Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Hapana mkuu, pressure vile tulikuwa tunashambuliwa.Uliweka stake ya milion
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu, pressure vile tulikuwa tunashambuliwa.Uliweka stake ya milion
Sitaz 7Msimamo wa kundi umekaaje?.
Bado haujaisha, tusubiri dakika 90 Benin atashinda 1-0 kama utopoloKwani ndiyo mpira umekwisha? Maana kuna kutangulia kwa baiskeli ya miti.
Kwa nini sasa wanamlenga? JF hii ina wachawi wengiNyingi wamemlenga. Wakipiga vichwa vya pembeni sijui kama atatubeba Manula
Mpumbavu wewe, huna akili.
Mungu mbariki Manura.
Yaani Madagascar wamoto hatari
Mchawi hatoki mbaliacha uchawi hii mechi tunashinda