Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya

Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya

Haya makabila bana wako ivi hawatawazi kwa maji wao ni miti majani, michanga, miamba chupa au visu na mapanga wana namna ya kuvishika visiwaumize wanadai ile ukiiokokotoa inatoa uchafu wote! Maji wanaona unapoteza muda! halafu hawapendi kushika shika huko! na vidole!

usiwe mwepesi kukimbilia kisu ukiwa maeneo yao! halafu kadiri anavo chambia panga linakuwa na sumu ya kuua haraka na kumlinda mkataji na adui yako wanaamini madonda hayata pona haraka!!

kingine ukimpiga adui yako na panga ulilo chambia anakushau faster! ni nadrasana kukukumbuka!! pia anaweza kuku control kwa kutumia kisu kile kile ndo maana walipenda sana kutumia singe vitani kuliko risasi!

singe nyingi jeshini zilichambiwa na wajita na wakurya wkt wakiwa mstari wa mbele!! ukitaka kuprove jiumize na singe uone km utapona! wachache wanalijua hili! hizi ziliwafanya pia wasionekane kirahisi! kwa adui!

hata akienda polisi kesi inakuwa magumashi!! but wao wana namna ya kufanya ili kuififisha hiyo nguvu na kesi kufuatiliwa!! usikubali kabisa uchomwe kisu au upigwe Panga na Mjita au mkurya!! km ikitokea ujue umepigwa upande wa nyaa! kesi kwishne! hii ni siri yao!

Muhogo ni dawa kubwa sana watu hawajui tu! ndo maana wanapenda ugali ya muhogo! sasa ukichambia kisu ulicho kulia ugali wa muhogo! na kile kisu ukakitumia kikiwa kwenye hala yake halooooo!!

siendelei zaidi msije mkajaribu bureee!! mkitak wafuateni wenyewe pale kitunda kwa akili vinginevo mura yatakwambi umechuache na wewe siyo mkuria mura........unataka kubhindua sirikalri!
Aisee!!!, una uhakika uko sawa kifikra?
 
Nawasalimu kwa Jina Baba Mwenyezi aliye Mbinguni

Wakurya na Wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, Wajita wakipatikazana zaidi Bunda na Majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime

Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya makabila hawataki kuonewa, kunyanyaswa au kudhulumiwa kitu chake hapo mtamalizana papo kwa papo kwa mbinu yeyote anaeijua yeye.

Ukioa mwanamke wa kijita au kikurya umepata mwanamke wa familia ni wavumilivu mno, Tena mno.

Makabila haya watu wake hawajui kuongea kwa kubembelezana wao kuongea kwao ni Kama amri ya Jeshi
Ukiwa mgeni katika mkoa wa Mara utajua namaanisha Nini.

Wanapenba kula ugali wa mtama uliochanganywa kwa unga wa muhogo (udaga) pamoja na samaki na nyama

Haya ndiyo niliyaona miaka 5 niliyoishi mkoa wa Mara
Unawapa sifa kama unawazungumzia aina fulani ya Wanyama. Hao ni binadamu, hawazliwi na sifa hizo unazozitaja, ambazo ni matokeo tu ya malezi.
 
naamini tanzania nzima hakuna wanaume wanaojipenda kama wajita hata kama suruali imechanika lazima achomekee na kalamu zake mbili kifuani wanapenda kazi ya ualimu sana shida yao kubwa ni wambea mjita haulizwi kitu ameshakuambia hana siri hata kidogo huyo ndio mwanaume wa kijita baba
 
Hakikisha una uwezo wa kuvumilia maana mimi nakula nakula udaga, nitakupasua vibaya mnoo
Hata hujui mmakonde weye!! wale wanakula ugali wa udaga/mahemba!! siyo udaga! kwanza hata huko uzanakini hawajui kulima huo muhogo!! hujui! usilazimishe! km kweli unakula ugali ya ulesi nyaa itakuwa ngumu ngumu hivi! haina utelezi saaana! safi karibu!

hata ukitaka zamu kwa zamu! sawa tu mie ili mradi niridhike saabu ya huo ungali ya mtama!
 
