Usiwekeze kwa mwanamke

Usiwekeze kwa mwanamke

Kitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.

Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.

Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.

Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.

Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.

I love you, i love you my brother.
Ukiweza kwenye migodi hairudi hiyo
 
Kuna watu wakiwa na hela mfukoni ukiwaambia haya mambo wanaona kama vile unawaonea wivu au wewe ni masikini ambae hauwezi kufanya wanayofanya wao, kumbe sometimes inakua ni kama unawalinda.
Watu waliopata vishilingi ni watu wa ajabu. Hawashauriki. Mpaka yawakute tukiwaacha na mambo yao ndio wanaanza kulalamika kwamba Dunia watu ni wabaya wakati ubaya wameanza wao.
 
Hivyo vya kuwekeza vyenyewe unavyo? Au hizo buku buku za vocha ndio unaona uwekezaji
Kwani hizo buku buku za vocha sio uwekezaji? Maana kwa comment yako umeiweka kana kwamba buku buku za vocha hazina thamani kubwa, sasa kama hizo buku buku hazina thamani, kwanini sasa wadada wengi mnatuombaga hizo buku buku za vocha? Lightysh
 
Kwani hizo buku buku za vocha sio uwekezaji? Maana kwa comment yako umeiweka kana kwamba buku buku za vocha hazina thamani kubwa, sasa kama hizo buku buku hazina thamani, kwanini sasa wadada wengi mnatuombaga hizo buku buku za vocha? Lightysh
Pesa ya mwanaume haina thamani kwa mwanamke, hapo si ajabu yeye hajawahi kumpa boyfriend hata iyo buku ya vocha, na hii ni ishara kwamba mwanamke haridhiki, hakuna ambacho utamfanyia mwanamke kikamtosheleza kiasi kwamba hatahitaji umfanye zaidi
 
Pesa ya mwanaume haina thamani kwa mwanamke, hapo si ajabu yeye hajawahi kumpa boyfriend hata iyo buku ya vocha, na hii ni ishara kwamba mwanamke haridhiki, hakuna ambacho utamfanyia mwanamke kikamtosheleza kiasi kwamba hatahitaji umfanye zaidi
Aisee Majibu tunayapata hapa hapa.

Yeye hajawahi **** mwenzi hiyo buku lakini anasema Bubu buku tu
 
mimi nitawekeza kwa mke wangu, hata kama sitafaidi mimi kwa sababu labda kwa mabadiliko hayo uliyoyasema bado watoto wangu watafaidi mwanamke hawez kuwatupa watoto wake tofauti na mwanaume
Kama bado hujaoa lazima uwe na hayo mawazo. mwanamke ni mwanamke tu hata akiolewa. mwanamke ni mbinafsi iwe kwa mumewe hadi watoto.
 
Haya mambo twende nayo TU Kuna saa mwanamke anakupa penzi na furaha hadi hajakuomba umsomeshe ila mwenyewe unatafuta chuo hajakuomba sim janja mwenyewe unaenda china plaza
Yani ni unafanya automatic and feel proud of yourself
Sasa mi naona tuyaache tu maana ndio maisha
Nadhani,,"TUISHIE HAPA KWENYE HII THREAD"
 
Back
Top Bottom