"Usiwe na Haki kupita kiasi" Ina maana gani?

"Usiwe na Haki kupita kiasi" Ina maana gani?

Maana yake:- Usiwe mwema kupita kiasi wala usijifanyie hekima kwa kila kitu kwani Hekima na wema mwingi huumiza nafsi na kugonjeka hasa kuvunjwa moyo!!Ndio maana Yesu alisema hivi:-Acha wafu wazike wafu wao na Maskini wenye shida tunao siku zote hadi mwisho wa dunia KWA HIYO HATA TUFANYAJE HATUWEZI TATUA MATATIZO YOTE YA WATU MAISHANI!!!HUO NDIO UKWELI WA DHAHIRI!!
 
Jibu ni UWE MTU WA KIASI
KIASI
KIASI
KIASI
NORMAL
MEDIUM
 
Maana yake:- Usiwe mwema kupita kiasi wala usijifanyie hekima kwa kila kitu kwani Hekima na wema mwingi huumiza nafsi na kugonjeka hasa kuvunjwa moyo!!Ndio maana Yesu alisema hivi:-Acha wafu wazike wafu wao na Maskini wenye shida tunao siku zote hadi mwisho wa dunia KWA HIYO HATA TUFANYAJE HATUWEZI TATUA MATATIZO YOTE YA WATU MAISHANI!!!HUO NDIO UKWELI WA DHAHIRI!!
Sawa,nashukuru kwa mawazo yako,
 
Back
Top Bottom