Utabiri: Halima Mdee na Wenzake 18 watahamia ACT Wazalendo au Umoja Party kama sio kuteuliwa Serikalini

Utabiri: Halima Mdee na Wenzake 18 watahamia ACT Wazalendo au Umoja Party kama sio kuteuliwa Serikalini

Karibu mitaa hii
P
Mayala hebu rudia kusoma sehemu (d)

6.5.2 Kwa mujibu wa Ibara 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba, mwanachama yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza:
(a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
(b) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
(c) Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
(d) Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.
 
Easter Bulaya na Mdee wapewe ukuu wa Mkoa, napendekeza Halima apelekwe Arusha au Kilimanjaro.

Au laa, Mdee apewe viti maalum CCM kuziba pengo la yule aliyefariki juzi
Mama Samia hawezi fanya huu ujinga wakati wapo kwenye maandalizi ya vikao vya maridhiano na Mbowe. Kuwateua ni kuonyesha dharau kwa Demokrasia unless wao wenyewe waombe uanachama wa CCM kwanza.

Then viti maalum tayari kuna list exhaustive inapelekwa NEC so akifariki yule next on the line ndio anateuliwa na NEC Hakunaga uteuzi mpya!!
 
Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.

Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.

Muda utahibitisha
ni bora wakabaki tu kuwa wanachama wa kawaida huko huko chadwma huenda watakuja kusamehewa mbele ya safar

CCM ina wenyewe! na hata ACT wataenda kupoteza muda wao bule tu

kimsingi Chief Hangaya atakuwa hajawatendea haki CCM wenzie endapk atawapa mashavu hao akina Mdee!

tafsir ya chief hangaya kuwapa mashavu hao ni kwamba CCM haina watu makini
 
Easter Bulaya na Mdee wapewe ukuu wa Mkoa, napendekeza Halima apelekwe Arusha au Kilimanjaro.

Au laa, Mdee apewe viti maalum CCM kuziba pengo la yule aliyefariki juzi
unamaanisha nini kwamba watu wote waliopo CCM ni vilaza mpaka wapewe hao akina Mdee?

CCM kuna wafia chama yaani tangu enzi na enzi nao pia wana ndoto za kuja kupewa nafas leo hii atoke mamluki huko ahamie CCM apewe na shavu

hii sio CCM ya bwana yuleeeee
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Naona umesahau ule msemo wa hakuna mtu mkubwa kuzidi taasisi.. Hawa watu walionywa na walionyesha ukaidi wa wazi licha ya chama kuwavumilia zaidi ya miaka miwili....
"They deserve it at all"
 
unamaanisha nini kwamba watu wote waliopo CCM ni vilaza mpaka wapewe hao akina Mdee?

CCM kuna wafia chama yaani tangu enzi na enzi nao pia wana ndoto za kuja kupewa nafas leo hii atoke mamluki huko ahamie CCM apewe na shavu

hii sio CCM ya bwana yuleeeee
Uteuzi kwani unahusiana vp na ukongwe ndani ya chama??
 
Mwanachama yeyote akiamua kuwa MSALITI anahama Kutoka kuwa ASSET kwenda kuwa LIABILITY. By the way wamekisababishia chama hasara Kwa kung'ang'ania Bungeni muda mrefu.
kwani Halima yeye nani jamani?

inamaana Halima yeye ni mkubwa kuliko chama?

Kafukuzwa Zitto kabwe ije kuwa Halima?

Zitto kafukuzwa akiwa ni bonge la asset kwa wakati ule na kaondoka

Angalia sasa siasa anazozifanya Zitto sasa hv ndio utaamini ile ni laana ya Usaliti
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Kuna usemi unasema “nguvu ya mamba kumai “ sijui ulishawahi kuusikia?
 
Waanzishe chama chao, ili mgawane kura CCM ipete.
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Wamejigeuza wao wenyewe kuwa liabilities kwa matendo , maneno na misimamo waliyochukua.. Hawakutumwa na CDM kufanya uasi wa kwenda bungeni pasipo taratibu za kichama.... Halima amekuwa kama Mario Baloteli ambaye hujiharibia mwenyewe.. Mwanasiasa yoyote huhitaji platform.... Sijui watapata platform kama ya CDM.. Muda utaamua ...
 
Kuna usemi unasema “nguvu ya mamba kumai “ sijui ulishawahi kuusikia?
Mkuu Sky Eclat , ni kweli nguvu yao ni only wakiwa Chadema, ila pia, Chadema haina watu wengine wa such calibre!. Mpaka kesho pengo la ZZK na Prof. Kitila, hayajazibika!.
P
 
kwani Halima yeye nani jamani?

inamaana Halima yeye ni mkubwa kuliko chama?

Kafukuzwa Zitto kabwe ije kuwa Halima?