Wajaluo sio kabila la kuandikwa hovyo[emoji23][emoji23]

Ila ni wasomi wabobezi hasa kwenye sheria. Wanapiga ngeli hao. Wanaingiliana sana na wakenya.

Wajaluo wamebarikiwa kwenye Art ya kutengeneza vitu vinavyohusiana na vyuma. Ni wafua vyuma wazuri sana. Wanajua kula na vipofu hao. Akiwa hana kazi anajua unaweza kumpa kazi au kumpa connection, anakuwa very calm, anaweza hata kuosha vyombo na kufua nguo nguo zako[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukimpa hiyo kazi anaweza kuitumia kukudondosha wewe.

Tatizo sasa
Hawajali kuhusu watu wengine hasa wasiokuwa wajaluo. Ni wachoyo balaa na wakabila sana. Ukikutana na mwenye roho nyeusi ni wana roho mbaya hasa. Ukikaa nao wana matendo ya kustaajibisha balaa, tena wakati mwingine ni matendo ya kuudhi. Ukifanya kazi na mjaluo muda wote wa maisha yenu ujue atakuwa anawaza cheo chako. Wanapenda vyeo haoo, na wakipata vyeo huwa hawako fair.
MJALUO KUKUFUKUZISHA KAZI NI KITENDO CHA KUFUMBA MACHO NA KUFUMBUA.

Asili yao hawatupendi wabantu, na kuna jina ambalo huwa wanatuita wabantu.

Mambo ya kushangaza au kuchekesha Ujaluoni[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Wasichana waliovunja ungo huwa wanajengewa nyumba zao za nje. Ili iwe rahisi kujifanyia mambo yao. Hasa yale ya[emoji7][emoji7]

Zamani kumkuta mjaluo na govi ni jambo la kawaida. Walikuwa wanatahiriwa neno.

Wako very fan[emoji23][emoji23][emoji23]. Wana life style zao za kipekee.

USHIRIKINA.
Kwa kweli hawa miamba Teknolojia yao ya ushirikina ni tofauti sana. [emoji28][emoji28]

Kuna mambo ukiambiwa huwezi kuamini, unaweza kujua ni chai ila ni kweli kabisa.

Kwa mfano,

Unaweza kutegwa sumu kwenye sahani mnayokula watu wengi, ila sumu ukaila peke yako.

Kutegwa sumu kwa njia ya macho ni kawaida sana. Yaani mtu anaweza kukuloga kwa kukuangalia tu.

Maiti kulia akatoa machozi Ujaluoni ni jambo la kawaida.

KWA KWELI MAMBO HASI KWA WAJALUO NI MENGI KULIKO CHANYA.
Nimemkumbuka felix odongo
 
Nawasalimu kwa Jina Baba Mwenyezi aliye Mbinguni

Wakurya na Wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, Wajita wakipatikazana zaidi Bunda na Majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime

Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya makabila hawataki kuonewa, kunyanyaswa au kudhulumiwa kitu chake hapo mtamalizana papo kwa papo kwa mbinu yeyote anaeijua yeye.

Ukioa mwanamke wa kijita au kikurya umepata mwanamke wa familia ni wavumilivu mno, Tena mno.

Makabila haya watu wake hawajui kuongea kwa kubembelezana wao kuongea kwao ni Kama amri ya Jeshi
Ukiwa mgeni katika mkoa wa Mara utajua namaanisha Nini.

Wanapenba kula ugali wa mtama uliochanganywa kwa unga wa muhogo (udaga) pamoja na samaki na nyama

Haya ndiyo niliyaona miaka 5 niliyoishi mkoa wa Mara
Mzee unaeandika utakuwa Mjita, unajaribu kuiba sifa wa wakurya kwani hamfanani kwa chochote. Wakurya ndio wenye misamamo dhabiti kwenye yote wayatakayo sio Wajita. Wajita unaweza kuwalinganisha na Wakerewe, na Wahaya wana mengi ya jkushabihiana ila iso Wakurya kwa vyovyote vile. Tafuta kiki nyingine usilinganishe na Mkurya Mura huyu vipi huyu ,Tutamgecha.
 
