Usiyoyajua kuhusu kabila la wabena

Usiyoyajua kuhusu kabila la wabena

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
WABENA ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania wilaya ya Njombe mkoa wa Iringa. Lugha yao inaitwa Kibena na makao yao makuu yanaitwa Ubena.

Makao makuu ya Wabena ni Iringa katika eneo maarufu la Ubena, idadi kubwa ya Wabena inapatikana pia katika wilaya jirani ikiwa ni pamoja na Ulanga mkoani Morogoro, maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika.

Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ambazo ni Ki-Kilavwugi inayotumiwa na wakazi wa eneo ya Ilembula; Kisovi inayotumiwa na Wabena wa eneo la Lusisi hadi Makambako.

Lahaja nyingine ni Kimaswamu inayotumiwa na wakazi wa Imalinyi, Njombe mjini na sehemu ya kata ya Mdandu, Ki-Lupembe inayotumiwa na wakazi wa Lupembe na Kimavemba ambacho kutumiwa na Wabena wa Uwemba na sehemu ya tarafa ya Igominyi.

Lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi. Mfano kukaza “dz”, kwa lahaja zote isipokuwa Kikilavwugi ambacho ingawa inaandikwa “dzi” inatamkwa kama “dji” kama vile ‘umuhudji’. Watumiaji wa lahaja ya Kilupembe inaandikwa “dzi” lakini wanatamka kama “chi” umuhuchi, achile - amekuja, wakati “adjile” (Kikilawugi)... Wengine wote wanakaza adzile, umuhudzi. Tofauti nyingine ni ya kutumia herufi K na H.

Mfano katika maneno Kamwene wengine husema Hamwene, Kangi na hangi pia ukukulima na uhulima. Ingawa historia ya Wabena haitoi jibu sahihi huu ya jina la kabila, watafiti mbalimbali wanahisi kuwa limetokana na ama kazi ya kuvuna ulezi yaani kubena au kutengeneza chumvi kwa kuwa majina ya eneo yalitokana na majina ya watu maarufu au kazi muhimu yenye kuwaingizia wananchi wengi kipato.

Kutokana na tofauti za kijiografia, shughuli za Wabena hutofautiana kutoka eneo moja hadi jingine. Hata hivyo, kwa ujumla Wabena wote ambao hivi sasa hupatikana wilaya za Njombe, Mufindi, Kilombero na Songea ni wakulima hodari. Wabena wanaoshi sehemu zenye mito na mabonde hujishughulisha pia na uvuvi, wakati wale wa ukanda wa juu wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.

Wabena wana historia nzuri ya kudumisha ujamaa na ushirikiano kutokana na mfumo wao wa wakibadilishana mazao na mali mbalimbali. Wabena, kabila linalosifika kwa ukaribu pia lina sifa ya kipekee katika historia ya hatua za maendeleo ya binadamu kwa kuwa lilikuwa hodari wa kufua chuma.

Kwa mujibu wa utafiti wa akiololojia uliofawanya na Profesa Paul Msemwa mwaka 2001 katika na maeneo yanayozunguka mji wa Njombe walikuwepo wakulima ambao walifua chuma kuanzia kipindi cha kame ya tano au hata kabla ya hapo, jambo linalodhihirisha kuwa Wabena walikuwa wakifua chuma.

Utafiti huo wa kisayansi umefanyika kwa kuchimbua ardhi kwa lengo la kutafuta masalia ya zana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale umeweza kuibua masalia ya vipande vya vyungu na masalia ya viwanda vya chuma katika eneo linalokaliwa na Wabena ikiwamno Mgala Isitu, tarafa ya Igominyi.
 
S
WABENA ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania wilaya ya Njombe mkoa wa Iringa. Lugha yao inaitwa Kibena na makao yao makuu yanaitwa Ubena.

Makao makuu ya Wabena ni Iringa katika eneo maarufu la Ubena, idadi kubwa ya Wabena inapatikana pia katika wilaya jirani ikiwa ni pamoja na Ulanga mkoani Morogoro, maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika.

Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ambazo ni Ki-Kilavwugi inayotumiwa na wakazi wa eneo ya Ilembula; Kisovi inayotumiwa na Wabena wa eneo la Lusisi hadi Makambako.

