SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Taarifa inayosambaa ni kuwa Klabu Bingwa mtarajiwa wa Kombe la Shirikisho la CAF, USM Alger wameishitaki Yanga kwa shutuma za kuwapulizia hewa isiyo salama katika vyumba vyao vya mapumziko uwanja wa Benjamin Mkapa.
Pia taarifa zingine zinasema USM Algers walitishia kutoendelea na mechi hiyo ya Jumapili iliyopita kutokana na tukio hilo na mengine ya usumbufu na unyanyasaji waliyofanyiwa.
Ikumbukwe hii si mara ya kwanza wala ya pili kwa Yanga kushitakiwa na kulipishwa faini na CAF kwa makosa kama haya.
Ushauri wangu, Yanga kama wanataka kukua na kujijengea heshima kisoka waachane na mambo haya.
Pia taarifa zingine zinasema USM Algers walitishia kutoendelea na mechi hiyo ya Jumapili iliyopita kutokana na tukio hilo na mengine ya usumbufu na unyanyasaji waliyofanyiwa.
Ikumbukwe hii si mara ya kwanza wala ya pili kwa Yanga kushitakiwa na kulipishwa faini na CAF kwa makosa kama haya.
Ushauri wangu, Yanga kama wanataka kukua na kujijengea heshima kisoka waachane na mambo haya.