Uswizi yatangaza kuzuia zaidi ya Tsh. Trilioni 350 za Warusi

Uswizi yatangaza kuzuia zaidi ya Tsh. Trilioni 350 za Warusi

Huu mgogoro wa Urussi Ukrane utaifanya Dunia ibadilike sana.

Tuombee tu Urussi ashinde hii operation,mambo na mitazamo mingi sana itabadilika.
Hofu yangu ni kuwa, Russia akizidiwa kete anaweza akanyanyua ICBMs zake.
 
Hofu yangu ni kuwa, Russia akizidiwa kete anaweza akanyanyua ICBMs zake.

Hii vita Ukrane ametolewa kafara tu, ndio maana husikii Marekani akisema mazungumzo ya amani zaidi ya kuahidi misaada ya silaha tu kwa Ukrane.

Bila Marekani kutoa kauli ya amani, Ukrane inaenda kuwa majivu. Na kauli ya Marekani hawezi kuitoa sababu itaonekana Urusi ndio mshindi.

Hapa inahitajika busara na akili za kujiongeza za Rais wa Ukrane kumaliza huu mgogoro.
 
Hii vita Ukrane ametolewa kafara tu, ndio maana husikii Marekani akisema mazungumzo ya amani zaidi ya kuahidi misaada ya silaha tu kwa Ukrane.

Bila Marekani kutoa kauli ya amani, Ukrane inaenda kuwa majivu. Na kauli ya Marekani hawezi kuitoa sababu itaonekana Urusi ndio mshindi.

Hapa inahitajika busara na akili za kujiongeza za Rais wa Ukrane kumaliza huu mgogoro.
Mkuu, sio kwamba hapa target ni kumwondoa putin? Yaan putin avamie Ukraine, akishavamia atakutana na vikwazo, vikwazo vitamfanya awe masikini ili wananchi wake waondoe imani kwake?

Ni kweli mkuu, Intelligence ya Ukraine ni weak kiasi wasitambue kama wanatumika kama chambo? Au kuna mahala nao wamebanwa na US?
 

Mzozo wa Urusi na Ukraine: Sheria tata ya Putin ya kutorudisha zaidi ya ndege 500 za kibiashara kwa nchi za Magharibi​

17 Machi 2022
avion


Urusi inalipiza dhidi ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi.
Rais Vladimir Putin alitia saini sheria Jumanne kuzuia makampuni ya kigeni yaliyokodisha ndege zao kutoka Urusi kuzichukua tena.
Uamuzi huo umekuja baada ya makampuni kadhaa kuitaka Moscow kurudisha ndege walizokodi, ikiwa ni sehemu ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi baada ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Na ni kwamba karibu 75% ya ndege zinazotumiwa na mashirika ya ndege ya Kirusi hukodishwa, kulingana na data rasmi, kwa jumla ya ndege 515 zenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani milioni 10,000. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
VIVA PUTIN [emoji122][emoji122][emoji122][emoji4][emoji4]
 
....And the sanctions lifting will be linked to the stepping down of Putin as the Russian president and the Russian government's pledge to pay the war reparations to Ukraine.

It will surely be a tall order for the east European country.
POLE kama uko ndotoni amka
 

Mzozo wa Urusi na Ukraine: Sheria tata ya Putin ya kutorudisha zaidi ya ndege 500 za kibiashara kwa nchi za Magharibi​

17 Machi 2022
avion


Urusi inalipiza dhidi ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi.
Rais Vladimir Putin alitia saini sheria Jumanne kuzuia makampuni ya kigeni yaliyokodisha ndege zao kutoka Urusi kuzichukua tena.
Uamuzi huo umekuja baada ya makampuni kadhaa kuitaka Moscow kurudisha ndege walizokodi, ikiwa ni sehemu ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi baada ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Na ni kwamba karibu 75% ya ndege zinazotumiwa na mashirika ya ndege ya Kirusi hukodishwa, kulingana na data rasmi, kwa jumla ya ndege 515 zenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani milioni 10,000. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu baadae vipuri za hizo ndege watavipata wapi?
 
Putin akachukue mali za taifa zilizoporwa, alianzishe na wote waliojimilikisha mali zake
 
Back
Top Bottom