NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ni kweli kuna kitu kinapikwa kikiiva watakileta sebuleni!!!Mahojiano yake na gazeti la jamhuri pia ushindi wake wa kesi dhidi musiba sio bure ni njia ya kumsafisha Kachero!!!Naomba muhifadhi hii thread..., baada ya miaka kadhaa mtakuja kunisadiki