Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna malecture wanatosha sup kusudi tuSamahanini wapendwa Mimi ni mwanafunzi wa first year chuo kikuu natamani kujua. Njia nzuri au namna nzuri ya kusoma itakayonifanya nipate ufaulu mkubwa.Mfano sekondari tulitumia njia ya kusolve mitiani mingi na maswali mengi je chuo ni njia gani naweza kutumia
Mambo ni moto aloo, inategemea upo chuo gani,(maana kila chuo lazma kuna ka-format cha usomaji kapo) pia Company zako zita-determine namna ya usomaji wako, ukikaa na wazima moto utazima moto tuu kama mimi [emoji854]Samahanini wapendwa Mimi ni mwanafunzi wa first year chuo kikuu natamani kujua. Njia nzuri au namna nzuri ya kusoma itakayonifanya nipate ufaulu mkubwa.Mfano sekondari tulitumia njia ya kusolve mitiani mingi na maswali mengi je chuo ni njia gani naweza kutumia
Nashukuru ntafanyia kaziHakikisha unaelewa kila kinachofundishwa, usipoelewa omba msaada kwa mtu, then jisomee sana peke yako kuliko kufanya discussion. Yani discussion asilimia 25 kujisomea peke yako 75. Then unapojisomea peke yako kuna vitu unaweza usielewe vizuri. Hivyo vitu tafuta mtu na wakati wa discussion ulizia wenzako. Jitahidi pindi unapokuwa na discussion usiwe mpenzi msikilizaji Bali changia mada kadri uwezavyo hii tabia itakujenga zaidi katika kukumbuka vitu unavyovisoma. Ni hayo tu
nimekupa likeVyuo vya Tanzania ni upumbavu tu me nashindwa kuelewa hata tunaposema tuna wasomi tunatumia uzani upi.
Upuuuzi sana.
Sasa anza kujifunza njia za critical thinking(kufikiri kwa umakini) na research(utafiti) sababu chuo hakuna kufundishwa ni lecturer anakuja na topic anajadili chini ya nusu saa halafu anaanza kuwaletea stori zake za maisha yake...Samahanini wapendwa Mimi ni mwanafunzi wa first year chuo kikuu natamani kujua. Njia nzuri au namna nzuri ya kusoma itakayonifanya nipate ufaulu mkubwa.Mfano sekondari tulitumia njia ya kusolve mitiani mingi na maswali mengi je chuo ni njia gani naweza kutumia
Hapo kwenye asilimia hapana aisee! Discussion ina umuhimu sana kwa ufaulu wa chuo!Hakikisha unaelewa kila kinachofundishwa, usipoelewa omba msaada kwa mtu, then jisomee sana peke yako kuliko kufanya discussion. Yani discussion asilimia 25 kujisomea peke yako 75. Then unapojisomea peke yako kuna vitu unaweza usielewe vizuri. Hivyo vitu tafuta mtu na wakati wa discussion ulizia wenzako. Jitahidi pindi unapokuwa na discussion usiwe mpenzi msikilizaji Bali changia mada kadri uwezavyo hii tabia itakujenga zaidi katika kukumbuka vitu unavyovisoma. Ni hayo tu
wanafunzi wanaofaulu sana ni wale wanaotumia muda mwingi kujisomea wenyewe iwe msingi au chuo.Hapo kwenye asilimia hapana aisee! Discussion ina umuhimu sana kwa ufaulu wa chuo!
Nashauri iwe walau 60 kwa 40%!
Huu ndio ukweli discussion hailet maajabu, dogo Soma personnel komaa hasa hizo za diski hadithi tuwanafunzi wanaofaulu sana ni wale wanaotumia muda mwingi kujisomea wenyewe iwe msingi au chuo.
Upo sahihi kabisa mkuu mimi ndo ulikuwa mtindo wangu wa kujisomea mwisho wa siku naondoka na gpa kubwa kuliko walikuwa discussion musa mwingi hadi wananishangaa.Huu ndio ukweli discussion hailet maajabu, dogo Soma personnel komaa hasa hizo za diski hadithi tu
Exactly mkuu.Kujisomea mwenyewe kuna faida kubwa sana kuliko discussion ambapo wengi wao wanaenda si kwa lengo hasa la discussion.wanafunzi wanaofaulu sana ni wale wanaotumia muda mwingi kujisomea wenyewe iwe msingi au chuo.
kweli mkuu, ili nimeprove kabisa, kuna siku moja nilienda kwenye discussion tukaanza kupitia past paper(simbi) maswali mengi wadau wakawa wanafunua notes kutafuta majibu. Basi toka siku hiyo niliwashauri kabla ya kuja kudiscuss basi ni muhimu kusoma kwanza. Na sikurudi tena kwenye discussion.Huu ndio ukweli discussion hailet maajabu, dogo Soma personnel komaa hasa hizo za diski hadithi tu