Usiwe na mahusiano ya kudumu(malengo) na mwanamke mlevi (cha pombe) utanishukuru baadae

Usiwe na mahusiano ya kudumu(malengo) na mwanamke mlevi (cha pombe) utanishukuru baadae

Niwe makini na nini,
Single mother wana laana na wanawakuza watoto katika malezi mabaya sana, aslimia 99 ya sinlge mother watoto wao wana tabia za ajabu na baadhi ya watoto wameshashuhudia mama zao wakifanya mapenzi.
🤣🤣🤣
 
Bibi mmoja anapenda sana bia. Ni hawa ambao umri ni mkubwa sio kitoto. Basi nami nikawa nampa moja moja tumezoeana sana. Kiuhalisia ni wale wabibi ambao anatakiwa atulie asogeze umri.

Sasa bana mazoea na ukaribu huu siku moja akanikuta anapata nae moja moja, si nikamtongoza...japo akili zilienea ..nikajiuliza hapa ninsalama kweli, siku zikapita, akili ikaendelea kuniambia acha ujinga, uache vitoto vya 2000 uhangaike na mtu hata humjui, nikatuliza boli.

Nikiwa bar bar maid asilimia 100 ni hela yako tu.

Pombe mwezi huu itatusamehe
 
Bibi mmoja anapenda sana bia. Ni hawa ambao umri ni mkubwa sio kitoto. Basi nami nikawa nampa moja moja tumezoeana sana. Kiuhalisia ni wale wabibi ambao anatakiwa atulie asogeze umri.

Sasa bana mazoea na ukaribu huu siku moja akanikuta anapata nae moja moja, si nikamtongoza...japo akili zilienea ..nikajiuliza hapa ninsalama kweli, siku zikapita, akili ikaendelea kuniambia acha ujinga, uache vitoto vya 2000 uhangaike na mtu hata humjui, nikatuliza boli.

Nikiwa bar bar maid asilimia 100 ni hela yako tu.

Pombe mwezi huu itatusamehe
Hahaha
 
Mimi hata selewii mnacho koment Ila wake zenu wanakunywa pombe vibaya mno!!! Hapa mnajitia tuu unafiki
Hakuna lolote ni judgemental behaviours to zinasumbua. Utakuta mtu amemuona mwanamke mmoja tu anakunywa pombe na kufanya mambo ya hovyo. Mtu anajumuisha wooote.
Wangapi hawatoki ndani kwao na wanatembea na wafanyakazi wao wa ndani???
 
Kaka mimi sitaki pombe hata kidogo
Mimi pia sitaki pombe ni mbaya hasa hasa ikikutawala.

Kuna brother mmoja DACTARI alikua mpaka anatetemeka Ila akinywa ndio anakaa SAWA.

Mimi nakunywa kiasi Ila sio mlevi for recreational purposes Mara moja moja Tena jioni baada ya kazi.

NB.
Kama hujawai kutumia kilevi chochote Basi huyo mtu haijawai KUISHI.
 
Sija elewa kuishi kivipi?, ko pombe ndio reference ya kuishi?
Sijasema pombe ndio reference ya KUISHI.
Nimesema kilevi vipo vingi "" Kama mtu haijawai kutumia kilevi chochote Basi huyo mtu hajawai KUISHI."

Kuna Bangi, sigara,pombe,ugolo, wanawake e.t.c

Nae andika hapa ni MLOKOLE nasali kanisa la walokole nimeokoka na nampenda YESU 😊😅
 
Hakuna lolote ni judgemental behaviours to zinasumbua. Utakuta mtu amemuona mwanamke mmoja tu anakunywa pombe na kufanya mambo ya hovyo. Mtu anajumuisha wooote.
Wangapi hawatoki ndani kwao na wanatembea na wafanyakazi wao wa ndani???
Sahihi kabisa
 
Nawasogezea tu wakuu


Screenshot_20250305-230452~2.png
 
Mimi pia sitaki pombe ni mbaya hasa hasa ikikutawala.

Kuna brother mmoja DACTARI alikua mpaka anatetemeka Ila akinywa ndio anakaa SAWA.

Mimi nakunywa kiasi Ila sio mlevi for recreational purposes Mara moja moja Tena jioni baada ya kazi.

NB.
Kama hujawai kutumia kilevi chochote Basi huyo mtu haijawai KUISHI.
Sio kila wanywa pombe wanapenda... wengine ni kupunguza mawazo tu.
 
Back
Top Bottom