Utabiri: Barca na Juve watadroo

Kuna siku nilikutana na utabiri mechi ya simba na yanga jamaa akasema simba anashinda. Cha ajabu yanga akapata bao kipindi cha kwanza mechi ikiwa 1-0 simba akala red huwez amin wakasawazisha na kushinda 2-1 ndipo nikaamin namba haidanganyi
 
Leo ni tarehe 19/4

Ba= 2+1+19=22

Ju=10+21+19=50

Wote wana namba shufwa , hawalingani na tarehe ,wanalingana na mwezi

Hivo hii mechi naipa droo

NB:ni mtizamo wangu tu
Tusaidie na ile rufaa ya saa 72 maana Mezani FC wanatusumbua.
 
Tabiri
Chelsea vs Totenham 22/4
Man. City vs Arsenal 23/4
 
Kwa hesabu hzo jana nlculculate ilileta dortmund atashnda lakn kapgwa kwahyo usiamn hii hesabu kwa 100% mtanyooka wenzangu
Akili za kupewa changanya na zako
 
Kwa hesabu hzo jana nlculculate ilileta dortmund atashnda lakn kapgwa kwahyo usiamn hii hesabu kwa 100% mtanyooka wenzangu
Akili za kupewa changanya na zako
Utakuwa umepiga hesabu vibaya, au utakuwa umepiga hesabu bila kuzingatia nyota ya siku hiyo ili mfeva (favour) timu ipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…