Umeonyesha ulivyo mbumbumbu wa mapenzi,akili na hekima.ushachelewa mkuu tumeshawekeza kwao na tumetumbukia tumezama hatutoki na tunawapenda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonyesha ulivyo mbumbumbu wa mapenzi,akili na hekima.ushachelewa mkuu tumeshawekeza kwao na tumetumbukia tumezama hatutoki na tunawapenda!
📌Huna akili!!!Kutwa kulalamikia wanawake..halafu wanaume mnaolalamikia wanawake na wale wa kataa ndoa wengi wenu hamnywi pombe ndo maana mna roho flani ya kibinafsi sana
Kwa mfano mimi hapa nina mwanamke mzuri huyo na kila siku nalala naye tunakula pamoja na nikipata kijihela changu naenda kunywa bia na enjoy mke yupo nyumbani naanzaje kwanza kuanza kutesa kichwa mara sijui nisiwekeze hisia mara sijui nisipende...maisha yenyewe magumu sina pesa kihivo kwanini niwe na wasiwasi kwamba nitapigwa nitapigiwa nini kwamba hii laki au miliion..
Evelyn Salt
To yeye
Tumekufanya nini...Usiwekeze hisia zako kwa mwanaume...kabisa yaan
Wala,ni vile tu kilamtu athamini amani ya moyo wake mkuuTumekufanya nini...
Sipendi amani kabisa...Wala,ni vile tu kilamtu athamini amani ya moyo wake mkuu
🤣🤣Hapa umefika, maana mi ndo sipendi amani hata kidogo🤒Sipendi amani kabisa...
Leta muongozo wa namna ya kuwezeka hisia kwenye moyo wako....Wala,ni vile tu kilamtu athamini amani ya moyo wake mkuu
Mimi nakuvurga kimya kimya, wewe unavurugika kwa kelele nyingi sana...🤣🤣Hapa umefika, maana mi ndo sipendi amani hata kidogo🤒
😔 Hakika safari hii sitokubali nivurugike...Tulia tuMimi nakuvurga kimya kimya, wewe unavurugika kwa kelele nyingi sana...
Safari hii? Safari zilizopita zipoje??😔 Hakika safari hii sitokubali nivurugike...Tulia tu
😔Safari hii? Safari zilizopita zipoje??