Wajita wa kiume ni wabishi sana halafu wana tabia za kuwateta watu wengine nafanya nao kazi kituo kimoja, tabia zao siyo nzuri lakin wamama wa Kijita ni wapole na wastaarabu sana.
Ni kweli kabisa hawa wajamaa hapa kuna mmoja tupo nae kazini ndo zake.....
 
Niwajuavyo WAJITA kwa sababu nimeishi nao muda mrefu...

SIFA CHANYA
1.Wajita si kabila kubwa sana, ila wengi wao ni wasomi kuliko Wakurya na makabila mengi ya Kanda ya Ziwa (ukiondoa Wahaya na Wakerewe). Hasa levels za certificates,diploma, bachelor & masters' degree. Kule kwenye PhD ni wachache mno (mfano Prof.Biswalo,yule mtaalamu wa Psychology).

Walio wengi wamejazana kwenye Ualimu,Afya,majeshi, na kazi nyingine za elimu ya kawaida.

2.Wanapenda maendeleo na hushindana sana kutafuta maendeleo.Na akiyapatia maisha hanaga kujificha,lazima mtajua tu kuwa Bwire mambo yake sasa ni safi ile mbaya.

3.Ni moja ya makabila nadhifu kandokando ya Ziwa Victoria. Wanapenda kuvaa sana.Kuna mdau huko juu [emoji121]kasema si ajabu kumuona Mjita anaenda shambani kulima ila amechomekea,miwani juu,na pen kwenye mfuko wa shati.Just imagine!

4.Ni wakarimu sana,na wana huruma kwa matatizo ya wengine.Ukiwa na tatizo anakusaidia.Ukiona hajakusaidia ujue hana.

5.Moja ya makabila around the interlucustrine yaliyo vizuri kwenye mapenzi na mambo ya ndoa.

6.Wanaomboleza kwenye misiba yao haooo!Kama unataka kuanzisha kikundi cha kukodisha cha waliaji kwenye misiba,watafute hawa.Usipompata Mjita basi option ya 2 mtafute Mjaluo.

Yaani Mjita anatoka kwake kwenda msibani macho makavu na story za kufa mtu njiani,ila akifika within 1 kilometer to the msiba area kilio atakachoangusha hapo ni balaa! "Mayaweee,Manyama weswe kagendelee..Uuwiii, [emoji27][emoji24][emoji24]". Wanaliaga huku wanabwabwaja maneno kama yote yaani.

7.Wanapenda misosi ya asili sana.Hata kama umepika pilau lako siku ya Christmas au Eid,lazima na ugali wa muhogo umpikie. Wali sijui na pilau bila 'ubhusima' (ugali)? Hiyo siku mbona imekaa vibaya!

8.Kiimani,70% ya Wajita ni Wasabato.Yaani ni vigumu kuutenganisha Usabato na Ujita, na nilipokuwa mdogo kila Msabato niliyemuona nilijua kwa vyovyote atakuwa Mjita pia (kumbe wapo na wa madhehebu mengine,japo ni wachache).Hii ni ishara kuwa hawa watu waliupokea vyema Ukristo na kupitia huo wakapata elimu dunia.

N.B:Utaamua kama hizo namba 6 & 7 ni sifa njema ama la.

SIFA ZAO HASI
1.Ni waongo waongo,wambeya, wachonganishi, na Wanapenda kufatilia maisha ya wengine:unakula nini,unavaa nini,n.k. Hawa wanajulikana kama 'Wazaramo wa Kanda ya Ziwa'. Lake Zone yote wanawagwaya wajita kwa mdomo.

Pamoja na kusoma kwao,kile kiingereza cha " Mind your own business " hawakukielewa hadi leo. And for your information, CYPRIAN MUSIBA is a Jita man.Anatoka Iramba,wilayani Bunda.

2.Pamoja na ukarimu walio nao,akikusaidia lazima akutangaze. Na pia akijua maisha unayoishi utakoma.Nadhani wanafaa sana kufanya kazi kwenye Media House.

3.Wanaoishi pembeni ya Ziwa Victoria huwa hawana mabafu,wao huenda kuoga ziwani tena uchi wakionekana na kila mtu.Margin unayotenga sehemu wanayoogea wanaume na wanawake ni ndogo sana.

