Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya

Wakurya tuko poa sana, wakarimu na wapenda amani ila ukikengeuka basi utafungiwa jiwe kubwa na kutoswa daraja la Kirumi mto mara.!
 
NDIO MAANA CASES NYINGI ZA UKATILI UTASIKIA TARIME SIJUI RORYA WENYEWE KWANZA WAKURYA WANA MAGROUP YAO YA UBAGUZ NINA MCHIZI FROM MUGUMU BUSH HUKO ANAKWAMBIA MARA AH YURE SIJUI WACRAN IRE RARA.NYINGI
 
Yeah wapo wapole nimesoma NAO wapole kabisa tena ASILIMIA KUBWA wasabato
Wakurya tuko poa sana, wakarimu na wapenda amani ila ukikengeuka basi utafungiwa jiwe kubwa na kutoswa daraja la Kirumi mto mara.!
 
Ila na wakorofi pia nimesoma NAO ila wajita wanaopendaga SIFA nawashangaaga sana ila MJITA ambaye aswaa pure mama Kwa baba wote wajita ni mpole na anapenda watu
 
Wajita si Watu wa sifa?!!!
 
Umeongea sahihi sana , wajita wanaume wengi wao sio kabisa , si tunaye hapa ofisini daah Noma kabisa
Yupo mjita, tuko ofisi moja aisee!, ni anapenda sana kufatilia maisha ya watu, na anachonganisha sana wafanyakazi wenzake, ni mbishi kupita maelezo na anapenda sana sifa.
 
Umechemka kidogo kwenye upande wa wajita. Ni wavivu kulima sababu kazi yao kubwa ni uvuvi. Na wanakula sana samaki kuliko nyama. Pia wanaakili sana kuliko wakurya na hii inatokana na nature ya vyakula hasa samaki
 
Mijita siwakubali mibishi afu Ina ukabila na roho m baya hata ukiwa nalo ofisini ni majitu kujipendekeza
 
Usije kujikoroga ukaoa wanawake wa kijiTa uTarogwaaaa ooohOoo
 

Girlfriend wangu ni mjita lakini kilasiku kawa ni mtu wa kulialia tu hasira zisizo na mpango hadi nafikiria kupiga chini mana naona hatutowezana kwenye ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…