu ukiwasanua wanajitetea sijui ni wema wanasaidia kama binadamu wengine.SIMPS(Weak men) wanashida sana.
Lini utanijengea nyumba we mwanaumeusimshurutishe akueleweshe mletee kwanza mwanasaikolojia maana kapigwa na tofali la medula oblangata!...😂
lini utanizalia watoto watatu we mwanamke...?Lini utanijengea nyumba we mwanaume
Mimi na hao watoto tutaishi wapi? Nyumba kwanzalini utanizalia watoto watatu we mwanamke...?
Mh! hii ngoma imekataa watoto kwanza fanya fanya mi nipachike vimbegu humo nyumba lazima niwajengeeMimi na hao watoto tutaishi wapi? Nyumba kwanza
Tutaishi wapi muda wote huo?Mh! hii ngoma imekataa watoto kwanza fanya fanya mi nipachike vimbegu humo nyumba lazima niwajengee
Kwani sasahivi unaishi kwenye tundu la siafu..?Tutaishi wapi muda wote huo?
Kwahiyo mtoto mmoja hatoshi kukuhakikishia kama nina kizazi hadi nifyatue watatu? LohKwani sasahivi unaishi kwenye tundu la siafu..?
usinivuruge hebu nizalie kwanza nijue unakizazi sio najenga halafu wakuja kukaa kumbe hauna!
😂😂😂😂😂😂UuuhUnabananisha maneno, mpaka mtu anashindwa kupumua. Kweli ni mwaka 2024, mwezi wa 4 mida ya 2:30.
Hata huyo mumoja hujaniletea!, unajua nitakudunda demi!!Kwahiyo mtoto mmoja hatoshi kukuhakikishia kama nina kizazi hadi nifyatue watatu? Loh
Wanaume wengi tukipenda huwa hatuoni wala kusikia😂😂😂😂Halafu ukiwasanua wanajitetea sijui ni wema wanasaidia kama binadamu wengine.
Mtu analipia ada mtoto wa single maza wakati watoto wa ndugu zake kibao hawajalipiwa ada.
Mtu ana-sponser extravaganza life ya slay queen wakati wazazi wake wanaishi maisha ya dhiki. Halafu bila aibu anasema anafanya wema tu. A simp is a shame to his friends, parents and ancestors.
kuna slay queen mmoja baada ya kumchakata mara kadhaa akaniambia nimpangishie nyumba. Nikamwambia nipe bajeti kaniletea bajeti ya laki 5, nikaenda ku-withdraw laki 5 nikaenda dukani kuwanunuliwa wazazi wangu smart tv nikawapelekea zawadi, na yule slay queen hajaiona sura yangu tena mpaka leo
Umeambiwa umpende Mungu wako 100%, kisha wewe mwenyewe.Hapana, mzeee hilo Jambo haliwezekani, kaka Pesa sio nzuri ktk Maisha kama mtu ana upendo wa Dhati na wewe, Malengo na nilichofanya kwake sio kwa ajiri ya pesa Bali ni Upendo, niliacha kuingiza hiyo pesa ktk Biashara nikamjenga yeye waza, sikuwaza Faida ila niliwaza Upendo.
Mpangaji wa moyoni🤣😂Ngoja mpangaji nije mie 🤧🤧