Zitto kafukuzwa akiwa ni bonge la asset kwa wakati ule na kaondoka

Angalia sasa siasa anazozifanya Zitto sasa hv ndio utaamini ile ni laana ya Usaliti
Saivi anafanya siasa nyepesi

Siasa za udalali

Siasa za undumilakuwili

Aliondoka chadema kwa mbwembwe kwamba mbowe dictator hataki kung'oka

Angalia nafasi aliyojiundia huko kwenye chama chake eti "supreme leader" wahuni wanamwita "Ayatollah"
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Hivi Kati yahao na zitto kabwe Nani alikua Bora
 
Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.

Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.

Muda utahibitisha
Angekuwa MAGUFULI Usiku wa Leo ANGEWAPA VYEO lakini sio MAMA SAMIA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hivi Kati yahao na zitto kabwe Nani alikua Bora
Zitto na Halima wote walikuwa bora na walianza siasa wakiwa Chuo UDSM, Zitto ndiye alimleta Halima Kwa Freeman. Wote wamefukuzwa kwa maonevu kwasababu CC ya Chadema sio mamlaka yao ya nidhamu.
mamlaka yao ya nidhamu ni Baraza Kuu, sasa CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kufukuza Zitto na Halima?.
Wanabodi.

hili ni bandiko la swali "Je Wabunge 19 wa Chadema Walijiteau?. Je CC-ya Chadema ni Kangaroo Court?. Je Baraza Kuu Litabariki Ukangaroo Ule?. Likibariki, Karma Itawatafuna!"
Nawatakia wana Chadema, kikao chema cha Baraza Kuu.

Paskali
Kikao cha Baraza Kuu Chadema, kimelazika, limebariki ule Ukangaroo uliofanywa na CC ya Chadema, uamuzi wa Baraza Kuu Chadema ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive. Sijasikia popote juhudi zozote za kumtafuta aliyesaini barua ya uteuzi, sijasikia popote Chadema wakisema kuna forgery au kuripoti popote forgery ile, hivyo hoja za bandiko hili zinasimama, wabunge hao 19 wa Chadema, hawakujiteua wenyewe, waliteuliwa na kiongozi wa Chadema aliyesaini barua yao ya uteuzi!. Hakuna forgery yoyote iliyofanywa kwenye uteuzi wao ndio maana Chadema hawajaripoti forgery popote!.

Tena kiukweli, Halima Mdee ni mwanamke wa shoka kweli kweli nilidhani mbele vya kikao cha Baraza Kuu Chadema angesimama na kuyasema ukweli wa barua yao ya uteuzi, wajumbe wangebaki midomo wazi!.

Kama it's a battle, kina Halima have lost the battle, they have nothing more to loose au ni kukubali kufa kikondoo kwa kuisubiria karma iwalipie, au to keep on fighting hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike kwa kuhamishia mpambano kwenye wiwanja vingine vya Kisheria!.

Halima anamjua aliowasainia barua ya uteuzi, ili kumlinda, waliamua kunyamaza kwa imani kuwa atawaombea msamaha, kumbe... kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Life goes on
P
 
Wamejigeuza wao wenyewe kuwa liabilities kwa matendo , maneno na misimamo waliyochukua.. Hawakutumwa na CDM kufanya uasi wa kwenda bungeni pasipo taratibu za kichama.... Halima amekuwa kama Mario Baloteli ambaye hujiharibia mwenyewe.. Mwanasiasa yoyote huhitaji platform.... Sijui watapata platform kama ya CDM.. Muda utaamua ...
Wanabodi.

hili ni bandiko la swali "Je Wabunge 19 wa Chadema Walijiteau?. Je CC-ya Chadema ni Kangaroo Court?. Je Baraza Kuu Litabariki Ukangaroo Ule?. Likibariki, Karma Itawatafuna!"
Nawatakia wana Chadema, kikao chema cha Baraza Kuu.

Paskali
Kikao cha Baraza Kuu Chadema, kimelazika, limebariki ule Ukangaroo uliofanywa na CC ya Chadema, uamuzi wa Baraza Kuu Chadema ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive. Sijasikia popote juhudi zozote za kumtafuta aliyesaini barua ya uteuzi, sijasikia popote Chadema wakisema kuna forgery au kuripoti popote forgery ile, hivyo hoja za bandiko hili zinasimama, wabunge hao 19 wa Chadema, hawakujiteua wenyewe, waliteuliwa na kiongozi wa Chadema aliyesaini barua yao ya uteuzi!. Hakuna forgery yoyote iliyofanywa kwenye uteuzi wao ndio maana Chadema hawajaripoti forgery popote!.

Tena kiukweli, Halima Mdee ni mwanamke wa shoka kweli kweli nilidhani mbele vya kikao cha Baraza Kuu Chadema angesimama na kuyasema ukweli wa barua yao ya uteuzi, wajumbe wangebaki midomo wazi!.