Ukiwa mgeni Ujitani unaweza kudhani uko Miami beach au Bahamas 'mambele' huko.Yaani unamwona Irene aliyemtongoza akakukataa anaoga na kichupi in the open space tena mchana kweupe, na baadaye jirani kidogo unamwona,Nyamisi,dada yako wa tumbo moja anaoga chuchu zimesimama kama msumari na kisha anavua chupi yake anainama na kuinuka akiifua, huku akijua wewe kaka yake unamuona mubashara. Aiseee,maisha gani haya?...sisi makabila mengine tulikuwa tunafedheheka kwakweli.

4.Jamaa hawa ni wabishi sana.Tena bora ukutane na Msabato Mpare kuliko Msabato Mjita,mtabishana mambo ya maandiko mpaka uombe poo!Na ni wabishi hata kwa mambo mengine.

5.Wamekubuhu kwa ushirikina na kuuana kwa sumu za mamba. Ikiwa utaenda kufanya kazi au biashara maeneo yao,na ukakwazana na watu wa huko,hunabudi kuchukua tahadhali ya hali ya juu:usikariri kula kwenye hoteli moja au kunywa kwenye baa ile ile,limit the number of friends. Ukizembea 'wafa, wagenda'.

6.Mengine wataendeleza wengine,maana namba 3 imenivuruga kichwa.

Usisahau: Msemaji wa timu ya football ya Ruvu Shooting, MASAU BWIRE,naye ni Mjita.
Wale wa kibara ni kabila gn?
 
Kasahunga na Nambaza kwa wachawi,Nyamitweibili kwao Kangi Lugola,nenda Bunere hadi Kisorya, halafu kuna Mchigondo,Sikiro,n.k [emoji16][emoji16][emoji23][emoji109]

Pale Kibara Mission Hospital sitapasahau maana walimuua mtoto wa mfanyakazi mwenzangu kizembe sana.Mke wa staff mate huyo alikuwa amejifungua mtoto njiti,so walikuwa wamekaweka katoto hako kwenye incubator hadi katimize miezi 9.Wazazi walikuwa na kawaida ya kukatembelea na kukapelekea mavazi ya kubadilisha.

Sasa kalikufaje?Kuna siku nurse aliyeingia zamu ya usiku alisahau kufunga incubator baada ya kuwa amekafanyia usafi na kukabadilishia nguo.Asubuhi yake manesi wanakabidhiana zamu wakagundua mtoto kashafariki kwa kupigwa baridi. Aiseee tuliwawashia moto na ilikuwa tuwaburuze kwenye sheria ila mwenye mtoto akasikiliza ushauri wa watu wa kusamehe,na akasamehe kweli.Baada ya miaka 2 baadaye tukahamia mkoa mwingine kikazi.
Haswa hao wa kibara
 
Ukiwa mgeni Ujitani unaweza kudhani uko Miami beach au Bahamas 'mambele' huko.Yaani unamwona Irene aliyemtongoza akakukataa anaoga na kichupi in the open space tena mchana kweupe, na baadaye jirani kidogo unamwona,Nyamisi,dada yako wa tumbo moja anaoga chuchu zimesimama kama msumari na kisha anavua chupi yake anainama na kuinuka akiifua, huku akijua wewe kaka yake unamuona mubashara. Aiseee,maisha gani haya?...sisi makabila mengine tulikuwa tunafedheheka kwakweli.
Hii ni shiiidah🙄
 
wajita na wakurya wanatoka seheme moja lakini kuna utifauti mkubwa ya kitabia kati ya hao wawili

wakulia ni watu wa mabavu wana loss temper kirahisi, hasira zao ni mapigano, lakini wajita sio watu wa mabavu ingawa nao wana loss temper kirahisi lakini atumii nguvu labda atakuwekea kisasi

wajita ni wavivu wanafanya kazi mpaka awe na mood mjita analima kasehem kadogo alafu anajisifia mbaya 'asee leo nimelima bwana'.. lakin wakurya wanapiga kazi wanajituma sana na wanataka kuona matoke ya kazi

