Unapataga wapi muda wa kufikiri upuuzi huu.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin
Mkuu DustBin , hii inaweza kuwa kweli endapo Samia atapuuzia sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo nimesikia 2025 VP Dr. Mpango atapumzishwa na kumteua BCM kuwa VP, hivyo kuja kuwa rais wetu kama vile!.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin
Tu0mbe uhai, B0ng0 tunaijua sisiMkuu DustBin , hii inaweza kuwa kweli endapo Samia atapuuzia sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo nimesikia 2025 VP Dr. Mpango atapumzishwa na kumteua BCM kuwa VP, hivyo kuja kuwa rais wetu kama vile!.
Naomba msiniulize kama vile vipi?.
P
Please note tofauti ya 0 na o. Umetumia 0 badala ya o.Tu0mbe uhai, B0ng0 tunaijua sisi
Sidhani kama Membe Ndio FDR,umri Wake ni mkubwa Sana!Tu0mbe uhai, B0ng0 tunaijua sisi
Chawa mnajisikiaje sasaNawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin