Sikubaliani na hizi kamba,PhD ya cannon law ni miaka miwili,na siyo traditional doctorate as many people think arround here!!...na kuhusu heshima ya vyuo vya kikatoliki,hiyo inategemea.....ni vyuo ambavyo vimestick to medieval era system na kwa mfano Gregory Mendel hana doctorate ila mwanasayansi asiyemjua ni mbumbumbu,however tusisahau kuwa ni catholic church ambao walitaka kumuua Galileo kwa kusema dunia ni duara......so you be the judge.Inaonekana kabisa mwandikaji ni mshamba wa elimu elimu inaenda kwa credit Hours na kama hujui hii ni nini basi usirukie mambo.
Cha kujiuliza ni miaka mingapi Dr Slaa kasoma baada ya kidato cha sita? kwani ukifanya hivyo ndiyo utaelewa maana kila Darasa unalochukua ni credit Hrs na kuchukua Degree za juu inaelekea elimu yako ya kabla ni kubwa kiasi gani. Mfano mimi nilivyokuja kusoma Marekani nilipewa Credit Hrs 29 za History, Economics na Geology kwasababu nilichukua HGE A-Level. Hivyo kwenye Degree program yangu ya Credi Hrs 134 nilipewa 29 Hrs kabla hata ya kuanza chuo!. Dr Slaa alikuwa na Credit Hrs nyingi wakati anasoma kwenye Vyuo vya Theology hivyo alikuwa kashachukua masaa mengi yanayohitajika kwa PHD. Kwenye PHD za miaka minne miaka mitatu ni ya Darasani na unachukua madarasa na mwaka mmoja ni wa Research ambayo kwa watu wengine wanashidwa research na wanachukua madarasa tu. Hivyo Dr slaa alikuwa tayari na madarasa mengi hivyo hakuwa ha haja ya kusoma miaka mitatu hivyo kasoma kidogo na kufanya Research ya PHD. Lakini ukiangalia miaka mingapi katumia kusoma kuanzia Form 6 ni sawa na bongo tu. Bongo (3-Chuo, 1- Master na 4 PHD) Dr Slaa katumia miaka zaidi ya 8 iliyopo hapa.
Ni phd ya ukweli sababu amekaa darasani, haja foji ndugu.phd yake ina heshimika dunia nzima kama huamini baki na kukariri kwako mifumo ya elimu.Niliwahi kuleta thread ikihoji elimu ya Slaa, wanamgambo wakaitia kapuni! Tatizo ni jinsi nyinyi wanamgambo mnavyoipaisha hiyo elimu ya Slaa, wakati kimsingi ina kasoro nyingi na magumashi kibao! Kama mngeichukulia kawaida hakuna mtu ange-scrutinize, ila label mnazompa Slaa ndizo zinawaponza! Dr Ph D wa ukweli...............wapi!
Mheshimiwa,naomba kujua kirefu cha PHD,na kwa nini unasema Dr.SLAA elimu yake haina kiwango?na huku anaitwa Dr?
Naheshimu maoni yako ila ile Phd kamili na linganifu na nyingine zote wala hilo si la hata kubabaisha mkuu.Sikubaliani na hizi kamba,PhD ya cannon law ni miaka miwili,na siyo traditional doctorate as many people think arround here!!...na kuhusu heshima ya vyuo vya kikatoliki,hiyo inategemea.....ni vyuo ambavyo vimestick to medieval era system na kwa mfano Gregory Mendel hana doctorate ila mwanasayansi asiyemjua ni mbumbumbu,however tusisahau kuwa ni catholic church ambao walitaka kumuua Galileo kwa kusema dunia ni duara......so you be the judge.
MY VIEW
Hana Phd
u always vomit shit, go to hell.
Tunajua mmetumwa,mnapambana na wanaosimamia haki hamtashinda ndugu.hamuwezi kumchafua Dr slaa mmeshazunguka sana mmeshindwa.Dr slaa phd yake anaitumia kwa raia na wanamuelewa,hizo zenu za kununuliwa hadi familia nzima zinasaidia nini? Dr slaa Phd ya ukweli hutaki hata mawe yatasema!The facts are vivid clear that CDM together with their leaders who are filibusters have nothing impeccable to offer at the table to the public, inter-alia, they are just mindless obstructionists who are trying to limit JK and CCM.