Lahaja nyingine ni Kimaswamu inayotumiwa na wakazi wa Imalinyi, Njombe mjini na sehemu ya kata ya Mdandu, Ki-Lupembe inayotumiwa na wakazi wa Lupembe na Kimavemba ambacho kutumiwa na Wabena wa Uwemba na sehemu ya tarafa ya Igominyi.

Lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi. Mfano kukaza “dz”, kwa lahaja zote isipokuwa Kikilavwugi ambacho ingawa inaandikwa “dzi” inatamkwa kama “dji” kama vile ‘umuhudji’. Watumiaji wa lahaja ya Kilupembe inaandikwa “dzi” lakini wanatamka kama “chi” umuhuchi, achile - amekuja, wakati “adjile” (Kikilawugi)... Wengine wote wanakaza adzile, umuhudzi. Tofauti nyingine ni ya kutumia herufi K na H.

Mfano katika maneno Kamwene wengine husema Hamwene, Kangi na hangi pia ukukulima na uhulima. Ingawa historia ya Wabena haitoi jibu sahihi huu ya jina la kabila, watafiti mbalimbali wanahisi kuwa limetokana na ama kazi ya kuvuna ulezi yaani kubena au kutengeneza chumvi kwa kuwa majina ya eneo yalitokana na majina ya watu maarufu au kazi muhimu yenye kuwaingizia wananchi wengi kipato.

Kutokana na tofauti za kijiografia, shughuli za Wabena hutofautiana kutoka eneo moja hadi jingine. Hata hivyo, kwa ujumla Wabena wote ambao hivi sasa hupatikana wilaya za Njombe, Mufindi, Kilombero na Songea ni wakulima hodari. Wabena wanaoshi sehemu zenye mito na mabonde hujishughulisha pia na uvuvi, wakati wale wa ukanda wa juu wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.

Wabena wana historia nzuri ya kudumisha ujamaa na ushirikiano kutokana na mfumo wao wa wakibadilishana mazao na mali mbalimbali. Wabena, kabila linalosifika kwa ukaribu pia lina sifa ya kipekee katika historia ya hatua za maendeleo ya binadamu kwa kuwa lilikuwa hodari wa kufua chuma.

Kwa mujibu wa utafiti wa akiololojia uliofawanya na Profesa Paul Msemwa mwaka 2001 katika na maeneo yanayozunguka mji wa Njombe walikuwepo wakulima ambao walifua chuma kuanzia kipindi cha kame ya tano au hata kabla ya hapo, jambo linalodhihirisha kuwa Wabena walikuwa wakifua chuma.

Utafiti huo wa kisayansi umefanyika kwa kuchimbua ardhi kwa lengo la kutafuta masalia ya zana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale umeweza kuibua masalia ya vipande vya vyungu na masalia ya viwanda vya chuma katika eneo linalokaliwa na Wabena ikiwamno Mgala Isitu, tarafa ya Igominyi.
asafi sana
 
Safi sana mkuu nimefurahi na kuvutiwa sana na historia ya wabena.

Niulize kidogo wale wanaokaa sehemu inayoitwa ihanga na lupembe ni wabena au ni wakinga.
 
Ongezea na sifa NYINGINE maarufu ambayo ni jadi ya Maeneo mengi hapa nchini kama vile:-
- Kigoma
- Sumbawanga
- Shinyanga
- Tanga n.k
Yaani hawa jamaa nao ni SHIDAAA wapo level ya SPECIALIST SURGEON. (Ni graduates wa M.MED & Ph.D from Massachusetts Institute of Technology (MIT) U.S.A

Wanachoma ganzi balaaa (Anaesthesia) hadi nimekimbia huko.

Mdandu.jpeg
Mdandu 2.jpeg
 
Hii umeielezea kwa uchache sana. Ungeendelea zaidi mfano tamaduni zao, tawala (machifu wao) zao, ngoma zao, chakula chao kikuu, mila na desturi zao hususani matambiko bila kusahau ule situ wao wa maajabu.
 
Ila unge edit kidogo. Njombe kwa sasa ni Mkoa. Hivyo Wabena hawapo Iringa bali Mkoa wa Njombe. Iringa ni Wahehe kwa Wilaya zote zilizobaki.
 
