Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
- Thread starter
-
- #21
Watu walitabiri wajinga watakuja 1979Hivi tatizo la wajinga wengi tanzania waliosoma na walioko maofisini ni tatizo la waalimu waliowafundisha au tatizo la mfumo wa elimu tuliourithi kutoka kwa wakoloni?
Mleta mada Ameuliza kama hiyo ndoto imetimia? Mi naona imetimia kwa yanayoendelea. Hii ni mada pana sanaUmetoa mada nzuri sana mkuu, tatizo itakua diluted na vihiyo ambao ndio wengi humu, yes UPE ulikua mpango maalum ili wajinga na wapumbavu wawe wengi, royal families watoto wao hakusoma chini ya sera hii ya UPE, miaka michache iliyopita kukaletwa shule za sekondari za kata, hizi nazo zimetuletea wapumbavu zaidi, aliyeanzisha hili hata kitukuu chake hakijasoma huko, President Mugabe pamoja na ushenzi wake ulioua uchumi wa Zimbabwe, education systems aliyoirithi hakuigusa ndio maana hadi leo wazimbabwe ni hot cake kielimu, President Kagame kafuata waalimu Zimbabwe katuluka sisi, UK hadi leo wazimbabwe (nurse's)wanapewa working visa kirahisi, hapa tuna Doctors wapo mitaani!wanakimbiza viajira uchwara
Sasa wewe ndio umenielewa wengine wana mihemko tuMleta mada Ameuliza kama hiyo ndoto imetimia? Mi naona imetimia kwa yanayoendelea. Hii ni mada pana sana
Kusoma ni jambo moja na akili nzuri ni jingine.Je hili ndio Taifa la wajinga lililotabiriwa mwaka 1977 wakati walipoanzisha sera ya Elimu ya Universal Primary Education UPE?
Katika sera ya nchi ya kutoa elimu kwa wote. Serikali ilipanga kutoa elimu kwa watanzania wote bila ubaguzi wowote. Serikali ilikuja na mpango elimu ya msingi iwe ni razima kwa kila mtanzania.
Katika Bunge la wakati ule viligubikwa na wasomi wachache sana.
Wapinzani wa sera kipindi kile walionekana mwiba sana kwa Serikali.
Wasomi wengi walishauri kuajiri waalimu kutoka nchi ya Kenya na nchi kama uingereza na mataifa mengine Walikuwa tayari kutoa waalimu. Ili kufanikisha mpango huu.
Hatimaye Bunge likaja na mpango wa UPE (Universal Primary Education) yaani wahitimu failure wa elimu ya msingi kwenda kuwafundisha wenzao.
Wasomi chuo kikuu cha Dar es salaam waligomea huu mpango kabisa. Sababu ilikuwa Tanzania inatengeneza Taifa la watu wajinga sana.
Sasa hivi wale walioanza kufundishwa na walimu wa UPE wanamiaka 50 mpaka 55. Je Taifa letu ni la watu wenye akili ama wajinga kama ilivyotabiriwa?
Hii mada ni tathimini tuHiii mada ningewapa tips za kutosha sema wengi humu ni zao la UPE mtaanza kunishambulia tu bora nikae Kimya!
Acha uzwazwa newton, Einstein ,bronsted wanajua kuandika huo upuuziUkitaka kuharibu future ya taifa lolote duniani huna haja ya kutumia bunduki au mabomu ya maangamizi Cha kufanya chezea mfumo wa elimu na mwisho utakuja kuona matokeo yake miongo kadhaa ni ajabu unakutana na kijana kahitimu kidato Cha Nne na kupata Cheti alafu hajui kuandika Insha sasa unajiuliza alifaulu vipi?
Hayo ni maandishi yapo chuo kikuu cha cape townAcha uzwazwa newton, Einstein ,bronsted wanajua kuandika huo upuuzi
Kuku zengera kunya kalaleJamani UPE ndio chanzo cha huu ujinga wetu ....99% hatujakomboka elimu ya kukariri
Sasa wanafeli vipi wakati matokeo ya advance zaidi ya wanafunzi 50000 wamepata daraja la kwanza!?Tafiti ni rahisi sana. Tatizo wanafunzi hawafundishi kufikiri mwalimu wao wa UPE anawakalilisha imetoka hiyo. Ndio maana wanafunzi wanashindwa kukariri wanafeli
Sasa si wanasahihishwa na wajinga wajinga waliyotabiriwa. Zamani kufaulu ilikuwa kugumu sanaSasa wanafeli vipi wakati matokeo ya advance zaidi ya wanafunzi 50000 wamepata daraja la kwanza!?
Kwa mtazamo wako huyu mwalimu akifahamu logarithm ataweza kuwafaulisha wanafunzi wake wote????? (Shule ya kata iwe mfano)Hivi mwalimu ambae hajui logarithm anaweza kumfundisha mwanafunzi ajue vizuri kabisa.
