Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Halafu ukiwasanua wanajitetea sijui ni wema wanasaidia kama binadamu wengine.

Mtu analipia ada mtoto wa single maza wakati watoto wa ndugu zake kibao hawajalipiwa ada.

Mtu ana-sponser extravaganza life ya slay queen wakati wazazi wake wanaishi maisha ya dhiki. Halafu bila aibu anasema anafanya wema tu. A simp is a shame to his friends, parents and ancestors.

kuna slay queen mmoja baada ya kumchakata mara kadhaa akaniambia nimpangishie nyumba. Nikamwambia nipe bajeti kaniletea bajeti ya laki 5, nikaenda ku-withdraw laki 5 nikaenda dukani kuwanunuliwa wazazi wangu smart tv nikawapelekea zawadi, na yule slay queen hajaiona sura yangu tena mpaka leo
Good Point kaka, Maana Hivi Viumbe havina shukrani, kiukweli kutoka kwa Mungu nafsi yangu Imekua chafu kwa Hawa Viumbe,
ukijaa nakuchapa na unapita kule Sina time na ww, na kama kukusaidia labda nikununulie Chips+ Kuku( Chakula tu ambayo utakua ni mlo wa siku, mwendo wa kula uliwe.imeishaaa hiyoooo
 
Mwanangu niliingia mazima kwa akili ya Biashara nikaiweka ktk Mapenzi... Nilipoteza
Sasa, naomba uishi maisha yako, kufanya umalaya hukomoi mtu,wajikomoa wewe ndugu,utapata magonjwa uache mtoto akipata tabu
 
Umedhihirisha ulivyo kibuyu.Ipo siku watakutawanya nyaa.Endelea kujisifu ujinga.

Mnakufaga vibaya nyie.Endelea na huo utapeli utakutana na mamafia watakuMasogange👋
We nawe da kiboga peleka uchokoo wako huko..!! Umeona wewe beki hazikabi unaombea na wenzio poyeeee.!! Pyeeeeee hilo kubwa jinga 😹😹🤣
 
Wewe unalala na kula kwa shemeji yako.kisha unakuja andika upuuzi eti ukamjengea. Unaota?hujielewi unakuja na pigo za kishamba sana. Nenda kamfulie shemejiyo boxers zake.
Haaaaa, ndugu usidharau mtu usie mjua, Mimi nyumba yangu ya kwanza kujenga Nimejenga nikiwai na Miaka 22. brooo. Naamini ktk Biashara mkuu.( Sijawai kuajiriwa hata siku Moja)
 
Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.
Mithali 31:
1 Maneno ya mfalme Lemueli - mausia aliyofundishwa na mama yake.
2 Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3 Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
 
Mithali 31:
1 Maneno ya mfalme Lemueli - mausia aliyofundishwa na mama yake.
2 Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3 Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
Asante ndugu kwa somo zuri na Lenye kujenga, nimejifunza kupitia Mimi na nimeelimika ktk ufahamu Wangu, nilikua naamini utapeli uko kwenye Biashara tu ila utapeli uko Kila Sehemu.
 
Ulikua untk kumuoa au ulikua unatafuta nn? Utakua umepatwa na balaa kubwa ni vile tu hujamalizia stori
 
Ulikua untk kumuoa au ulikua unatafuta nn? Utakua umepatwa na balaa kubwa ni vile tu hujamalizia stori
Lengo ilikua kumuoa, ila nikitaka kuandaa baadhi ya mambo kwanza ila ndugu hata wewe kama ni Mwanaume hata siku Moja usije Fanya Ujinga nilioufanya mm
 
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3.

Msela nikazama hivyo hivyo, nikawekeza pesa chap lengo kumjengea Dem atoke nyumba ya kupanga aje akae katika hiyo nyumba nikafanikisha, January 2025.

Lengo la la pili nilikua nataka nimpe msingi wa Biashara, ni msaporort Kwenye Biashara yake.
Niliyafanya Yote hayo kwa kutaka KUMUAMINISHA kua na nampenda

Ila kitu nimejifunza na kuelewa kwenye haya Maisha usimfanyie Jambo la malengo Mwanamke, na ni watu wasio na shukrani, Yaani katika Haya Maisha USITUMIE Mali yako, au Pesa yako kuwekeza kwa mwanamke.

Usiwekeze kwa mwanamke, malipo yake utajuta.
Ndiyo umeshituka sasa? Usimuonee huruma mwanamke. Pesa, mali yako na kuwa unamjali siyo vigezo vya kumfanya mwanamke akupende.
Kama siyo ndugu yako, muache apambane na maisha. Wewe kula mbususu pita hivi, wajinga watajazia hapo
 
Back
Top Bottom