Usiwekeze hisia zako kwa mwanamke

Usiwekeze hisia zako kwa mwanamke

Kutwa kulalamikia wanawake..halafu wanaume mnaolalamikia wanawake na wale wa kataa ndoa wengi wenu hamnywi pombe ndo maana mna roho flani ya kibinafsi sana




Kwa mfano mimi hapa nina mwanamke mzuri huyo na kila siku nalala naye tunakula pamoja na nikipata kijihela changu naenda kunywa bia na enjoy mke yupo nyumbani naanzaje kwanza kuanza kutesa kichwa mara sijui nisiwekeze hisia mara sijui nisipende...maisha yenyewe magumu sina pesa kihivo kwanini niwe na wasiwasi kwamba nitapigwa nitapigiwa nini kwamba hii laki au miliion..
Evelyn Salt

To yeye
 
Kutwa kulalamikia wanawake..halafu wanaume mnaolalamikia wanawake na wale wa kataa ndoa wengi wenu hamnywi pombe ndo maana mna roho flani ya kibinafsi sana




Kwa mfano mimi hapa nina mwanamke mzuri huyo na kila siku nalala naye tunakula pamoja na nikipata kijihela changu naenda kunywa bia na enjoy mke yupo nyumbani naanzaje kwanza kuanza kutesa kichwa mara sijui nisiwekeze hisia mara sijui nisipende...maisha yenyewe magumu sina pesa kihivo kwanini niwe na wasiwasi kwamba nitapigwa nitapigiwa nini kwamba hii laki au miliion..
Evelyn Salt

To yeye
Asipokuelewa,baaasiii....😉
 
‘’usiwekeze hisia zako kwa mwanamke

Jambo la kwanza …kichwa cha habari hakisemi usimpende mwanamke . KInasema usiwekeze hisia zako kwa mwanamke .

Njia pekee ambayo unaweza kutapeliwa kihisia ni kupitia kuwekeza hisia zako mwenyewe kwa mwanamke na wana wake wana mbinu na sifa za kutapeli kihisia.

Unapowekeza hisia zako kwa mwanamke ,ina maaanisha kwamba….

Umempa mamlaka ya kuongoza maisha yako. Ikiwa mamalaka ya maisha yako yapo mikononi mwa mwanamke you will get burnt , na hapo ndio utapoteza Amani yako.

Sikia wewe simp👂

Elewa kwamba wanawake hawana uwezo wa kumudu mamlaka na uongozi ( jamii inajua hili , hata wanasiasa wana jua hili , hata walio andika maandiko ya dini wana jua hili.. ok tusiende mbali sana katika hili)
Kwa hio unapowekeza mda na hisia zako kwa mwanamke 👇👇
-Endapo mwanamke wako asipokupigia simu-utajisikia vibaya hata aka kucheat ndio kabisa utahisi kufa. Akionesha upendo kwa mtu mwingine utafeel insecure, hata akibadilisha tabia na mtazamo juu yako utakosa Amani.

Andiko hili halina maana ya kukufanya uogope wanawake na kutowapenda ,isipokuwa kukufahamisha namna unavoweza kuharibu maisha yako endapo utakabidhi hisia zako kwa mwanamke na kumpa Uongozi wa maisha yako.

Elewa kwamba watu wana badilika na mara nyingi ni ngumu kumrudisha mtu katika hali ya awali ,kwa hiyo kama kuna mtu ambaye inabidi atawale hisia zako basi huyo mtu ni WEWE. Na ndio maana ukiwekeza hisia zako kwa mwanamke UTAADHIBIWA kwa hilo mara zote.
Maisha ya mwanaume magumu sana ,usifanye kua magumu Zaidi kwa kuwekeza HISIA ZAKO KWA MWANAMKE WAKO .mpende ,mjali kama malkia kama unataka. LAKINI NEVER GET EMOTIONALLY ATTACHED TO HER NEVER!
Mwanaume unatakiwa uwe na hisia tuu za kusimamisha kichwa cha chini pindi uonapo utamu uko karibu na wewe. Tofauti na hapo tumia akili za kichwa cha juu na siyo vinginevyo. Hawa viumbe ni majoka makubwa sana
 
SImp at his peak
Me kingereza chako hiko sikielewi..
Point inabaki kuwa kutwa kukalamikia wanawake...me mbona nimekaa na wanawake sijaona shida yoyote ..tatizo lenu hamnywi pombe

mara nyingi sisi wanywaji huwa tumeamua kubeba vyote

Lawama
Hasara
Kupoteza vitu
Kupenda furaha
Kupenda watu
Kupenda marafiki
Kupenda vibe
Kupenda comedy
Kupenda vinywaji
Kupenda wauzaji
Kupenda maskini
SO YAANI UKIWA MTU WA UPENDO AKIYAMUNGU HUWEZI KUONA SHIDA ZA WATU SANA KWA KUWA NA SISI TUNAKOSEA TUNAUMIZA BAADHI KWA ULEVI WETU NDO MAANA KWA KUWA TUNAJUA TUNASAMEHEWA HATA SISI TUNASAMEHE
 
😳🤣🤣 Sawasawa 🤒
huo ndio ukweli, mwanaume hana hisia ndio maana anaweza kulala na wanawake watatu kwa siku kwa sababu mihemko na tamaa vinamuongoza, ila akitumia akili atadhibiti mihemko na kutulia na mmoja
 
huo ndio ukweli, mwanaume hana hisia ndio maana anaweza kulala na wanawake watatu kwa siku kwa sababu mihemko na tamaa vinamuongoza, ila akitumia akili atadhibiti mihemko na kutulia na mmoja
Ni kweli
 
Back
Top Bottom