Ustaarabu na unyenyekevu utakusaidia siku ambayo akili yako imeshindwa kutafuta ufumbuzi wa tatizo lako

Ustaarabu na unyenyekevu utakusaidia siku ambayo akili yako imeshindwa kutafuta ufumbuzi wa tatizo lako

Sidhani kama wewe unaweza kumtolea mtu maneno machafu au kumtusi.

Hii ni tabia ina watu wake.
Haipendez japo kunawakat tunazidiwa na hasira nakumbuka mtaani kwetu enzi hizo kunamtu aliwahi mtolea maneno machafu jirani aliyekuwa anaugua Kwa muda mrefu kidogo baada ya kukwazana alidhoofika sana kama ujuavyo kwenye ugomvi hauchagui solaha aliktukana na kumtokea kauli chafu juu ya haliyake.

Baada ya muda mambo yakageuka alietukanwa akapona mtukanaji baada ya muda aliujua alivopima alakutwa na HIV pamoja na Figo moja kufeli kabisa wakat huo alikuwa mjamzito akajifungua Kwa opresheni kikonda kile kilimtesa mno
 
Jamaa mmoja alikuwa anawahi kwenye usaili alioitwa kwa ajili ya kazi aliyoomba. Akiwa katika harakati na purukushani za usafiri wa daladala, kwa bahati mbaya mama mmoja wa makamo alimkanyaga kidogo kwenye kiatu chake kilichong'arishwa vizuri, ili aonekane 'smart' na kumuongezea...
Nilijua tu mwisho wa story utakuwaje😁
 
Back
Top Bottom