Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Duh hizo chembechembe za uduanzi, nadhani ana experience fulani ilimuonyesha kuwa we ni mpuuzi. Ana hali mbaya lakini ungempeleka pabaya zaidi.

Ashukuriwe Mungu alikupa somo na yeye akajiokoa.

"A fool and his money are soon parted"
 
Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸‍♀️

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
Bora wewe umesema,huyu kaleta negative lakini wenye positive ni wengi mno.
 
Wewe ni mjinga kwel kwel,,,, unakutana na singo maza watoto wa3 unamjengea ? Hawa watu hawatakiwi kuonewa huruma, yani mpk azalishwe mara 3 na kuachwa kuna shida mahali, na wewe ukabeba jumla jumla,,,,ama anafinyia kwa ndan ? Utakuwa ulikuja mjini na gari za mwenge
 
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.


Jaribu uonje na sumu alafu utupe feedback, maana ww hata sumu utaonja kwa akili zako hizi.
 
dah! pole man huo ndio utu uzima.
 
Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸‍♀️

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga l

Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸‍♀️

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
Mwanamke, ni Kiumbe Hatari sana, nae alikua anaomba Kodi nikaamua kumjengea Ili kupunguza kuombana Kodi Kila mara, ni kawaza nimpe na msingi aongezee kwenye Harakati zake.
 
Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Kilikupata nini sasa mboni hujamaliza unaanza kulia?
 
Mwanamke, ni Kiumbe Hatari sana, nae alikua anaomba Kodi nikaamua kumjengea Ili kupunguza kuombana Kodi Kila mara, ni kawaza nimpe na msingi aongezee kwenye Harakati zake.
Ikawaje sasa malizia story mboni unajilizaliza na story humalizii?
 
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Hao viumbe hawanaga shukrani hata kidogo,ukipata nafasi yakumtenda mwanamke mtende kisawasawa hadi atie adabu, sio wakuwaonea huruma hata kidogo!
 
Mwanangu ningepigwa nimekwambia nikufiche nn, Ili ni kwangu ni kama Funzo.
Kununua Kiwanja kujenga, na umeme full, Bado kumkabidhi tu Dem kachomoa Betri,
Kachomoaje hio betri mboni maelezo yako hayatoshi?
 
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Wewe unalala na kula kwa shemeji yako.kisha unakuja andika upuuzi eti ukamjengea. Unaota?hujielewi unakuja na pigo za kishamba sana. Nenda kamfulie shemejiyo boxers zake.
 
Tayari kimekulamba binti Sayuni kashakupiga tukio..!! 😹😹🤣

Nilipataga babe alikuwa ananilipia kodi kwenye nyumba yangu mwenyewe na nilikuwa namwambia landlord anataka kuanzia miezi 6 😹😹😹🤸‍♀️

Siku ananiambia tuachane na kodi hanilipii tena nilimcheka km kinyago cha mpapule..!! 🤣!
Wanaume tunawapiga sana matukio sema mnaogopa kusimulia, bora wewe umejitoa muhanga leo.
Umedhihirisha ulivyo kibuyu.Ipo siku watakutawanya nyaa.Endelea kujisifu ujinga.

Mnakufaga vibaya nyie.Endelea na huo utapeli utakutana na mamafia watakuMasogange👋
 
Mwanamke, ni Kiumbe Hatari sana, nae alikua anaomba Kodi nikaamua kumjengea Ili kupunguza kuombana Kodi Kila mara, ni kawaza nimpe na msingi aongezee kwenye Harakati zake.
Wanawake wakuchapa walivyo wengi hivi hao mavimpire mnayatolea wapi???😀😀😀
 
Back
Top Bottom