Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Mimi siwezi kuamini labda nikutwe na mimi ila wanawake ni watu poa sana sema hamjajua wanapoaga kwa umri upi.
 
1000008560.jpg
 
Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸‍♀️

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
 
Ndyo umekuja kujua Leo umechelew kujitambua tenda wema uwende zako
 
Kunywa maji af urudi hapa utuambie nini kimekusibu.
 
Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! [emoji81][emoji81][emoji1787]

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 [emoji81][emoji81][emoji81][emoji2222]

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! [emoji1787]!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
Mtawapata wajinga tu..
 
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Pole jamani
 
VIJANA KUWENI MAKINI.... SIKU HIZI WANAWAKE WENGI NI WASHIRIKINA....WANAPISHANA VIRINGENI......
 
Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸‍♀️

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
Kwa rahaa ulizo mpa jamaa kwnn asifanye hivyo hana hasara huyo mda mwingine tunawekezaka na tunapoteza pia
 
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.

Umelipwa Nini Kaka baada ya kuchezea hela huku Mama yako huko Biharamulo Hana vitengw vya kigoma
 
Miaka 27 watot wa3, Single mother, . 🙆 Oa hii imekaaj, au ulirogwa😂
 
Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸‍♀️

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
Ila mnawaangaliaga kuwa huyu ni boya tu then mnamnyoosha.

Si angekuua tu au akukate mguu
 
Back
Top Bottom