Hofu yangu ni kuwa, Russia akizidiwa kete anaweza akanyanyua ICBMs zake.Huu mgogoro wa Urussi Ukrane utaifanya Dunia ibadilike sana.
Tuombee tu Urussi ashinde hii operation,mambo na mitazamo mingi sana itabadilika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu yangu ni kuwa, Russia akizidiwa kete anaweza akanyanyua ICBMs zake.Huu mgogoro wa Urussi Ukrane utaifanya Dunia ibadilike sana.
Tuombee tu Urussi ashinde hii operation,mambo na mitazamo mingi sana itabadilika.
Hofu yangu ni kuwa, Russia akizidiwa kete anaweza akanyanyua ICBMs zake.
Mkuu, sio kwamba hapa target ni kumwondoa putin? Yaan putin avamie Ukraine, akishavamia atakutana na vikwazo, vikwazo vitamfanya awe masikini ili wananchi wake waondoe imani kwake?Hii vita Ukrane ametolewa kafara tu, ndio maana husikii Marekani akisema mazungumzo ya amani zaidi ya kuahidi misaada ya silaha tu kwa Ukrane.
Bila Marekani kutoa kauli ya amani, Ukrane inaenda kuwa majivu. Na kauli ya Marekani hawezi kuitoa sababu itaonekana Urusi ndio mshindi.
Hapa inahitajika busara na akili za kujiongeza za Rais wa Ukrane kumaliza huu mgogoro.
VIVA PUTIN [emoji122][emoji122][emoji122][emoji4][emoji4]Mzozo wa Urusi na Ukraine: Sheria tata ya Putin ya kutorudisha zaidi ya ndege 500 za kibiashara kwa nchi za Magharibi
17 Machi 2022
![]()
Urusi inalipiza dhidi ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi.
Rais Vladimir Putin alitia saini sheria Jumanne kuzuia makampuni ya kigeni yaliyokodisha ndege zao kutoka Urusi kuzichukua tena.
Uamuzi huo umekuja baada ya makampuni kadhaa kuitaka Moscow kurudisha ndege walizokodi, ikiwa ni sehemu ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi baada ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Na ni kwamba karibu 75% ya ndege zinazotumiwa na mashirika ya ndege ya Kirusi hukodishwa, kulingana na data rasmi, kwa jumla ya ndege 515 zenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani milioni 10,000. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kusoma hujui MKUU?Putin anajifanya mzalendo kumbe kaficha pesa nchi za watu!?
Dunia haijawahi na haitakuja kuwahi tena kushuhudia mzalendo zaidi ya PUTINMuhunii tuu yule hana uzalendo wowote
POLE kama uko ndotoni amka....And the sanctions lifting will be linked to the stepping down of Putin as the Russian president and the Russian government's pledge to pay the war reparations to Ukraine.
It will surely be a tall order for the east European country.
RUSSIA sio ZIMBABWEAsiporudisha mali za Urusi nje ya nchi zitakamatwa, mwisho wa siku hizo ndege Urusi hataweza pata spares
Huyo ni jiwe,Hakuna Mzalendo mbele ya Pesa jiwe kaacha makontena ya dola kwa family yake.
Sikuachiwa chochote but Alhamdulilah ninacho cha kuwaachia wanangu.Huyo ni jiwe,
Wewe wazazi wako watakuachia laana tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Halafu waje waweke hela zao wapi,Tanzania au China?Wanajiingiza vitani ... watajuta kesho .. vita vitaisha na nchi zilizoona ujinga zitajitoa uswese... biashara ya benki inatanuka
Halafu baadae vipuri za hizo ndege watavipata wapi?Mzozo wa Urusi na Ukraine: Sheria tata ya Putin ya kutorudisha zaidi ya ndege 500 za kibiashara kwa nchi za Magharibi
17 Machi 2022
![]()
Urusi inalipiza dhidi ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi.
Rais Vladimir Putin alitia saini sheria Jumanne kuzuia makampuni ya kigeni yaliyokodisha ndege zao kutoka Urusi kuzichukua tena.
Uamuzi huo umekuja baada ya makampuni kadhaa kuitaka Moscow kurudisha ndege walizokodi, ikiwa ni sehemu ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi baada ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Na ni kwamba karibu 75% ya ndege zinazotumiwa na mashirika ya ndege ya Kirusi hukodishwa, kulingana na data rasmi, kwa jumla ya ndege 515 zenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani milioni 10,000. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani anazo yeye mwenyewe?Hofu yangu ni kuwa, Russia akizidiwa kete anaweza akanyanyua ICBMs zake.
Watakwambia Russia sio ZimbabweHalafu baadae vipuri za hizo ndege watavipata wapi?
Putin anajifanya mzalendo kumbe kaficha pesa nchi za watu!?
Kuna sehemu nimesoma taarifa zake aissee jamaa ana utajiri wa ajabu...yaani kajilimbikizia balaaaPutin anajifanya mzalendo kumbe kaficha pesa nchi za watu!?
Hizi nchi zilizokuwa za kijamaa zina mambo mengi ya hovyo, ni aheri ujaama wenyewe ulijifia tu.Kuna sehemu nimesoma taarifa zake aissee jamaa ana utajiri wa ajabu...yaani kajilimbikizia balaaa
wanajifanya wanakataa ubepari number nao want humohumoHizi nchi zilizokuwa za kijamaa zina mambo mengi ya hovyo, ni aheri ujaama wenyewe ulijifia tu.