"Usiwe na Haki kupita kiasi" Ina maana gani?

"Usiwe na Haki kupita kiasi" Ina maana gani?

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
Wakuu,

Hayo maneno niliyoweka hapo juu yanapatika kwenye Bibilia takatifu kitabu cha Mhubiri.

Mhu 7:16 SUV
Usiwe na haki kupita kiasi; Wala usijiongezee hekima mno; Kwani kujiangamiza mwenyewe?

Nini hasa maana yake?Je usipende kudai haki zako kupita kiasi ama usipende kutoa haki kupita kiasi?

Wataalamu wa maandiko ya Bibilia naombeni Majibu yenu.
Ahsante.
 
Usiwe na haki kupitiliza maana yake jaza ujazwe.. hapo hapo
 
Wakuu,

Hayo maneno niliyoweka hapo juu yanapatika kwenye Bibilia takatifu kitabu cha Mhubiri...
Jibu la swali lako linapatikana katika Mhubiri 7:15-21 kwamba:-
Mtu mwadilifu hufa ingawa ni mwadilifu, ambapo mtu mwovu huendelea kuishi maisha marefu ingawa ni mwovu.

16 Basii, usiwe mwadilifu sana, wala usiwe mwenye hekima mno! Ya nini kujiangamiza wewe mwenyewe?

17 Lakinii pia, usiwe mwovu sana wala usiwe mpumbavu! Ya nini kufa kabla ya wakati wako?

18 Inakupasa ushike la kwanza na la pili pia; maana anayemtii Mungu atajengwa kwayo.

19 Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

20 Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi.

21 Usitie maanani maneno yote wasemayo wanadamu, usije ukamsikia mtumishi wako akikutukana. 22Wewe mwenyewe wajua moyoni kwamba umeapiza wengine mara nyingi.
 
Haki nyingine huhusisha kutoa, sasa ukizidisha kiasi unaeza kujitoa na wewe mwenyewe wakati Kristo alishaitoa nafsi yake kwa ajili yako:
 
Jibu la swali lako linapatikana katika Mhubiri 7:15-21 kwamba:-
Mtu mwadilifu hufa ingawa ni mwadilifu, ambapo mtu mwovu huendelea kuishi maisha marefu ingawa ni mwovu.

16 Basii, usiwe mwadilifu sana, wala usiwe mwenye hekima mno! Ya nini kujiangamiza wewe mwenyewe?

17 Lakinii pia, usiwe mwovu sana wala usiwe mpumbavu! Ya nini kufa kabla ya wakati wako?

18 Inakupasa ushike la kwanza na la pili pia; maana anayemtii Mungu atajengwa kwayo.

19 Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

20 Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi.

21 Usitie maanani maneno yote wasemayo wanadamu, usije ukamsikia mtumishi wako akikutukana. 22Wewe mwenyewe wajua moyoni kwamba umeapiza wengine mara nyingi.
Hapa umezidi kunichanganya zadi labda ungetoa maelezo yako kwa jinsi ulivyoelewa wewe
 
Haki nyingine huhusisha kutoa, sasa ukizidisha kiasi unaeza kujitoa na wewe mwenyewe wakati Kristo alishaitoa nafsi yake kwa ajili yako:
OK nashukuru kwa maelezo yako
 
Kuzila ni uzembe! Inatakiwa uziweke kwenye mpango wa maendeleo yako.

Bahati haiji mara mbili
Ok ,tuchukulie umeokota simu labda smartphone sio pesa je unapaswa kumrudishia mwenyewe au unatoa line unaendelea kuitumia?
 
Ok ,tuchukulie umeokota simu labda smartphone sio pesa je unapaswa kumrudishia mwenyewe au unatoa line unaendelea kuitumia?
Hapo kuna hatari! Acha kabisa usiguse maana huwezi jua labda majambazi walipora vitu vingine ukaja kuunganishwa navyo
 
Back
Top Bottom