Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂 dunia inaenda kwa kasi sana, mkitaka kuolewa itabidi mrudi kwa waliowazalisha tu hakuna namna
Good Point kaka, Maana Hivi Viumbe havina shukrani, kiukweli kutoka kwa Mungu nafsi yangu Imekua chafu kwa Hawa Viumbe,Halafu ukiwasanua wanajitetea sijui ni wema wanasaidia kama binadamu wengine.
Mtu analipia ada mtoto wa single maza wakati watoto wa ndugu zake kibao hawajalipiwa ada.
Mtu ana-sponser extravaganza life ya slay queen wakati wazazi wake wanaishi maisha ya dhiki. Halafu bila aibu anasema anafanya wema tu. A simp is a shame to his friends, parents and ancestors.
kuna slay queen mmoja baada ya kumchakata mara kadhaa akaniambia nimpangishie nyumba. Nikamwambia nipe bajeti kaniletea bajeti ya laki 5, nikaenda ku-withdraw laki 5 nikaenda dukani kuwanunuliwa wazazi wangu smart tv nikawapelekea zawadi, na yule slay queen hajaiona sura yangu tena mpaka leo
🤣🤣🤣 Ameshasahau,nadhani aliumizwa sanaBrain is not braining anymore 😂😂
Sasa, naomba uishi maisha yako, kufanya umalaya hukomoi mtu,wajikomoa wewe ndugu,utapata magonjwa uache mtoto akipata tabuMwanangu niliingia mazima kwa akili ya Biashara nikaiweka ktk Mapenzi... Nilipoteza
We nawe da kiboga peleka uchokoo wako huko..!! Umeona wewe beki hazikabi unaombea na wenzio poyeeee.!! Pyeeeeee hilo kubwa jinga 😹😹🤣Umedhihirisha ulivyo kibuyu.Ipo siku watakutawanya nyaa.Endelea kujisifu ujinga.
Mnakufaga vibaya nyie.Endelea na huo utapeli utakutana na mamafia watakuMasogange👋
Ameandika maumivu aliyopitia kumpenda demu mwenye watoto watatu asiye na shukurani kwa wema aliomfanyia na aliopanga kumfanyia zaidi.sijakuelewa ulichoandika mkuu
Haaaaa, ndugu usidharau mtu usie mjua, Mimi nyumba yangu ya kwanza kujenga Nimejenga nikiwai na Miaka 22. brooo. Naamini ktk Biashara mkuu.( Sijawai kuajiriwa hata siku Moja)Wewe unalala na kula kwa shemeji yako.kisha unakuja andika upuuzi eti ukamjengea. Unaota?hujielewi unakuja na pigo za kishamba sana. Nenda kamfulie shemejiyo boxers zake.
Mithali 31:Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.
Asante ndugu kwa somo zuri na Lenye kujenga, nimejifunza kupitia Mimi na nimeelimika ktk ufahamu Wangu, nilikua naamini utapeli uko kwenye Biashara tu ila utapeli uko Kila Sehemu.Mithali 31:
1 Maneno ya mfalme Lemueli - mausia aliyofundishwa na mama yake.
2 Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3 Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
Anhaa hapo sawa jamaa kazingua sanaAmeandika maumivu aliyopitia kumpenda demu mwenye watoto watatu asiye na shukurani kwa wema aliomfanyia na aliopanga kumfanyia zaidi.
Lengo ilikua kumuoa, ila nikitaka kuandaa baadhi ya mambo kwanza ila ndugu hata wewe kama ni Mwanaume hata siku Moja usije Fanya Ujinga nilioufanya mmUlikua untk kumuoa au ulikua unatafuta nn? Utakua umepatwa na balaa kubwa ni vile tu hujamalizia stori
Alisahau kuandika notes.Natafuta Ajira kuna mwanafunzi wako huku yamemkuta tena
Nashukuru kwa ushauri, huo ujinga kweli sitoufanya kamweLengo ilikua kumuoa, ila nikitaka kuandaa baadhi ya mambo kwanza ila ndugu hata wewe kama ni Mwanaume hata siku Moja usije Fanya Ujinga nilioufanya mm
Ndiyo umeshituka sasa? Usimuonee huruma mwanamke. Pesa, mali yako na kuwa unamjali siyo vigezo vya kumfanya mwanamke akupende.2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.
Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.
Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda
Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.
Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Waliomzalisha wakamuacha, hawakuwa wajinga. Sasa wewe ukajifanya baba huruma😀😀😀😀100%