wajita wana nature ya upole upole, sio wakorofi mpaka uwatibue na ukiwatibua ata deal na kiakili so kinguvu ingawa anaweza akatua nguvu pia, wakurya kwenye upole hawapo kabisaaa.. wakitaka kitu lazima nguvu itumie yani 'nguvu fuso akili kisoda'

wajita wanapenda kuvaa asee, yani mjita anaweza kwenda kulima anapaka mafuta mkanda nje na pen kwenye mfuko wa shati, wakurya hawana hizo tabiaa za kuvaa na awawezi kupanga mavazi

hii najua jf naweza msihamini
wajita kwenye upande wa mapenzi wapo romantic sana wanajua kuplease na wana penda sex, wapo emotional sana awajamaa.. tofauti na wakurya mapenzi wanayachanganya na vita... yani vita ni vita muraaah

kwenye chakula wote wanakula chakula cha kufanana

mwisho kabisa, hayo makabila mawili watu wanayafananisha sana kwasaababu wote wanatoka sehemu moja lakini deep inside.. hawafanani hata kidogoo hususani kwenye tabia
Mkuu elezea kuhusu kabila la wasimbiti naskia nao wanapatika huko huko
 
Mimi ni mjita pure kabisa Toka Kisolya BUNDA.

Nyongeza.

1-Hakuna uhusiano wa kitabia Kati yetu na wakurya.

2-Katika Kabila letu hakuna msamiati wa R
Maneno yote hakuna R. Yaani Penye R sisi huweka L mfano wa maneno au Majina.
Lyagenda, lyasubha, Malima, Mbwila, Kalibhata, tegelesha, n.k hatuna R. Hata aliyesema Musiba anatoka Iramba Yuko Sawa Ila kakosea matamshi hicho kijiji kinaitwa Kwilamba na wengine huita Bhulamba. Siyo Iramba hiyo ni kwa Mwigulu Chemba huko.

3.Kabila letu ndo Kiboko ya Mawifi, yaani ukioa Mjita lazima Dada zako washike Adabu hakuna kuja home na kuleta tabia za kijinga jinga na kujipangia tu mambo wanavyotaka wao eti kisa wako kwa Kaka Yao NO.. wanapaswa Kutulia tuli.

4.Moja ya Mambo ambayo ni kipaumbele kwetu ni SEX.. Siyo ME Wala KE Tunapenda Sex kuliko kitu chochote.. asilimia Kubwa zaidi ya 85% Ya wanaume wa Kijita Wana uwezo wa Kumlidhisha mwanamke wa Aina yoyote akaEnjoy Sex to the maximum level, na wanawake wa Kijita zaidi ya 90% wana uwezo wa Kumlidhisha mwanamme, siyo Magogo Kitandani huenda ziwani kwenye mchanga Wakiwa wadogo na kufundishwa kukata viuno Tena BINTI huwekewa Sindano chini usawa wa kiuno.. akishuka tu anachomwa Hivyo kwa bed wako Vizuri..

5.Wanaume ni Watafutaji maana wanapenda Kula vizuri, wanawake ni Wavumilivu, Lakini wanawake huanza kwanza kumtingisha kidogo mwanamme na kuona msimamo wako, Ukilegea tu Anakukalia, Anakutawala Ila Ukionesha msimamo wa Kiume, ni wanyenyekevu na Wajenga miji.

6_Ubishi tunaongoza japo Tofauti yetu na waha sisi tuna uwezo mkubwa Wa kujenga hoja, Tunabisha kwa Logic.. Useng'enyaji na Majungu hatujambo..
Mkuu tujuze abc kuhusu wasimbiti niliskia hili kabila linalatikana huko
 
wajita na wakurya wanatoka seheme moja lakini kuna utifauti mkubwa ya kitabia kati ya hao wawili

wakulia ni watu wa mabavu wana loss temper kirahisi, hasira zao ni mapigano, lakini wajita sio watu wa mabavu ingawa nao wana loss temper kirahisi lakini atumii nguvu labda atakuwekea kisasi

wajita ni wavivu wanafanya kazi mpaka awe na mood mjita analima kasehem kadogo alafu anajisifia mbaya 'asee leo nimelima bwana'.. lakin wakurya wanapiga kazi wanajituma sana na wanataka kuona matoke ya kazi

