Usiwekeze hisia zako kwa mwanamke

Kutwa kulalamikia wanawake..halafu wanaume mnaolalamikia wanawake na wale wa kataa ndoa wengi wenu hamnywi pombe ndo maana mna roho flani ya kibinafsi sana




Kwa mfano mimi hapa nina mwanamke mzuri huyo na kila siku nalala naye tunakula pamoja na nikipata kijihela changu naenda kunywa bia na enjoy mke yupo nyumbani naanzaje kwanza kuanza kutesa kichwa mara sijui nisiwekeze hisia mara sijui nisipende...maisha yenyewe magumu sina pesa kihivo kwanini niwe na wasiwasi kwamba nitapigwa nitapigiwa nini kwamba hii laki au miliion..
Evelyn Salt

To yeye
 
Asipokuelewa,baaasiii....πŸ˜‰
 
Mwanaume unatakiwa uwe na hisia tuu za kusimamisha kichwa cha chini pindi uonapo utamu uko karibu na wewe. Tofauti na hapo tumia akili za kichwa cha juu na siyo vinginevyo. Hawa viumbe ni majoka makubwa sana
 
SImp at his peak
Me kingereza chako hiko sikielewi..
Point inabaki kuwa kutwa kukalamikia wanawake...me mbona nimekaa na wanawake sijaona shida yoyote ..tatizo lenu hamnywi pombe

mara nyingi sisi wanywaji huwa tumeamua kubeba vyote

Lawama
Hasara
Kupoteza vitu
Kupenda furaha
Kupenda watu
Kupenda marafiki
Kupenda vibe
Kupenda comedy
Kupenda vinywaji
Kupenda wauzaji
Kupenda maskini
SO YAANI UKIWA MTU WA UPENDO AKIYAMUNGU HUWEZI KUONA SHIDA ZA WATU SANA KWA KUWA NA SISI TUNAKOSEA TUNAUMIZA BAADHI KWA ULEVI WETU NDO MAANA KWA KUWA TUNAJUA TUNASAMEHEWA HATA SISI TUNASAMEHE
 
Kilichobaki tuoane kwa mikataba tu sasa.
 
😳🀣🀣 Sawasawa πŸ€’
huo ndio ukweli, mwanaume hana hisia ndio maana anaweza kulala na wanawake watatu kwa siku kwa sababu mihemko na tamaa vinamuongoza, ila akitumia akili atadhibiti mihemko na kutulia na mmoja
 
huo ndio ukweli, mwanaume hana hisia ndio maana anaweza kulala na wanawake watatu kwa siku kwa sababu mihemko na tamaa vinamuongoza, ila akitumia akili atadhibiti mihemko na kutulia na mmoja
Ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…