yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
Mimi siwezi kuamini labda nikutwe na mimi ila wanawake ni watu poa sana sema hamjajua wanapoaga kwa umri upi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusikia kwa kengeMimi siwezi kuamini labda nikutwe na mimi ila wanawake ni watu poa sana sema hamjajua wanapoaga kwa umri upi.
Mtawapata wajinga tu..Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! [emoji81][emoji81][emoji1787]
Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 [emoji81][emoji81][emoji81][emoji2222]
Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! [emoji1787]!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
😹😹😹 Wanaume wote wajinga, hata wewe kuna sehemu una maujinga yako mkuu..!!Mtawapata wajinga tu..
Pole jamani2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.
Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.
Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda
Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.
Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Ni kweli ila ujinga unakomea kwenye pesa.[emoji81][emoji81][emoji81] Wanaume wote wajinga, hata wewe kuna sehemu una maujinga yako mkuu..!!
Kwa rahaa ulizo mpa jamaa kwnn asifanye hivyo hana hasara huyo mda mwingine tunawekezaka na tunapoteza piaTayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣
Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸♀️
Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
TuliwaambiaKusikia kwa kenge ni mpaka atoke damu
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.
Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.
Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda
Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.
Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Ila mnawaangaliaga kuwa huyu ni boya tu then mnamnyoosha.Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣
Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸♀️
Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.