Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Tupe full story,akamuita mzazi mwenzie!
 
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.
 
Tunajifunza kupitia makosa, ila sio Vizuri Kujifunza kupitia makosa, Mimi mpaka nimeamua kuandika hili Jambo limenikuta Mimi, na sitaki kijana au mwanaume yeyote limkute hili ambalo Mimi, limeshanikuta.
Pole mkuu,ila atakuja kukumbuka sana,hiyo ni Lazima na ukashangaa unamsamehe na Wewe,ukaingia tamaa ukampa mimba kwa hasira!
 
Pole mkuu,ila atakuja kukumbuka sana,hiyo ni Lazima na ukashangaa unamsamehe na Wewe,ukaingia tamaa ukampa mimba kwa hasira!
Hapana, mzeee hilo Jambo haliwezekani, kaka Pesa sio nzuri ktk Maisha kama mtu ana upendo wa Dhati na wewe, Malengo na nilichofanya kwake sio kwa ajiri ya pesa Bali ni Upendo, niliacha kuingiza hiyo pesa ktk Biashara nikamjenga yeye waza, sikuwaza Faida ila niliwaza Upendo.
 
yaani niliposoma watoto watatu basi sijaendelea,hivi unawezaje kudate na single mama wa watoto watatu unadhani waliomwacha walikua wajinga
 
Back
Top Bottom