Kama it's a battle, kina Halima have lost the battle, they have nothing more to loose au ni kukubali kufa kikondoo kwa kuisubiria karma iwalipie, au to keep on fighting hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike kwa kuhamishia mpambano kwenye wiwanja vingine vya Kisheria!.

Halima anamjua aliowasainia barua ya uteuzi, ili kumlinda, waliamua kunyamaza kwa imani kuwa atawaombea msamaha, kumbe... kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Life goes on
P
 
Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.

Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.

Muda utahibitisha
Acha wafu wazike wafu wao. Ndani ya CDM hakukuwa na jinsi zaidi ya kuwafuta uanachama.

Hakuna mtu wala kikao cha chama kulichowahi kuwaonea ama kuminya haki zao, walipewa nafasi ya kujitetea na hata pia kusisitizwa kuomba radhi. Kikao cha Baraza Kuu kimefanya kile ambacho kila mwenye nia njema na CDM alikitegemea

Wametimuliwa kutokana na makosa waliyoyafanya. Maamuzi yote kuhusu teuzi za viti maalumu ni lazima yapate baraka za vikao vya juu na halali vya chama. Kutumia njia za kihuni ili kujipa nafasi ya uwakilishi ndio uhuni wenyewe huo.

Wale ambao wanaona CDM imefanya makosa, basi ni vyema wakawashawishi waende huko kwingine kwenye fursa bora za kuendesha siasa kiholela pasipo kuzingatia misingi iliyowekwa na katiba, kanuni na taratibu za vyama vyao. Litakuwa jambo lisilokuwa la kawaida kwa CDM "to compromise with compounding external factors while exactly knowing are utterly illegal"

CDM imefanya uamuzi wake, ijapokuwa kwa kuchelewa sana. Hakuna mwanachama aliyekuwa juu ya katiba ya chama.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Bwana P. Umezingumzia sana kuhusu Karma. Na umeonyesha wengi wa waliofukuzwa ktk Cdm kwa makosa mbalimbali walivyokumbatiwa na serkali na ccm kwa kuzawadiwa nyadhifa mbalimbali au ulaji, na umetabali na hao Covid 19 nao watazawadiwa udc,Rc na hata ubalozi na nafasi nyinginezo, KWAKO UNAONA NI KARMA INAWALIPA HUKU UKISAU KUWA ALIYEKUTUMA KUTENDA UOVU KWA MAKUBALIANO ATAKUPA VIPANDE 30 MLIVYOKUBALIANA, WEWE HUO KWAKO NI USHUJAA. Nimesikitishwa sana nawewe ulisaliti hapo uko unasubilia uteuzi, . Huo ni ubinafisi. Watazawadiwa lakini Cdm wamelinda heshima ya chama Chao. Wabinafsi kama wewe na hao COVID 19 hamfai, endeleeni kusubili VIPANDE 30
 
Kikao cha Baraza Kuu Chadema, kimelazika, limebariki ule Ukangaroo uliofanywa na CC ya Chadema, uamuzi wa Baraza Kuu Chadema ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive. Sijasikia popote juhudi zozote za kumtafuta aliyesaini barua ya uteuzi, sijasikia popote Chadema wakisema kuna forgery au kuripoti popote forgery ile, hivyo hoja za bandiko hili zinasimama, wabunge hao 19 wa Chadema, hawakujiteua wenyewe, waliteuliwa na kiongozi wa Chadema aliyesaini barua yao ya uteuzi!. Hakuna forgery yoyote iliyofanywa kwenye uteuzi wao ndio maana Chadema hawajaripoti forgery popote!.

Tena kiukweli, Halima Mdee ni mwanamke wa shoka kweli kweli nilidhani mbele vya kikao cha Baraza Kuu Chadema angesimama na kuyasema ukweli wa barua yao ya uteuzi, wajumbe wangebaki midomo wazi!.

Kama it's a battle, kina Halima have lost the battle, they have nothing more to loose au ni kukubali kufa kikondoo kwa kuisubiria karma iwalipie, au to keep on fighting hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike kwa kuhamishia mpambano kwenye wiwanja vingine vya Kisheria!.

Halima anamjua aliowasainia barua ya uteuzi, ili kumlinda, waliamua kunyamaza kwa imani kuwa atawaombea msamaha, kumbe... kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Life goes on
P
Mayala Kati ya chadema na covid-19 Nani alistahili kuthibitisha John John mnyika alishakataa na thibitisha kwamba saini sio yake wakafukz

Leo ulitaka Tena chadema walete ushahidi chadema ndo wanafukuzwa waende mahakamani nasindo jadi yenu
 
Back
Top Bottom