wajita wana nature ya upole upole, sio wakorofi mpaka uwatibue na ukiwatibua ata deal na kiakili so kinguvu ingawa anaweza akatua nguvu pia, wakurya kwenye upole hawapo kabisaaa.. wakitaka kitu lazima nguvu itumie yani 'nguvu fuso akili kisoda'

wajita wanapenda kuvaa asee, yani mjita anaweza kwenda kulima anapaka mafuta mkanda nje na pen kwenye mfuko wa shati, wakurya hawana hizo tabiaa za kuvaa na awawezi kupanga mavazi

hii najua jf naweza msihamini
wajita kwenye upande wa mapenzi wapo romantic sana wanajua kuplease na wana penda sex, wapo emotional sana awajamaa.. tofauti na wakurya mapenzi wanayachanganya na vita... yani vita ni vita muraaah

kwenye chakula wote wanakula chakula cha kufanana

mwisho kabisa, hayo makabila mawili watu wanayafananisha sana kwasaababu wote wanatoka sehemu moja lakini deep inside.. hawafanani hata kidogoo hususani kwenye tabia
😆😆😆
 
Nawasalimu kwa Jina Baba Mwenyezi aliye Mbinguni

Wakurya na Wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, Wajita wakipatikazana zaidi Bunda na Majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime

Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya makabila hawataki kuonewa, kunyanyaswa au kudhulumiwa kitu chake hapo mtamalizana papo kwa papo kwa mbinu yeyote anaeijua yeye.

Ukioa mwanamke wa kijita au kikurya umepata mwanamke wa familia ni wavumilivu mno, Tena mno.

Makabila haya watu wake hawajui kuongea kwa kubembelezana wao kuongea kwao ni Kama amri ya Jeshi
Ukiwa mgeni katika mkoa wa Mara utajua namaanisha Nini.

Wanapenba kula ugali wa mtama uliochanganywa kwa unga wa muhogo (udaga) pamoja na samaki na nyama

Haya ndiyo niliyaona miaka 5 niliyoishi mkoa wa Mara
Hukuweza kuwafahamu kindani. Wajita wanapenda sana ushirikina!
 
Hizi stori umesikia wapi aisee ?

Kwanza kinachosababisha Wakurya wapende mapigano ni kwasababu hawajui kabisa uchawi.

Ukikuta mkurya ni mchawi labda kaununua
Huyu muongo mkuu, wakuria kwenye uchawi na ushirikina hawamo kabisa.
 
Wakurya na Wajita ni makabila mawili yenye hulka tofauti kabisa.

Makabila haya wala hata hayaingiliani kimakazi au kikazi.

Kwa kifupi Wakurya na Wajita hawana mahusiano yanayopelekea mwingiliano baina yao.

Kitu pekee cha kufananisha labda ni kuwa makabila haya yote yanapatikana mkoa wa Mara.

KWA HIYO KUJARIBU KULINGANISHA MAKABILA HAYA SIO SAHIHI.
Kweli kabisa Huyu anataka kutudanganya, unajua siku hizi eti wajita nao wanajiita wakuria, wapi na wapi? Waooooga!
 
Nilicho shangaa mpaka leo kutoka mkoani mkoani Mara jamani ni kupiga saluti kabla ya kula Mbunye!! jamni mweee!! demu wa kwanza nilidhani labda utani!!! wa pili watatu ivoivo duuuu!! nikachoka mie...hao jamaa si utani wala majungu ila ndo ivoivo walivo....... utajua duniani kuna mambo!
 
Nilicho shangaa mpaka leo kutoka mkoani mkoani Mara jamani ni kupiga saluti kabla ya kula Mbunye!! jamni mweee!! demu wa kwanza nilidhani labda utani!!! wa pili watatu ivoivo duuuu!! nikachoka mie...hao jamaa si utani wala majungu ila ndo ivoivo walivo....... utajua duniani kuna mambo!
We ulikuwa unatoka na madem gan hao? Mbona mm nimekulia huku na nimewai toka na madem wa huku ila sijawai ona hio kitu
 
Niliwahi kusikia kijita kinafanana na kikerewe.

Vipi kuhusu Tamaduni wanaendana pia?
 
Back
Top Bottom