WABENA ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania wilaya ya Njombe mkoa wa Iringa. Lugha yao inaitwa Kibena na makao yao makuu yanaitwa Ubena.

Makao makuu ya Wabena ni Iringa katika eneo maarufu la Ubena, idadi kubwa ya Wabena inapatikana pia katika wilaya jirani ikiwa ni pamoja na Ulanga mkoani Morogoro, maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika.

Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ambazo ni Ki-Kilavwugi inayotumiwa na wakazi wa eneo ya Ilembula; Kisovi inayotumiwa na Wabena wa eneo la Lusisi hadi Makambako.

Lahaja nyingine ni Kimaswamu inayotumiwa na wakazi wa Imalinyi, Njombe mjini na sehemu ya kata ya Mdandu, Ki-Lupembe inayotumiwa na wakazi wa Lupembe na Kimavemba ambacho kutumiwa na Wabena wa Uwemba na sehemu ya tarafa ya Igominyi.

Lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi. Mfano kukaza “dz”, kwa lahaja zote isipokuwa Kikilavwugi ambacho ingawa inaandikwa “dzi” inatamkwa kama “dji” kama vile ‘umuhudji’. Watumiaji wa lahaja ya Kilupembe inaandikwa “dzi” lakini wanatamka kama “chi” umuhuchi, achile - amekuja, wakati “adjile” (Kikilawugi)... Wengine wote wanakaza adzile, umuhudzi. Tofauti nyingine ni ya kutumia herufi K na H.

Mfano katika maneno Kamwene wengine husema Hamwene, Kangi na hangi pia ukukulima na uhulima. Ingawa historia ya Wabena haitoi jibu sahihi huu ya jina la kabila, watafiti mbalimbali wanahisi kuwa limetokana na ama kazi ya kuvuna ulezi yaani kubena au kutengeneza chumvi kwa kuwa majina ya eneo yalitokana na majina ya watu maarufu au kazi muhimu yenye kuwaingizia wananchi wengi kipato.

Kutokana na tofauti za kijiografia, shughuli za Wabena hutofautiana kutoka eneo moja hadi jingine. Hata hivyo, kwa ujumla Wabena wote ambao hivi sasa hupatikana wilaya za Njombe, Mufindi, Kilombero na Songea ni wakulima hodari. Wabena wanaoshi sehemu zenye mito na mabonde hujishughulisha pia na uvuvi, wakati wale wa ukanda wa juu wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.

Wabena wana historia nzuri ya kudumisha ujamaa na ushirikiano kutokana na mfumo wao wa wakibadilishana mazao na mali mbalimbali. Wabena, kabila linalosifika kwa ukaribu pia lina sifa ya kipekee katika historia ya hatua za maendeleo ya binadamu kwa kuwa lilikuwa hodari wa kufua chuma.

Kwa mujibu wa utafiti wa akiololojia uliofawanya na Profesa Paul Msemwa mwaka 2001 katika na maeneo yanayozunguka mji wa Njombe walikuwepo wakulima ambao walifua chuma kuanzia kipindi cha kame ya tano au hata kabla ya hapo, jambo linalodhihirisha kuwa Wabena walikuwa wakifua chuma.

Utafiti huo wa kisayansi umefanyika kwa kuchimbua ardhi kwa lengo la kutafuta masalia ya zana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale umeweza kuibua masalia ya vipande vya vyungu na masalia ya viwanda vya chuma katika eneo linalokaliwa na Wabena ikiwamno Mgala Isitu, tarafa ya Igominyi.
Historia nyepesi sana hii, kuna mambo muhimu umeyaacha. Huwezi kuelezea kabila halafu usigusie kabisa tamaduni za kabila hilo.
 
Mi nataka kujua tamaduni zao, kwasababu naskia Kuna moja inayosababisha njombe kua kinara wa HIV kwa Tanzania.
 
NAKWEDE,
Karibu sana Ubena, Mie niko hapa HAVANGA, KIDEGEMBIYE, LUPEMBE, NJOMBE


Aaah!! Umenikumbusha

Mang'weng'wesela, songambele, Kigongo, Lisihama, lole,Supermarket n.k
Karibu Kwavisu ku- Lupembe!!

