Mimi Kuna pesa ilitumwa kimakosa ya mama mmoja wa lindi huko anatumia mtoto wake wa kike (mwanafunzi) Hela ya michango fln ya shule.
Hadi siku2 sijapigiwa simu na badae Nami nikatumiwa Hela kama 7000 Hivi nauli kutoka hapo nilipo niende mjini Bahati mbaya kipindi natoa sikuangalia Makato ikawa imekatwa Hela ya mama kama 200+ Hivi hivo ikawa imepungua Nami kipindi hicho Sina Hela hata mia mbovu ndo nimetoka veta somewhere..
Kwenyesaa12 nimefika mjini nikapigiwa simu na yule mama akajieleza sana nikamwambia nikweli niliona mama na Hela Yako ipo japo itapelea kidogo maana Nami nilitumiwa na mtu katika kutoa nikawa nimetoa na Hela Yako inapelea 200 na seti kadhaa.
Yule mama alifurahi sana ukumbuke kipindi kile anapiga alikuwa anataka kulia ananiomba kajieleza mnokuwa ni mjane na yule anamsomesha yeye....
Tukakubaliana nae kuwa nirudishe iliyopo nikamuomba naomba hiyo no nitume Moja Kwa Moja Kwa mhusika maana ikirudi itazidi kupungua.
Mama akanitajia Ile no nikaituma nilituma Moja Kwa Moja Kwa mwalimu yule bint alikuwa andvance.
Yule ticha akaniambia ubarikiwe sana kijana nayajua maisha ya huyu mama na binti huyu Yani umefanya kitu Cha maana mno!!
Badae mama ane nikampigia kumwambia Tyr na binti nimeongea nae ameipata yule mama alifurahi sana huwezi amini yule binti nilipewa😆😆
Japo sikuwahi hata kuja kuonana nae Hadi Leo. Tuliendelea kuwa na mawasiliano na mama Hadi binti yake aliporudi ndipo nikamwambia mama ameniambia nikuone asee hajakuambia huko?
Akacheka akasema Tena anasema Kila siku nikamwambia soma ipi siku tutaonana.
Mwisho wa yte jiwe ndo alinisababishia nikakoswa mke Kwa kufungia laini yangu kisa sikuwa na nida!!! Ila mwisho wa mawasiliano yetu.
Nilichojifunza hata iku Moja usile Hela ya kukoswa kutumwa acha hata kama una njaa kiasi Gani!!
Kuna ingine crdb walijichanganya badala ya kuniwekea m8 na laki1 wakaweka m81 pesa iliingia saa4 Hadi saa9 nikaendapo kuwaambia nikamkuta mhusika wamembana.
Bahati nzuri hata hiyo saa9 nilienda kuweka Hela cash maana nilikuwa wakala Tena nime ajiriwa tu kusimamia.
Baada ya kufika tu nikamwambia Hela mmeiwela kwangu kimakosa irudisheni haijatumika.
Nikawambia Mimi boss wangu Huwa ananiwekea Hela zake badae anazitoa pia (kuzipoza kabla ya kuanza kuweka float) hivyo nilijua ni yeye na sikumpigia simu nilikuwa busy.
Demu alinirukia kama mwehu akiwa na furaha kuu mnoo
Yule demu alikuwa anasema alikagua Kila slp lakni hakuona kosa alilolifanya ..
Tena wanasema hela ya mama ntilie ndo laana kali mtu anakukuruka sa 10 kuanza kupika unakimbia na buku jero yake