Kwa kuwa kanuni za bunge zinamtaja kuwa endapo spika atajiuzuru yeye anakuwa kaimu spika,hivyo basi zuio hilo linamuhusu bila chenga.Mimi naona hili suala limeangaliwa upande mmoja..Mimi naona tulia Yuko sahihi coz amegombea ndani ya chama na si bungeni..jina lake likipitishwa na kumpelekea bungeni kule atakutana na wagombea wengine hapo ndio katiba itafanya kazi..na ndio hapo ataresign...yeye kaonyesha kutaka kugombea nje ya bunge..sio ndani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapana, usianze na absence ya Tulia. Anza na absence ya Ndugai. Kifungu kinachotumika hapa mahsusi (specifically) ni - Kf. 41 (1) (a) tayari nafasi ya Spika ni Vacant - automatically Tulia amekalia kiti cha Spika kwa muda (Amekaimu) akisubiri nafasi hiyo ijazwe. Hivyo kwa sasa yeye ana mamlaka ya Spika (Tulia amekuwa Kaimu Spika). Kwa nafasi yake ya uKaimu spika tayari inamkosesha vigezo vya kugombea uspika kwa kuwa Katiba imekataza mtu mwenye madaraka kugombea nafasi hiyo.Kwa maana hiyo, Tulia atakuwa absent, na powers zake zitapewa kwa muda kwa waliotajwa hapo, na atakaporudi ataendelea kama kawaida. Kuwa absent haimaanishi kiti kuwa vacant, ila kiti kuwa vacant inamaanisha automatically anayekikalia kuwa yupo absent
Mjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo Dk. Tulia ana sifa au la za kugombea nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge (Na. 3 ya 1988) hususani kifungu cha 41 (1&2), Dk. Tulia kwa sasa ni Kaimu Spika wa Bunge mpaka pale kiti cha Spika kitakapojazwa. Ibara ya 84 (2) ya Katiba ya JMT inaeleza kuwa mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yaliyotajwa na Sheria ya Bunge, hana sifa za kugombea uspika. Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge inamtaja Dk. Tulia kwa sasa kuwa ni Kaimu Spika, hii ni ofisi/madaraka na imetajwa na Sheria ya Bunge. Dk. Tulia hana sifa za kugombea uspika, asijidanganye kuwa Ibara ya 84 (2) haijamtaja, asome Sheria namba ya 1988 aone kuwa kwa cheo chake cha Kaimu Spika amezuiwa kugombea uSpika. HANA SIFA
View attachment 2079266
Tunafukuza chawaa, chawaa...Naona wapinzani wa Tulia wanahangaika kwa kila sarakasi.
Kwani mnaogopa nini? Kamatia hapo hapo Tulia.
Kwani na wewe madenge huwa unajua lolote mimi naonaga upoupo tu kama nyumbu wa serengeti amabao hufuta mkumbo au ndiyo sarakasi za ufipani
Afadhali kuna kitu kama hiki..japo hakupenda kabisa kijulikane kwa wengineMjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo Dk. Tulia ana sifa au la za kugombea nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge (Na. 3 ya 1988) hususani kifungu cha 41 (1&2), Dk. Tulia kwa sasa ni Kaimu Spika wa Bunge mpaka pale kiti cha Spika kitakapojazwa. Ibara ya 84 (2) ya Katiba ya JMT inaeleza kuwa mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yaliyotajwa na Sheria ya Bunge, hana sifa za kugombea uspika. Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge inamtaja Dk. Tulia kwa sasa kuwa ni Kaimu Spika, hii ni ofisi/madaraka na imetajwa na Sheria ya Bunge. Dk. Tulia hana sifa za kugombea uspika, asijidanganye kuwa Ibara ya 84 (2) haijamtaja, asome Sheria namba ya 1988 aone kuwa kwa cheo chake cha Kaimu Spika amezuiwa kugombea uSpika. HANA SIFA
View attachment 2079266
Kunywa maji mkuuKwani na wewe madenge huwa unajua lolote mimi naonaga upoupo tu kama nyumbu wa serengeti amabao hufuta mkumbo au ndiyo sarakasi za ufipani
Tunahitaji katiba mpya.. maana hii inakanyagwa sanaBaada tuu ya Spika kujiuzulu, automaticaly Naibu Spika anakuwa kaimu Spika, hivyo kifungu hicho kina mhusu
p
Kwa sasa Tulia ni Deputy Speaker (naibu Spika) na acting Speaker (kaimu Spika), wala sio Speaker. Angekuwa Speaker kusingekuwapo zoezi la kumtafuta Speaker tena !Hapana, usianze na absence ya Tulia. Anza na absence ya Ndugai. Kifungu kinachotumika hapa mahsusi (specifically) ni - Kf. 41 (1) (a) tayari nafasi ya Spika ni Vacant - automatically Tulia amekalia kiti cha Spika kwa muda (Amekaimu) akisubiri nafasi hiyo ijazwe. Hivyo kwa sasa yeye ana mamlaka ya Spika (Tulia amekuwa Kaimu Spika). Kwa nafasi yake ya uKaimu spika tayari inamkosesha vigezo vya kugombea uspika kwa kuwa Katiba imekataza mtu mwenye madaraka kugombea nafasi hiyo.
Kumbe Hadi maslahi Kwa Sasa analamba ya Spika?Baada tuu ya Spika kujiuzulu, automaticaly Naibu Spika anakuwa kaimu Spika, hivyo kifungu hicho kina mhusu
p
Naona wapinzani wa Tulia wanahangaika kwa kila sarakasi.
Kwani mnaogopa nini? Kamatia hapo hapo Tulia.
Napata shida na hiki watu walichokikomalia kwa Tulia,
Huu mchakato unaoendelea ni wa kichama (Maccm) yanapambana kupata mgombea watakaye mdhamini. Kwa vyovyote mpaka muda huu Tulia anazo sifa kama mwanachama yeyote lakini ikitokea ccm wameteua jina la Tulia awe mgombea wao wa kiti Cha Uspika ni lazima Tulia ajiuzulu unaibu Spika ndipo apate sifa ya kuchukua fomu ya kuwa mgombea rasmi.
Sijui kinachowaumiza watu kuhusu Tulia mpaka hapo.
Watu hawatak kufuata katibaMjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo Dk. Tulia ana sifa au la za kugombea nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge (Na. 3 ya 1988) hususani kifungu cha 41 (1&2), Dk. Tulia kwa sasa ni Kaimu Spika wa Bunge mpaka pale kiti cha Spika kitakapojazwa. Ibara ya 84 (2) ya Katiba ya JMT inaeleza kuwa mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yaliyotajwa na Sheria ya Bunge, hana sifa za kugombea uspika.
Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge inamtaja Dk. Tulia kwa sasa kuwa ni Kaimu Spika, hii ni ofisi/madaraka na imetajwa na Sheria ya Bunge. Dk. Tulia hana sifa za kugombea uspika, asijidanganye kuwa Ibara ya 84 (2) haijamtaja, asome Sheria namba ya 1988 aone kuwa kwa cheo chake cha Kaimu Spika amezuiwa kugombea uSpika. HANA SIFA
View attachment 2079266
Issue kubwa iliyopo ni kama Tulia ana sifa ya kutia Nia kwenye Uspika ndani ya Chama au Hana. Hili ndilo linatusumbua wengi.Watu wanataka mtu mpya. Sio damu ya zamani ya kunguni.