Afta
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 469
- 724
Tunakauzwazwa Fulani akajatoka vizuri ukijumlisha na uogaJe sisi ni wajinga ama tuna akili mbona hamjibu swali langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakauzwazwa Fulani akajatoka vizuri ukijumlisha na uogaJe sisi ni wajinga ama tuna akili mbona hamjibu swali langu
Je,kama katumia taswira?Wewe ni mjinga
Nasema hivyo kwa sababu wewe unaitwa ndege ilihali mtu aliyelimika anajua moja kati ya siya ya ndege ni kujongea kwa mabawa na wewe mabawa huna, hivyo kujiita ndege wakati wewe sio ndege ni justification ya ujinga wako
Tumeanza tena kuwasingizia waalimu hebu tuwapumzishe. Hao Walimu tunaowabeza wengi tunawakumbuka hadi Leo.Je hili ndio Taifa la wajinga lililotabiriwa mwaka 1977 wakati walipoanzisha sera ya Elimu ya Universal Primary Education UPE?
Katika sera ya nchi ya kutoa elimu kwa wote. Serikali ilipanga kutoa elimu kwa watanzania wote bila ubaguzi wowote. Serikali ilikuja na mpango elimu ya msingi iwe ni lazima kwa kila mtanzania.
Katika Bunge la wakati ule viligubikwa na wasomi wachache sana.
Wapinzani wa sera kipindi kile walionekana mwiba sana kwa Serikali.
Wasomi wengi walishauri kuajiri waalimu kutoka nchi ya Kenya na nchi kama uingereza na mataifa mengine Walikuwa tayari kutoa waalimu. Ili kufanikisha mpango huu.
Hatimaye Bunge likaja na mpango wa UPE (Universal Primary Education) yaani wahitimu failure wa elimu ya msingi kwenda kuwafundisha wenzao.
Wasomi chuo kikuu cha Dar es salaam waligomea huu mpango kabisa. Sababu ilikuwa Tanzania inatengeneza Taifa la watu wajinga sana.
Sasa hivi wale walioanza kufundishwa na walimu wa UPE wanamiaka 50 mpaka 55. Je Taifa letu ni la watu wenye akili ama wajinga kama ilivyotabiriwa?
Ukiwemo na wewe mkuu usijisahau. Walimu wa zaman walikuwa wanaheshimika s ana hebu linganisha na wa sasa waliokopa hadi wanapokea negative balance kwenye mshaharaJe Taifa la Sasa ni la watu wenye akili au wajinga
Unayeongea wewe sio mwalimu. Hakuna mwalimu asiye mzoef hufundisha la 1 hadi la 3 madarasa yote haya hufundishwa na walimu nguli wenye uzoef na kazi sababu elimu yote iliyobakia hadi phd hutegemea msingi wa KKK.Tatizo halikuwa failures wa darasa la saba tu. Ualimu ni profession kama profession nyingine yoyote ile. Hao walimu wa UPE hawakupata training hata sekunde moja. Mbaya zaidi wengi wao wakapewa kufundisha wanafunzi wa darasa la kwanza which was worse. Kibaya zaidi idadi
ya wanafunzi kwenye darasa haikuzingatiwa. Standard class size ya shule za msingi ni wanafunzi 45. Hii ilizidi kwa hata mara mbili sababu hakukuwa na vyumba vya kutosha vya madarasa. Kwa kifupi hakukuwa ba maandalizi ya kutosha kabla ya kuandikisha wanafunzi wengi wa darasa la kwanza. Ndiyo maana watu waliipa UPE maana yake halisi- Ualimu Pasipo Elimu. Hii yote ilisababishwa na ukweli kwamba wakati ule , lakini nafikiri mpaka sasa, ilkuwa ni one man show. Rais ndiyo anajua kila kitu. Hawezi kukosea. Lakini kinachosikitisha sana mpaka leo watu wanaamini hivyo. Ndiyo maana raus akikisolewa wapambe wake wanadai anatukanwa. Posts nyingi humu zinaonyesha hivyo.
Bado mtoto mkuu mwache tu. Hao wa upe kuna wengine ni maprofessor kwa sasaNdugu, unaweza kuthibitisha hiki???? Usifuate mkumbo, kama hujui kitu jaribu kuuliza,kudadisi na kujifunza!!!!!!!!!!!!!!
Okay mkuu tusibishane sana maana kuna gap kubwa kati yetu ya ufahamu, soma hili, huwezi kufundisha hizi private primary schools hapa Tanzania kama una level ya certificate, let's agree to disagree, thanksWalifundisha,unadhani waliofeli mitihani ya la Saba 1970s-90s walikua hawawezi masomo!?..palikua na msemo 'kafaulu lakini hakuchaguliwa'..na Mara nyingi waliofaulu siyo wale waliokua na uwezo,palijaa ukiritimba,lakini hao walimu wa upe wanafunzi wao walikua imara kimasomo,hakuna aliyetoka darasa la pili kwenda la tatu na hajui kusoma,kuandika,kuhesabu,kujumlisha na kutoa,unasema wenye advance diploma/degrees wakafundishe primary...unadharau Sana level za elimu,hao wanatakiwa kufundisha a level na certificates vyuoni
Hao wafanyabiashara,elimu ya msingi ya tz haihitaji mtu mwenye degree kufundisha,hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali,Kuna elimu gani msingi!?Okay mkuu tusibishane sana maana kuna gap kubwa kati yetu ya ufahamu, soma hili, huwezi kufundisha hizi private primary schools hapa Tanzania kama una level ya certificate, let's agree to disagree, thanks
Je lile Taifa la wajinga limekuwa?Walifundisha,unadhani waliofeli mitihani ya la Saba 1970s-90s walikua hawawezi masomo!?..palikua na msemo 'kafaulu lakini hakuchaguliwa'..na Mara nyingi waliofaulu siyo wale waliokua na uwezo,palijaa ukiritimba,lakini hao walimu wa upe wanafunzi wao walikua imara kimasomo,hakuna aliyetoka darasa la pili kwenda la tatu na hajui kusoma,kuandika,kuhesabu,kujumlisha na kutoa,unasema wenye advance diploma/degrees wakafundishe primary...unadharau Sana level za elimu,hao wanatakiwa kufundisha a level na certificates vyuoni
Ujinga unau-define vipi!?..wale wasomi wa vyuo vikuu wanaovaa suti na tai dar es salaam ndani ya nyuzi joto 30+,ni wajinga au laa!?Je lile Taifa la wajinga limekuwa?
Je nchi inawajinga au hainaNdugu, unaweza kuthibitisha hiki???? Usifuate mkumbo, kama hujui kitu jaribu kuuliza,kudadisi na kujifunza!!!!!!!!!!!!!!