 
WABENA ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania wilaya ya Njombe mkoa wa Iringa. Lugha yao inaitwa Kibena na makao yao makuu yanaitwa Ubena.

Makao makuu ya Wabena ni Iringa katika eneo maarufu la Ubena, idadi kubwa ya Wabena inapatikana pia katika wilaya jirani ikiwa ni pamoja na Ulanga mkoani Morogoro, maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika.

Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ambazo ni Ki-Kilavwugi inayotumiwa na wakazi wa eneo ya Ilembula; Kisovi inayotumiwa na Wabena wa eneo la Lusisi hadi Makambako.

Lahaja nyingine ni Kimaswamu inayotumiwa na wakazi wa Imalinyi, Njombe mjini na sehemu ya kata ya Mdandu, Ki-Lupembe inayotumiwa na wakazi wa Lupembe na Kimavemba ambacho kutumiwa na Wabena wa Uwemba na sehemu ya tarafa ya Igominyi.

Lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi. Mfano kukaza “dz”, kwa lahaja zote isipokuwa Kikilavwugi ambacho ingawa inaandikwa “dzi” inatamkwa kama “dji” kama vile ‘umuhudji’. Watumiaji wa lahaja ya Kilupembe inaandikwa “dzi” lakini wanatamka kama “chi” umuhuchi, achile - amekuja, wakati “adjile” (Kikilawugi)... Wengine wote wanakaza adzile, umuhudzi. Tofauti nyingine ni ya kutumia herufi K na H.

Mfano katika maneno Kamwene wengine husema Hamwene, Kangi na hangi pia ukukulima na uhulima. Ingawa historia ya Wabena haitoi jibu sahihi huu ya jina la kabila, watafiti mbalimbali wanahisi kuwa limetokana na ama kazi ya kuvuna ulezi yaani kubena au kutengeneza chumvi kwa kuwa majina ya eneo yalitokana na majina ya watu maarufu au kazi muhimu yenye kuwaingizia wananchi wengi kipato.

Kutokana na tofauti za kijiografia, shughuli za Wabena hutofautiana kutoka eneo moja hadi jingine. Hata hivyo, kwa ujumla Wabena wote ambao hivi sasa hupatikana wilaya za Njombe, Mufindi, Kilombero na Songea ni wakulima hodari. Wabena wanaoshi sehemu zenye mito na mabonde hujishughulisha pia na uvuvi, wakati wale wa ukanda wa juu wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.

Wabena wana historia nzuri ya kudumisha ujamaa na ushirikiano kutokana na mfumo wao wa wakibadilishana mazao na mali mbalimbali. Wabena, kabila linalosifika kwa ukaribu pia lina sifa ya kipekee katika historia ya hatua za maendeleo ya binadamu kwa kuwa lilikuwa hodari wa kufua chuma.

Kwa mujibu wa utafiti wa akiololojia uliofawanya na Profesa Paul Msemwa mwaka 2001 katika na maeneo yanayozunguka mji wa Njombe walikuwepo wakulima ambao walifua chuma kuanzia kipindi cha kame ya tano au hata kabla ya hapo, jambo linalodhihirisha kuwa Wabena walikuwa wakifua chuma.

Utafiti huo wa kisayansi umefanyika kwa kuchimbua ardhi kwa lengo la kutafuta masalia ya zana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale umeweza kuibua masalia ya vipande vya vyungu na masalia ya viwanda vya chuma katika eneo linalokaliwa na Wabena ikiwamno Mgala Isitu, tarafa ya Igominyi.

