princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Itakua vyema piaUnazidi kunipa maswali mengi ambayo hutaweza kuyajibu.
Almuhimu ngoja nikawaulize wenye kujua.
Shukrani.Itakua vyema pia
Ndio.Sikujua aise,kwahio ili nipate access inabidi niwaombe waniunge?maana mwanzo lilikuwa open tu
Sawa,nashukuru kwa mawazo yako,Maana yake:- Usiwe mwema kupita kiasi wala usijifanyie hekima kwa kila kitu kwani Hekima na wema mwingi huumiza nafsi na kugonjeka hasa kuvunjwa moyo!!Ndio maana Yesu alisema hivi:-Acha wafu wazike wafu wao na Maskini wenye shida tunao siku zote hadi mwisho wa dunia KWA HIYO HATA TUFANYAJE HATUWEZI TATUA MATATIZO YOTE YA WATU MAISHANI!!!HUO NDIO UKWELI WA DHAHIRI!!
Angalia watu wote waliohubiri haki,amani,wokovu nk waliishia wapi mfano Yesu,Muhammad na wengine wengi.Duniani hakuna haki kivipi?