Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini usipige wewe nakumwambia umekosea🤔Km amenipigia muhusika kuomba arudishiwe, bas nitarudisha,
Ila akikaa kimyaa, mie ntaiacha week 2, zikipita natumia km kawaida.
Nice, hata me nasupport hivi 🤝Km amenipigia muhusika kuomba arudishiwe, bas nitarudisha,
Ila akikaa kimyaa, mie ntaiacha week 2, zikipita natumia km kawaida.
Wizi wqkat sina hela, mungu akikupa hatumi baruaHuo ni wizi sasa
Yanini kukakaa na mawazo au kujipa stress ndio maana mnapata matatizo ya afya ya akili wili mbili unaifikilia hela ya mtu?Km amenipigia muhusika kuomba arudishiwe, bas nitarudisha,
Ila akikaa kimyaa, mie ntaiacha week 2, zikipita natumia km kawaida.
Unasapoti wizi wa kusikilizia alie ibiwa😆😆Nice, hata me nasupport hivi 🤝
100% 👍Nimewahi kula 3K ya MTU it was wrong transaction
But I had different level of consciousness , so for now I can't do this shit anymore
Kanipa hela ya tofali😂😂😂😂 amesaidia kulipa madeni sio😂😂😂
hapo akili yako...Mungu kazi yake imeisha yan akinyima huku anatoa kuleYan hyo ni zali umepata au inatakiwa urudishe?
Kitu ambacho sio halali yako huo ni wiziWizi wqkat sina hela, mungu akikupa hatumi barua
Yah: Kukupa riziki yako ndugu min me
Mimi Kuna siku ilitumwa kimakosa laki saba ikabidi niirudishe Kwa namba iliyotuma pasipo kunipigia mhusika.baada ya mu kutumia mhusika akanipigia kushukuru na akasema anipe laki kama shukrani nikwamwambia aache kunirudishia chochote maana hiyo ilikuwa ni Bahati mbaya
Kuna ka hekima ka usikiliziaji kametumika apo mkuu 😂😂Unasapoti wizi wa kusikilizia alie ibiwa😆😆
Wewe ni MAFIA 😂😂Yanini kukakaa na mawazo au kujipa stress ndio maana mnapata matatizo ya afya ya akili wili mbili unaifikilia hela ya mtu?
Wewe ni tajiri mwanangu sie wa vipato vya laki tunaishi na ganji yetu mapema sana atapa lakini siyo atakayotakaMimi Kuna siku ilitumwa kimakosa laki saba ikabidi niirudishe Kwa namba iliyotuma pasipo kunipigia mhusika.baada ya mu kutumia mhusika akanipigia kushukuru na akasema anipe laki kama shukrani nikwamwambia aache kunirudishia chochote maana hiyo ilikuwa ni Bahati mbaya
Najuajee? Je km amenitumia mie kwa makusudii? Yeye ndo anatakiwa atoe taarifa kwangu, na sio mie.Kwa nini usipige wewe nakumwambia umekosea[emoji848]
Ndo maana ake.Nice, hata me nasupport hivi [emoji1666]
Mfano ni kikongwe asie jua kitu kuhusu mitandao ?Najuajee? Je km amenitumia mie kwa makusudii? Yeye ndo anatakiwa atoe taarifa kwangu, na sio mie.