Mkuu nyie na Majirani zenu wahehe tofauti yenu nini katika mambo ya kifamilia,(nikiamaanisha juu ya maisha ya ndoa kiujumla. mf. mambo ya kuchumbia,taratibu za mahari,malezi ya wototo na mengine mengi ya kifamilia), Kma kuna wabena wengine humu naomba kupewa uzoefu na taarifa juu ya hili.
 
nyie wakarimu sana mkishirikiana na Sangu mlimuungaa mkono Mjerumani ili ammalize Mkwavinyika wa uheheni. ila vp nanyi ni wepesi kujinyonga kama jirani zenu
 
Sio kweli mkuu unachodai wilaya ya mafinga ina mchanganyiko wa wabena na wahehe. Pia sio kwasababu ni mkoa ukajua lazima uwe na kabila moja Kwa taarifa yako wabena wako mpaka baadhi ya wilaya za Morogoro mfano wilaya ya malinyi mkoani Morogoro wanaitwa wabena Manga. Mkoa wenyewe wa Njombe bado kuna makabila kama wakinga, wanyasa , wamanda , wapangwa na wawanji. Iringa haijabaki na wahehe peke yake. Wabena wapo wengi Tu hasa wilaya ya Mufindi
Ila unge edit kidogo. Njombe kwa sasa ni Mkoa. Hivyo Wabena hawapo Iringa bali Mkoa wa Njombe. Iringa ni Wahehe kwa Wilaya zote zilizobaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WABENA ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania wilaya ya Njombe mkoa wa Iringa. Lugha yao inaitwa Kibena na makao yao makuu yanaitwa Ubena.

Makao makuu ya Wabena ni Iringa katika eneo maarufu la Ubena, idadi kubwa ya Wabena inapatikana pia katika wilaya jirani ikiwa ni pamoja na Ulanga mkoani Morogoro, maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika.

Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ambazo ni Ki-Kilavwugi inayotumiwa na wakazi wa eneo ya Ilembula; Kisovi inayotumiwa na Wabena wa eneo la Lusisi hadi Makambako.

Lahaja nyingine ni Kimaswamu inayotumiwa na wakazi wa Imalinyi, Njombe mjini na sehemu ya kata ya Mdandu, Ki-Lupembe inayotumiwa na wakazi wa Lupembe na Kimavemba ambacho kutumiwa na Wabena wa Uwemba na sehemu ya tarafa ya Igominyi.

Lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi. Mfano kukaza “dz”, kwa lahaja zote isipokuwa Kikilavwugi ambacho ingawa inaandikwa “dzi” inatamkwa kama “dji” kama vile ‘umuhudji’. Watumiaji wa lahaja ya Kilupembe inaandikwa “dzi” lakini wanatamka kama “chi” umuhuchi, achile - amekuja, wakati “adjile” (Kikilawugi)... Wengine wote wanakaza adzile, umuhudzi. Tofauti nyingine ni ya kutumia herufi K na H.

Mfano katika maneno Kamwene wengine husema Hamwene, Kangi na hangi pia ukukulima na uhulima. Ingawa historia ya Wabena haitoi jibu sahihi huu ya jina la kabila, watafiti mbalimbali wanahisi kuwa limetokana na ama kazi ya kuvuna ulezi yaani kubena au kutengeneza chumvi kwa kuwa majina ya eneo yalitokana na majina ya watu maarufu au kazi muhimu yenye kuwaingizia wananchi wengi kipato.

Kutokana na tofauti za kijiografia, shughuli za Wabena hutofautiana kutoka eneo moja hadi jingine. Hata hivyo, kwa ujumla Wabena wote ambao hivi sasa hupatikana wilaya za Njombe, Mufindi, Kilombero na Songea ni wakulima hodari. Wabena wanaoshi sehemu zenye mito na mabonde hujishughulisha pia na uvuvi, wakati wale wa ukanda wa juu wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.

Wabena wana historia nzuri ya kudumisha ujamaa na ushirikiano kutokana na mfumo wao wa wakibadilishana mazao na mali mbalimbali. Wabena, kabila linalosifika kwa ukaribu pia lina sifa ya kipekee katika historia ya hatua za maendeleo ya binadamu kwa kuwa lilikuwa hodari wa kufua chuma.

Kwa mujibu wa utafiti wa akiololojia uliofawanya na Profesa Paul Msemwa mwaka 2001 katika na maeneo yanayozunguka mji wa Njombe walikuwepo wakulima ambao walifua chuma kuanzia kipindi cha kame ya tano au hata kabla ya hapo, jambo linalodhihirisha kuwa Wabena walikuwa wakifua chuma.

