Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaBibi mmoja anapenda sana bia. Ni hawa ambao umri ni mkubwa sio kitoto. Basi nami nikawa nampa moja moja tumezoeana sana. Kiuhalisia ni wale wabibi ambao anatakiwa atulie asogeze umri.
Sasa bana mazoea na ukaribu huu siku moja akanikuta anapata nae moja moja, si nikamtongoza...japo akili zilienea ..nikajiuliza hapa ninsalama kweli, siku zikapita, akili ikaendelea kuniambia acha ujinga, uache vitoto vya 2000 uhangaike na mtu hata humjui, nikatuliza boli.
Nikiwa bar bar maid asilimia 100 ni hela yako tu.
Pombe mwezi huu itatusamehe
Hakuna lolote ni judgemental behaviours to zinasumbua. Utakuta mtu amemuona mwanamke mmoja tu anakunywa pombe na kufanya mambo ya hovyo. Mtu anajumuisha wooote.Mimi hata selewii mnacho koment Ila wake zenu wanakunywa pombe vibaya mno!!! Hapa mnajitia tuu unafiki
Kuna mlevi na mnywaji..ukinywa kidogo na hu abuse alcohol ukijua alcohol persistence yako haina shida for years pombe haijawai kuwa tatizo / tatizo ni mtu mwenye.Hata awe malaika, ila mlevi big nope
Hasa kuoa mwanamke mnywa pombe.Inafikilisha🤔
Kaka mimi sitaki pombe hata kidogoKuna mlevi na mnywaji..ukinywa kidogo na hu abuse alcohol ukijua alcohol persistence yako haina shida for years pombe haijawai kuwa tatizo / tatizo ni mtu mwenye.
Mimi pia sitaki pombe ni mbaya hasa hasa ikikutawala.Kaka mimi sitaki pombe hata kidogo
Sija elewa kuishi kivipi?, ko pombe ndio reference ya kuishi?NB.
Kama hujawai kutumia kilevi chochote Basi huyo mtu haijawai KUISHI.
Sijasema pombe ndio reference ya KUISHI.Sija elewa kuishi kivipi?, ko pombe ndio reference ya kuishi?
Sahihi kabisaHakuna lolote ni judgemental behaviours to zinasumbua. Utakuta mtu amemuona mwanamke mmoja tu anakunywa pombe na kufanya mambo ya hovyo. Mtu anajumuisha wooote.
Wangapi hawatoki ndani kwao na wanatembea na wafanyakazi wao wa ndani???
😹😹😹Nakunywa gongo mimi
Sio kila wanywa pombe wanapenda... wengine ni kupunguza mawazo tu.Mimi pia sitaki pombe ni mbaya hasa hasa ikikutawala.
Kuna brother mmoja DACTARI alikua mpaka anatetemeka Ila akinywa ndio anakaa SAWA.
Mimi nakunywa kiasi Ila sio mlevi for recreational purposes Mara moja moja Tena jioni baada ya kazi.
NB.
Kama hujawai kutumia kilevi chochote Basi huyo mtu haijawai KUISHI.