inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mashabiki hawacheziHapo hao wajinga wamefanya makusudi ili kuleta hasira kwa Mashabiki wao!!Mbona tunakwenda kukoma huko arabuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki hawacheziHapo hao wajinga wamefanya makusudi ili kuleta hasira kwa Mashabiki wao!!Mbona tunakwenda kukoma huko arabuni
Simba wao ni uchawiSimba haijawahi kupigwa faini kwa kosa hilo wala kushitakiwa
Nyie ni maharamiaSimba wao ni uchawi
Mbumbumbu ni fedheha sana kwa Taifa hili.Taarifa inayosambaa ni kuwa Klabu Bingwa mtarajiwa wa Kombe la Shirikisho la CAF, USM Alger wameishitaki Yanga kwa shutuma za kuwapulizia hewa isiyo salama katika vyumba vyao vya mapumziko uwanja wa Benjamin Mkapa.
Pia taarifa zingine zinasema USM Algers walitishia kutoendelea na mechi hiyo ya Jumapili iliyopita kutokana na tukio hilo na mengine ya usumbufu na unyanyasaji waliyofanyiwa.
Ikumbukwe hii si mara ya kwanza wala ya pili kwa Yanga kushitakiwa na kulipishwa faini na CAF kwa makosa kama haya.
Ushauri wangu, Yanga kama wanataka kukua na kujijengea heshima kisoka waachane na mambo haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na bado wakakandwaaaaaa.Yang'a mnaupiga mwingi...sisi ma wizard kama mnavyotuita tunawacheki tuu tunasema hiiiii......
Kashfa chafu mara ya pili