USM Alger waishitaki Yanga kwa kupuliziwa hewa isiyo salama vyumbani

USM Alger waishitaki Yanga kwa kupuliziwa hewa isiyo salama vyumbani

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Taarifa inayosambaa ni kuwa Klabu Bingwa mtarajiwa wa Kombe la Shirikisho la CAF, USM Alger wameishitaki Yanga kwa shutuma za kuwapulizia hewa isiyo salama katika vyumba vyao vya mapumziko uwanja wa Benjamin Mkapa.

Pia taarifa zingine zinasema USM Algers walitishia kutoendelea na mechi hiyo ya Jumapili iliyopita kutokana na tukio hilo na mengine ya usumbufu na unyanyasaji waliyofanyiwa.

Ikumbukwe hii si mara ya kwanza wala ya pili kwa Yanga kushitakiwa na kulipishwa faini na CAF kwa makosa kama haya.

Ushauri wangu, Yanga kama wanataka kukua na kujijengea heshima kisoka waachane na mambo haya.
 
Screenshot_20230530-115619_Twitter.jpg


Screenshot_20230530-115250_Instagram.jpg
 
Kuna timu ilikuwa inabadilishia jezi koridoni, kufuatia tuhuma za kila timu iliyokuwa inacheza na Simba kulalamika kuwa Simba hupulizia hewa isiyo salama. Je Simba ni kweli mlikuwa mnayafanya hayo? Au mlikuwa mnazingiziwa?
 
Kuna timu ilikuwa inabadilishia jezi koridoni, kufuatia tuhuma za kila timu iliyokuwa inacheza na Simba kulalamika kuwa Simba hupulizia hewa isiyo salama. Je Simba ni kweli mlikuwa mnayafanya hayo? Au mlikuwa mnazingiziwa?
Hizo tuhuma kwa Simba, lakini CAF hawajawahi kutoa adhabu yoyote kwahivyo ilikuwa tuhuma mfu, lakini Yanga wamelalamikiwa na Club African na Rivers na wakatozwa faini, sasa jionee tofauti.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AL HABIB HABIB
 
Kuna timu ilikuwa inabadilishia jezi koridoni, kufuatia tuhuma za kila timu iliyokuwa inacheza na Simba kulalamika kuwa Simba hupulizia hewa isiyo salama. Je Simba ni kweli mlikuwa mnayafanya hayo? Au mlikuwa mnazingiziwa?
Simba haijawahi kupigwa faini kwa kosa hilo wala kushitakiwa
 
Taarifa inayosambaa ni kuwa Klabu Bingwa mtarajiwa wa Kombe la Shirikisho la CAF, USM Alger wameishitaki Yanga kwa shutuma za kuwapulizia hewa isiyo salama katika vyumba vyao vya mapumziko uwanja wa Benjamin Mkapa.

Pia taarifa zingine zinasema USM Algers walitishia kutoendelea na mechi hiyo ya Jumapili iliyopita kutokana na tukio hilo na mengine ya usumbufu na unyanyasaji waliyofanyiwa.

Ikumbukwe hii si mara ya kwanza wala ya pili kwa Yanga kushitakiwa na kulipishwa faini na CAF kwa makosa kama haya.

Ushauri wangu, Yanga kama wanataka kukua na kujijengea heshima kisoka waachane na mambo haya.
Anza wewe kuacha umbea kwanza n unafiki
 
Duuh. Uto kazi wanayo. Waarab wameanza mind games nn?
 
Taarifa inayosambaa ni kuwa Klabu Bingwa mtarajiwa wa Kombe la Shirikisho la CAF, USM Alger wameishitaki Yanga kwa shutuma za kuwapulizia hewa isiyo salama katika vyumba vyao vya mapumziko uwanja wa Benjamin Mkapa.

Pia taarifa zingine zinasema USM Algers walitishia kutoendelea na mechi hiyo ya Jumapili iliyopita kutokana na tukio hilo na mengine ya usumbufu na unyanyasaji waliyofanyiwa.

Ikumbukwe hii si mara ya kwanza wala ya pili kwa Yanga kushitakiwa na kulipishwa faini na CAF kwa makosa kama haya.

Ushauri wangu, Yanga kama wanataka kukua na kujijengea heshima kisoka waachane na mambo haya.
Kama ziko official mezani kwa caf tusubiri tamko. Ila kwangu mimi, naona hii ni mind game ya waarabu, na yanga sc anatakiwa ajiandae kimwili na kisaikolojia kwenye mechi ya marudiano.
 
Back
Top Bottom