Kuna muda wa form four failure walienda kufundisha wenzao pia wa form six walienda kufundisha wenzaoNlifundishwa na walimu wa UPE baonana naye 1 saiz ni mkuu wa shulu ya msingi nawakumbuka2 mmoja alishastaaf na meingine still ni mwalimu. Aliyestaf alinifundisha chekechea na darasa la kwanza na la pili.
Huyu alikuwa ni best teacher sijawahiona katika maisha yangu. Na katika walimu nlifurahi kufundisha nao toka nimeanza kusoma ni huyu mwalimu.
Wa 2 huyu bado inservice huyu yeye alinifundisha darasa la 3 hadi la 7 hesabu huyu naye ni kati ya walimu wazuri kupata kutokea katika maisha yangu.
Wapo wengine wa UPE walinifundisha ila siwezi wasemea kwa sababu walikuwa wa kawaida sana.
Walimu wa sasa hivi tunawaona wanatoa hadi vijanaa hawajui kusoma na kuandika wanafika hadi form4 ila zaman hueziona kitu kama hicho
Je Taifa la Sasa ni la watu wenye akili au wajingaNlifundishwa na walimu wa UPE baonana naye 1 saiz ni mkuu wa shulu ya msingi nawakumbuka2 mmoja alishastaaf na meingine still ni mwalimu. Aliyestaf alinifundisha chekechea na darasa la kwanza na la pili.
Huyu alikuwa ni best teacher sijawahiona katika maisha yangu. Na katika walimu nlifurahi kufundisha nao toka nimeanza kusoma ni huyu mwalimu.
Wa 2 huyu bado inservice huyu yeye alinifundisha darasa la 3 hadi la 7 hesabu huyu naye ni kati ya walimu wazuri kupata kutokea katika maisha yangu.
Wapo wengine wa UPE walinifundisha ila siwezi wasemea kwa sababu walikuwa wa kawaida sana.
Walimu wa sasa hivi tunawaona wanatoa hadi vijanaa hawajui kusoma na kuandika wanafika hadi form4 ila zaman hueziona kitu kama hicho
Tatizo halikuwa failures wa darasa la saba tu. Ualimu ni profession kama profession nyingine yoyote ile. Hao walimu wa UPE hawakupata training hata sekunde moja. Mbaya zaidi wengi wao wakapewa kufundisha wanafunzi wa darasa la kwanza which was worse. Kibaya zaidi idadiKwa mtazamo wako huyu mwalimu akifahamu logarithm ataweza kuwafaulisha wanafunzi wake wote????? (Shule ya kata iwe mfano)
Mfano wewe huo ufaulu wako unahisi unaweza ukawaambukiza wanafunzi wako wote???????
Usiendeshwe na hisia, papara,mhemko,hasira n.k unapojibu!!!!!!!!!!!!! Picha pana inatakiwa.
Sasa unazani Newton aliandikaje Kitabu kilichoitwa" Philosophia Naturalis Principia Mathematica"Acha uzwazwa newton, Einstein ,bronsted wanajua kuandika huo upuuzi
Ndugu, unaweza kuthibitisha hiki???? Usifuate mkumbo, kama hujui kitu jaribu kuuliza,kudadisi na kujifunza!!!!!!!!!!!!!!Hao walimu wa UPE hawakupata training hata sekunde moja.
DuhSamahani mleta mada, naomba unipe uhusiano wa wewe kufaulu na uhusiano wa kumfaulisha mwingine kwa kiwango kilekile. Namaanisha hivi:
Wewe umepata daraja la kwanza, kwa maana hiyo ukiwa mwalimu utakuja kuwafaulisha wanafunzi wako kwa kiwango kama chako!!!!!!!!!!
Namaanisha hivi tena:
Walimu wanaoajiriwa wawe wamepata ufaulu mzuri wa daraja la kwanza (mtazamo wenu) hivyo wanafunzi wao wote (shule za kata) watafaulu kama wao.
UDSM, SUA, MZUMBE na UDOM kwa Tanzania hivi ni vyuo vikubwa, kuna shahada mbalimbali za elimu zinatolewa huko. Katika vigezo vyao vya udahili unadhani walimu kutoka hivi vyuo wanaufaulu mdogo??? (mtazamo wenu)
Jibu kwa kutumia picha pana na siyo mhemko, papara na hasira!!!!!!!!!!!!!!
Nb: Walimu ni sehemu ndogo sana ya tatizo, nashangaa wanavyotupiwa mzigo wa lawama pamoja na kujitahidi kwao katika mazingira magumu ya kazi!!!!!!!!!!!
Eti wamefeli!!!!!!!!!!!Halafu ukipata watoto unampelekea akufundishie!!!!!!!!!!!!!!!!!Iwe shule binafsi au ya umma bado utawakuta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ahsanteni sana walimu kwa mchango wenu!!!!!!!!!!!!