Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
-
- #81
Huo mjadala mpana mzee baba, sio sahihi kurusha lawama kwa wanaume tu.jamaa kwani hujui watoto wa mtaani chanzo ni baba zao? kwani hujui kama wengine wanakusanya hela na kuwapelekea mama zao
Invest at your own risk.Mm nashauri wekeza, muhimu ni kichwa tu ya huyo mwanamke
inategemeana na ntu na ntu mkuuuKama bado hujaoa lazima uwe na hayo mawazo. mwanamke ni mwanamke tu hata akiolewa. mwanamke ni mbinafsi iwe kwa mumewe hadi watoto.
Mzee Baba hapa mwanaume hana pa kukwepea, wengi wanasababisha mimba na kuingia mitiniHuo mjadala mpana mzee baba, sio sahihi kurusha lawama kwa wanaume tu.
✊🏾productive, virginity, submissive.
Tapeli kaziniPokea maua Yako,
Hongera Kwa kulijua hili,
Uzi ufutwe tu, hili ndio jibu
Nina mshkaji wangu ameachiwa mtoto na mwanamke aliezaa nae, uyo mwanamke alienda kuolewa na mwanaume mwingine kwa sasa ana kazi nzuri tu na hachangii chochote kuhusu malezi ya mtoto, hata kupiga simu kumjulia hali binti yake hakuna.Mzee Baba hapa mwanaume hana pa kukwepea, wengi wanasababisha mimba na kuingia mitini
Katika kizazi tunachoishi kwa sasa ni muhimu sana kwa mwanaume kuwa na uwezo wa kudhibiti hisia, sometimes sio rahisi mpaka ukipigwa matukio mawili matatu, yote kwa yote mwanaume kudhibiti hisia ni muhimu sana, sana sana katika nyakati hizi tunazoishi kwa sababu wanawake wamejanjaluka na kugundua mifumo ya kijamii na sheria za ndoa na mahusiano zina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati wanaweza kupata utajiri/pesa kirahisi kutoka kwa mwanaume.Swali moja kuu ni hivi.... Kati Emotions na Logic kipi huwa kinashinda? Ukiweza kujibu hili swali kwa usahihi basi uko karibu kujua ni kwanini most men wanafeli hapa
Unachokisema ni kweli kabisa lkn unadhani why wanaume wengi wamekuwa wakifeli hapo despite wengine kuwa wazito kabisa na usioweza tegemea kuendeshwa na mambo hayo?Katika kizazi tunachoishi kwa sasa ni muhimu sana kwa mwanaume kuwa na uwezo wa kudhibiti hisia, sometimes sio rahisi mpaka ukipigwa matukio mawili matatu, yote kwa yote mwanaume kudhibiti hisia ni muhimu sana, sana sana katika nyakati hizi tunazoishi kwa sababu wanawake wamejanjaluka na kugundua mifumo ya kijamii na sheria za ndoa na mahusiano zina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati wanaweza kupata utajiri/pesa kirahisi kutoka kwa mwanaume.
Nimeipenda hiiMkishatendwa na tudemu twenu na utotoni basi mnakuja kujifanya watafiti wa masuala ya mapenzi na suluhu ni kutowahudumia wanawake .oooops .
Nitaendelea kuwahonga niwezavyo kikubwa napata haja zangu ,hayo mengine ya kutendwa nishayazoea na nimejifunza hata kwa Kaka Samson kwenye kitabu Cha wakristu
ni kwa sababu wanaume walio wengi wanaingia kwenye mahusiano wakiwa hawajui wanataka nini kutoka kwa mwanamke, mara nyingi msukumo wao unakua ni nyege na kuogopa kuwa single.Unachokisema ni kweli kabisa lkn unadhani why wanaume wengi wamekuwa wakifeli hapo despite wengine kuwa wazito kabisa na usioweza tegemea kuendeshwa na mambo hayo?
Bado hujasemaKitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.
Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.
Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.
Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.
Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.
I love you, i love you my brother.
Biblia imesema tuwapende wake zetuKitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.
Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.
Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.
Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.
Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.
I love you, i love you my brother.
Wanawake hawaridhiki hata na uumbaji wa Mungu, wanajichubua na kuweka tako la bandia, ndo utawaridhisha wewe?Pesa ya mwanaume haina thamani kwa mwanamke, hapo si ajabu yeye hajawahi kumpa boyfriend hata iyo buku ya vocha, na hii ni ishara kwamba mwanamke haridhiki, hakuna ambacho utamfanyia mwanamke kikamtosheleza kiasi kwamba hatahitaji umfanye zaidi
Kwahiyo kwasababu huna uhakika bora watoto waje kuteseka? Ni afadhali usioe Wala kuzaa kama huna uhakika kama utapata watotoMwisho wa siku unakuja kugundua watoto wenyewe sio wako,endelea kuwaamini hao viumbe.
Wewe mbona hujatupwa chooni upo hapa unawatukana wanawake wakati wamekulea mpaka hapa ulipo? Au nawewe ulitupwa ukaopolewa huko?Ke wanaotupa Watoto chooni ni wa sayari gani?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
jamaa anaongelea mchumba sio mkemimi nitawekeza kwa mke wangu, hata kama sitafaidi mimi kwa sababu labda kwa mabadiliko hayo uliyoyasema bado watoto wangu watafaidi mwanamke hawez kuwatupa watoto wake tofauti na mwanaume
Uchumba ndiyo mwanzo wa kuwa mke,jamaa anaongelea mchumba sio mke
Jitu lina watto WA 4 lidai talaka tu Aisee kma ni hvyoUchumba ndiyo mwanzo wa kuwa mke,