Usiwekeze kwa mwanamke

Usiwekeze kwa mwanamke

Hapo Kuna vitu viwili bro kama ni mke wa ndoa unashindwaje kuwekeza kwake na hakuna ajuaye kesho huo wasiwasi wa kutokuwekeza kwake unatoka wapi ukiwa na fikra za namna hiyo ni rahisi kufa na magonjwa ya moyo sasa kama utashindwa kuwekeza kwa mke wako wa ndoa unataka ukawekeze wapi

Kama sio mke wako wa ndoa ni mtu ambaye upo naye tu kwenye mahusiano hapo uko sahihi kutokuwekeza asilimia 100%
Hata uyo mke wa ndoa usijisahau ukawekeza kwake na kujisahau wewe mwenyewe.
 
Kitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.

Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.

Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.

Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.

Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.

I love you, i love you my brother.
Kuna mtu huko Arusha kavunja Nyumba aliyojenga yeye mwenyewe
 
Hupaswi kufanya kama yeye ila badilisha mind set yako na uache kuhukumu ki stereo type (hukumu za ujumla) wanawake wema wapo! Wanaume wanaact kivulana pia wapo
Ni bora uchukue tahadhari hata usipokutana na hatari bado utakua salama kuliko kwenda kichwa kichwa halafu ukutane na hatari mbeleni
 
Ninaishi na mwanamke ambae nimemchukua kutoka kwao kwa kufuata taratibu zote rasmi lakini hatujafunga ndoa, sasa sijui kwa mtazamo wako unam-classify uyo kama mpenzi au mke.
Ni mke..mpe heshima na kumfichia madhaifu yake,siku moja utabadili maada utuambie wanawake wema wapo!
 
Ni mke..mpe heshima na kumfichia madhaifu yake,siku moja utabadili maada utuambie wanawake wema wapo!
Ninayoyaongea simtumii yeye kama rejea, ninaandika ambayo nina uzoefu nayo pamoja na yale ninayoona yanaendelea mtaani kupitia ndugu, majirani, jamaa na marafiki.
 
Ninayoyaongea simtumii yeye kama rejea, ninaandika ambayo nina uzoefu nayo pamoja na yale ninayoona yanaendelea mtaani kupitia ndugu, majirani, jamaa na marafiki.
Huoni kwamba unawapa mtazamo hasi wale ambao bado hawajaji associate na hiyo taasisi? Jinsia zote!
 
Unajisahihisha mwenyewe kijana.
Rudia kusoma ulichoandika kwenye uzi wako jambo lililopolekea mimi kudhania wewe bado ni mtoto.
Hapana nimegundua uelewa wako mdogo ndio maana imebidi Nikusaidije lakini nimeandika "kuwatupa" kwa kukusaidia tu kutupa inamaana ya kutelekeza au kuacha ndio maana mtu anaweza kumwambia rafiki yake "umenitupa siku hizi mshikaj wangu"
 
Kitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.

Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.

Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.

Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.

Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.

I love you, i love you my brother.
Mbona Mimi nimemsomeaha na hana tatizo?
 
Back
Top Bottom