Utafiti huo wa kisayansi umefanyika kwa kuchimbua ardhi kwa lengo la kutafuta masalia ya zana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale umeweza kuibua masalia ya vipande vya vyungu na masalia ya viwanda vya chuma katika eneo linalokaliwa na Wabena ikiwamno Mgala Isitu, tarafa ya Igominyi.
Nafarijika sana, me pia ni mbena ila sijawahi kufika ubenani binafsi nimezaliwa mbeya na kukulia dar...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WABENA ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania wilaya ya Njombe mkoa wa Iringa. Lugha yao inaitwa Kibena na makao yao makuu yanaitwa Ubena.

Makao makuu ya Wabena ni Iringa katika eneo maarufu la Ubena, idadi kubwa ya Wabena inapatikana pia katika wilaya jirani ikiwa ni pamoja na Ulanga mkoani Morogoro, maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika.

Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ambazo ni Ki-Kilavwugi inayotumiwa na wakazi wa eneo ya Ilembula; Kisovi inayotumiwa na Wabena wa eneo la Lusisi hadi Makambako.

Lahaja nyingine ni Kimaswamu inayotumiwa na wakazi wa Imalinyi, Njombe mjini na sehemu ya kata ya Mdandu, Ki-Lupembe inayotumiwa na wakazi wa Lupembe na Kimavemba ambacho kutumiwa na Wabena wa Uwemba na sehemu ya tarafa ya Igominyi.

Lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi. Mfano kukaza “dz”, kwa lahaja zote isipokuwa Kikilavwugi ambacho ingawa inaandikwa “dzi” inatamkwa kama “dji” kama vile ‘umuhudji’. Watumiaji wa lahaja ya Kilupembe inaandikwa “dzi” lakini wanatamka kama “chi” umuhuchi, achile - amekuja, wakati “adjile” (Kikilawugi)... Wengine wote wanakaza adzile, umuhudzi. Tofauti nyingine ni ya kutumia herufi K na H.

Mfano katika maneno Kamwene wengine husema Hamwene, Kangi na hangi pia ukukulima na uhulima. Ingawa historia ya Wabena haitoi jibu sahihi huu ya jina la kabila, watafiti mbalimbali wanahisi kuwa limetokana na ama kazi ya kuvuna ulezi yaani kubena au kutengeneza chumvi kwa kuwa majina ya eneo yalitokana na majina ya watu maarufu au kazi muhimu yenye kuwaingizia wananchi wengi kipato.

Kutokana na tofauti za kijiografia, shughuli za Wabena hutofautiana kutoka eneo moja hadi jingine. Hata hivyo, kwa ujumla Wabena wote ambao hivi sasa hupatikana wilaya za Njombe, Mufindi, Kilombero na Songea ni wakulima hodari. Wabena wanaoshi sehemu zenye mito na mabonde hujishughulisha pia na uvuvi, wakati wale wa ukanda wa juu wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.

Wabena wana historia nzuri ya kudumisha ujamaa na ushirikiano kutokana na mfumo wao wa wakibadilishana mazao na mali mbalimbali. Wabena, kabila linalosifika kwa ukaribu pia lina sifa ya kipekee katika historia ya hatua za maendeleo ya binadamu kwa kuwa lilikuwa hodari wa kufua chuma.

Kwa mujibu wa utafiti wa akiololojia uliofawanya na Profesa Paul Msemwa mwaka 2001 katika na maeneo yanayozunguka mji wa Njombe walikuwepo wakulima ambao walifua chuma kuanzia kipindi cha kame ya tano au hata kabla ya hapo, jambo linalodhihirisha kuwa Wabena walikuwa wakifua chuma.

Utafiti huo wa kisayansi umefanyika kwa kuchimbua ardhi kwa lengo la kutafuta masalia ya zana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale umeweza kuibua masalia ya vipande vya vyungu na masalia ya viwanda vya chuma katika eneo linalokaliwa na Wabena ikiwamno Mgala Isitu, tarafa ya Igominyi.
Wana sifa ya dharau zilizopitiliza pia. Na huwa haijalishi awe masikini au tajiri dharau ziko pale pale hasa wanapogundua wewe ni wakuja ni dharau mtindo mmoja. Nimeishi nao sana Njombe na kwetu Ruvuma wamejaa.
 
Back
Top Bottom